🤣🤣🤣🤣🤣Hivi nyie wavulana bado tu hamuelew,,,,,rafiki yako na ndugu yako ni mamako mzazi pekee!!!!Sasa nyie ndo wale mnajisahau mnajipendekeza kwa walimwengu.Mwenzako aliingia kwenye mahusiano akiwa SMART.Wewe ukatanguliza moyo badala ya akili,mwishoni unajikuta umefanya uwekezaji mkubwa zaidi wa kimalengo na wa kihisia zaidi ya mwenzako.
Anza kujipambanua upya upange mipango upya uoni jinsi gani unajinasua kwenye huo mtego. Huyo msichana ameshaanza kumtafuta wa hadhi yake, wewe ulikuwa wa kumpa kampani😄😄😄 na ukajisahau ukachonga mzinga.
Stuka na uamke hapo kajitafute ukizipata, ndo uanze kuwaza utapeli unaitwa MAPENZI.