Mpenzi wangu tangu amepata kazi amebadilika sana. Amekua hapendi nijue ratiba zake

Mpenzi wangu tangu amepata kazi amebadilika sana. Amekua hapendi nijue ratiba zake

Sasa miaka 25 halafu unajitwisha mizigo mizito kama hiyo... mwenzio baada ya miaka kama nane hivi soko lake linapungua wakati wewe ndio kwanza kunakucha.. muache aende zake akachakarike kama anaona ramani hazisomi.. wewe bado sana kale maisha
 
Ukweli mchungu: Ipo hivi hiyo miaka sita ulokua nae alikuona bwege hivyo alikua anakutumia wewe kama daraja la yeye kufanikiwa / kufikia kile anacho kitaka kwa kukuigizia kuwa anakupenda na yupo na wewe. sasa ameshakipata kile alichokua anakitaka sahivi wewe siyo type yake tena hivyo anatafuta njia ya kukuacha kistaarabu ili usiumie au anatengeneza mazingira wewe ujiongeze, ila njia rahisi fanya hivi kabla hajakupiga chini, wewe muwahi kwa kumpiga chini haraka sana tumia mbinu ya kumute.

Ila kama amekula hela zako mingi unataka kufuta machozi , na kama unaweza (ila sahivi haiwezekani tena jaribu wewe ni mwanaume) tafuta namna umpe mimba alafu uachane nae na usiwe na huruma nae hata kidogo.
Binti za namna hii mimba siyo issue, zinaichomoa tu wa si tatizo
 
Dogo tulia
Mwanamke mwenye uhakika wa mshahara hawezi kuishi na mume.
Haiwezekani.
Ukiona mwanamke mwenye uhakika wa mshahara wa kukidhi mahitaji yake yote anaishi na mwanaume ujue hapo anafake tu
Ushauri: Mwache haraka kabla hajakutamkia yeye hadharani au kukutumia kadi ya mwaliko wa hharusi.
Huyo mtoa mada si mume bali ni mchumba sugu tu.

Kikubwa ieleweke mwanamke ni opportunistic in nature. Huwa anakaa kwa mwanamume kwa mahesabu kuwa siku moja atatoboa ili aoleww aanze kutumbua maisha. Ikitokea yeye akaanza kutoboa kabla yako that means you are going to be useless to her and she will definately dump you. Hawezi kuendelea kutulia na wewe ili ule hela yake japo ya kwako mlikula wote hawanaga uvumilivu katika hilo.

Another way round ni akitokea mtu ambaye anaona ana muelekeo tayari akamu approach jua chances za wewe kuendelea kum hold ni hafifu mno. Utapigwa chini tu sababu kuna umri ukifika mwanamke anaanza kufikiria mume familia na watoto and mostly ni kati ya ages 24-28 ndani ya hio miaka pressure ni kali sana na akitokea mwenye nia huwa hafikiriwagi mara mbili.

Uchumi imara ndio silaha kamili ya mwanaume katika zama za leo. Money makes the world go round. Money brings power and respect.
 
Kwa kesi ya huyo jamaa etu hapo ashaachwa ni vile mwanamke kamwacha katika style ya asimuumize ili jamaa akiona redflag ajiongeze kusepa ila jamaa hajaelewa. Hapo huyo demu wake ashamuona jamaa sio type yake tena, kamuona ni mzigo na ni wakihasara hasara. Demu sahivi anaangalia juu na siyo chini tena alipo jamaa etu.
Kashakalia seat ya Crown Athlete ya HR na kupelekwa viwanja vya Masaki ufukweni kupata dinner. Kashakuwa matawi ya juu hapo anamuona kijana wetu kama bumunda tu😄.
 
Anakushangaa miaka 6 bado unashobokea mapenzi
Move on man
Huyo kapata mwingine anakutafutia sababu tu
😂😂😂😂😂😂 Kibuti cha design hio huwa kinaumiza sana meehn. It will take a while kwa jamaa kuamini kuwa kashatoswa and he will cry hard like a baby! Hamna kitu inauma kama mwanamke anakuacha kwa sababu uko broke, ni fedhea kinoma.
 
Huu uzi umenikumbasha jumapili usiku kama saa sita usiku number mpya, salamu nyingi alafu anauliza umelala, nikajibu naanika nguo nikakata na kuweka Airplane
Asubuhi anapiga tena simu ananiliuza kuna dada anaitwa flani unamjua, ndio
Bro huyu demu wangu,
Nikamuuliza umemuo au kumtolea mahari?
Dogo;hapana
Nikamuuliza nimemlamisha au kumbaka
Dogo;hapana
Nikamwambia mdogo wangu nakupa ushauri huu
1. Usimpende mwanamke kuliko anavyokupenda
2. Tafuta demu wa size yako (unayemmudu sio kwa fedha, bali controlling)
3. Jifunze kuwa mwanaume, tengeneza maisha acha kulilia mademu

Mleta mada hata wewe huo ushauri hapo juu unakufaa
Wewe ni dhaifu sana
😂😂😂😂😂😂 Jamaa ulimkata stimu kinoma huyo dogo.
 
Mimi ni kijana wa miaka 25 nina mpenzi wangu ambae tumekua na mahusiano kwa kipindi cha miaka sita sasa yeye pia ana umri sawa na mimi lakini amenizidi miezi kadhaa

Tumekua na mahusiano ambayo tumekua tunaishi kwa kusaidiana kwa jambo lolote lile

Mwenzangu alibahatika kupata kazi mapema baada ya kumaliza chuo lakini kwangu haikua hvo bado nipo napambana na shughuli zangu binafsi za biashara.

Mwanzo wakati shughuli zangu zinaenda vizuri hakukua na shida lakini baada ya yeye kupata nafasi sehemu nyingne ambayo wamekua wanamlipa vizuri tofauti na laipokua mwanzo ndipo nayeye mambo yakaanza kubadilika kwake

Amekua ni mtu ambae hapendi nijue ratiba zake wala kile anachoingiza kwa mwezi hali ambayo mwanzo haikuwepo

Naombeni ushauri wakuu juu ya hili

Asanteni 🙏
Usijipe stress na mambo yasiyokua na msingi,kama anarudi nyumbani shukuru!
Unadhani hiyo kazi kapata kwa vigezo?wanawake wanapitia mengi!
 
Mimi ni kijana wa miaka 25 nina mpenzi wangu ambae tumekua na mahusiano kwa kipindi cha miaka sita sasa yeye pia ana umri sawa na mimi lakini amenizidi miezi kadhaa

Tumekua na mahusiano ambayo tumekua tunaishi kwa kusaidiana kwa jambo lolote lile

Mwenzangu alibahatika kupata kazi mapema baada ya kumaliza chuo lakini kwangu haikua hvo bado nipo napambana na shughuli zangu binafsi za biashara.

Mwanzo wakati shughuli zangu zinaenda vizuri hakukua na shida lakini baada ya yeye kupata nafasi sehemu nyingne ambayo wamekua wanamlipa vizuri tofauti na laipokua mwanzo ndipo nayeye mambo yakaanza kubadilika kwake

Amekua ni mtu ambae hapendi nijue ratiba zake wala kile anachoingiza kwa mwezi hali ambayo mwanzo haikuwepo

Naombeni ushauri wakuu juu ya hili

Asanteni 🙏
Kijana nipe namba yako ya simu, inayopatikana....
 
20-21 ndio size yake
Hahahah aanze upya hio age ni ya moto sana labda kama anataka atombe tu. Its very risky kufanya plan na demu wa age 18-24 huwa wanabadilika sana sababu wako kwenye foolish age.

14-18 anagongwa na wanafunzi na watoto wenzie wa mtaani.

18-21 demu anagongwa na wahuni au mabishoo walamba lips wale msingi kiuno.

22-24 anagongwa na adults plus agemates na wenye vipato.

25 and above anatafta mtu wa kufanya future nae kutoka kwenye kundi lililokuwa linamkaza kwenye 22-24.
 
😂😂😂😂😂😂 Kibuti cha design hio huwa kinaumiza sana meehn. It will take a while kwa jamaa kuamini kuwa kashatoswa and he will cry hard like a baby! Hamna kitu inauma kama mwanamke anakuacha kwa sababu uko broke, ni fedhea kinoma.
😝😝😝Dogo akomae men wengi tumepitia humo humo kuachwa kwa sababu ni broke,tulipomaliza shule tukarudi mtaa

Wengine tulitamkiwa waziwazi,kua wewe sio level yangu tena,utanipausha tu 😝,na simu hakupokelei tena
Na anakuuliza umesahau nini kwangu 😀

Hawa viumbe wa kike ni hatari pindi wafanikiwapo

Dogo aendelee na maisha mengine,ajipambanie awin
 
Huyo mtoa mada si mume bali ni mchumba sugu tu.

Kikubwa ieleweke mwanamke ni opportunistic in nature. Huwa anakaa kwa mwanamume kwa mahesabu kuwa siku moja atatoboa ili aoleww aanze kutumbua maisha. Ikitokea yeye akaanza kutoboa kabla yako that means you are going to be useless to her and she will definately dump you. Hawezi kuendelea kutulia na wewe ili ule hela yake japo ya kwako mlikula wote hawanaga uvumilivu katika hilo.

Another way round ni akitokea mtu ambaye anaona ana muelekeo tayari akamu approach jua chances za wewe kuendelea kum hold ni hafifu mno. Utapigwa chini tu sababu kuna umri ukifika mwanamke anaanza kufikiria mume familia na watoto and mostly ni kati ya ages 24-28 ndani ya hio miaka pressure ni kali sana na akitokea mwenye nia huwa hafikiriwagi mara mbili.

Uchumi imara ndio silaha kamili ya mwanaume katika zama za leo. Money makes the world go round. Money brings power and respect.
Ila wanachotufanyia wanawake siku hizi ni dhuluma za wazi.
Yes , it's their nature kwamba mwanamke kuishi na mume yuko kwaajili ya fursa ila siku hizi wamezidi hawana hata chembe ya aibu
 
Back
Top Bottom