Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hapana broDogo karibu ukubwani, nafikiri Sasa kupitia hili tukio ndio utaanza kuwajua wanawake katika uhalisia wao na jinsi wanavyokuchukulia wewe mwanaume.
Wewe mwanaume kwa mwanamke siku zote ni disposable utility tu, yaani umuhimu wako kwake ni wa temporary tu.....
Atakuwa na wewe na kuheshimu kwa muda ule anaonufaika na wewe, na siku ikitokea ameweza kuafford mwenyewe kile anachonufaika kutoka kwako, basi umuhimu wako kwake utakuwa ndio umefika mwisho na ndio muda sahihi wa yeye kukutupa kwenye dustbin kama ambavyo anatupa tissue aliyojifutia uchi baada ya kumaliza kukojoa.
Dogo wanawake wana kitu kimoja kinaitwa HYPERGEMY unakijua??
Msaidieni mtoto wa 1999, Hawa madogo hawana tofauti na watoto wa 2000.Mimi ni kijana wa miaka 25 nina mpenzi wangu ambae tumekua na mahusiano kwa kipindi cha miaka sita sasa yeye pia ana umri sawa na mimi lakini amenizidi miezi kadhaa
Tumekua na mahusiano ambayo tumekua tunaishi kwa kusaidiana kwa jambo lolote lile
Mwenzangu alibahatika kupata kazi mapema baada ya kumaliza chuo lakini kwangu haikua hvo bado nipo napambana na shughuli zangu binafsi za biashara.
Mwanzo wakati shughuli zangu zinaenda vizuri hakukua na shida lakini baada ya yeye kupata nafasi sehemu nyingne ambayo wamekua wanamlipa vizuri tofauti na laipokua mwanzo ndipo nayeye mambo yakaanza kubadilika kwake
Amekua ni mtu ambae hapendi nijue ratiba zake wala kile anachoingiza kwa mwezi hali ambayo mwanzo haikuwepo
Naombeni ushauri wakuu juu ya hili
Asanteni 🙏
Huyo si mpenzi wako..mlianza kufanya matusi mkiwa na umri wa miaka 19,sasa atakua kapata mpenzi wake. Kaa tulia,tafuta pesa ili nawe upate mpenzi wako.Mimi ni kijana wa miaka 25 nina mpenzi wangu ambae tumekua na mahusiano kwa kipindi cha miaka sita sasa yeye pia ana umri sawa na mimi lakini amenizidi miezi kadhaa
Tumekua na mahusiano ambayo tumekua tunaishi kwa kusaidiana kwa jambo lolote lile
Mwenzangu alibahatika kupata kazi mapema baada ya kumaliza chuo lakini kwangu haikua hvo bado nipo napambana na shughuli zangu binafsi za biashara.
Mwanzo wakati shughuli zangu zinaenda vizuri hakukua na shida lakini baada ya yeye kupata nafasi sehemu nyingne ambayo wamekua wanamlipa vizuri tofauti na laipokua mwanzo ndipo nayeye mambo yakaanza kubadilika kwake
Amekua ni mtu ambae hapendi nijue ratiba zake wala kile anachoingiza kwa mwezi hali ambayo mwanzo haikuwepo
Naombeni ushauri wakuu juu ya hili
Asanteni 🙏
kama uko serious naye nenda ukaoe ili kieleweke, lakini hiyo ya kujidai mume na mke siyo ya uhalisia. Kwa nini akupe ratiba zake au mshahara wake wakati hakuna committment?Mimi ni kijana wa miaka 25 nina mpenzi wangu ambae tumekua na mahusiano kwa kipindi cha miaka sita sasa yeye pia ana umri sawa na mimi lakini amenizidi miezi kadhaa
Tumekua na mahusiano ambayo tumekua tunaishi kwa kusaidiana kwa jambo lolote lile
Mwenzangu alibahatika kupata kazi mapema baada ya kumaliza chuo lakini kwangu haikua hvo bado nipo napambana na shughuli zangu binafsi za biashara.
Mwanzo wakati shughuli zangu zinaenda vizuri hakukua na shida lakini baada ya yeye kupata nafasi sehemu nyingne ambayo wamekua wanamlipa vizuri tofauti na laipokua mwanzo ndipo nayeye mambo yakaanza kubadilika kwake
Amekua ni mtu ambae hapendi nijue ratiba zake wala kile anachoingiza kwa mwezi hali ambayo mwanzo haikuwepo
Naombeni ushauri wakuu juu ya hili
Asanteni 🙏
Mkuu mwanamke tofauti na Mwanaume yeye Mwanamke akifikisha miaka zaidi 26 anataka mwanaume mwenye uwezo ili awed naye na hapo hakuna cha umri ndiyo maana wana date na watu wazima wenye vipato, tofauti na Binti kunzia miaka 17 mpaka 23 wao utaka mpenzi sharobalo avae vizur, lakini akishavuka hiyo steji utaka mwanaume anayeweza kumuhudumia kwa kila kitu na Mwanaume wenye uwezo huo wengi wao wanakua waume za watu na watu wazima, Vijana wengi chini ya miakq 33 bado wanajitafuta siyo rahisi kumlipia Kila kitu mpenzi wake. Binti atatakq simu ya laki 9 kijana hana uwezo huo, lakini mume wa mtu utawalisha dagaa familia yake ili mchepuko anunuliwe simu ya laki 9.Kua na mwanamke aliekuzidi/mko sawa nae kiumri na mapenzi yenu mliyaanza kipindi mko na 18-25 yrs, mkikuakua mara nyingi mademu huanza kuleta ngebe kwa kuona wewe ni mtoto, haatahili kua na ww, sijui atazeeka na ww utakua bado kijana, atataka mtoto/kuolewa mapema kabla hujajipanga, inshort huwa ni pasua kichwa.
Sio uwezekano Mkuu...Huyo manzi anavyombwa na Boss jamaa yetu atafute kivuli kingineMpaka hapo sio wako na huko anapofanya kazi Kuna uwezekano mkubwa ashapata mtu wanawake sio kuwaamini ni wazaifu sana Cha muhimu Anza kumtoa kwenye akili yako ukiendelea atakuja kukuumiza sana
Sisi wa 1999 tuna akili sio kama wa 2000Msaidieni mtoto wa 1999, Hawa madogo hawana tofauti na watoto wa 2000.
Huwa nawaambi wanangu kuwa demu wako wa high school au chuo sio wako hiyo ni wa wengine huwezi kuoa. Kwa nini hamsikii. Demu wako wewe inawezekana tupo second year sasa. Hiyo muache tu dogo. Ni ushauri kama ulivyoomba.Mimi ni kijana wa miaka 25 nina mpenzi wangu ambae tumekua na mahusiano kwa kipindi cha miaka sita sasa yeye pia ana umri sawa na mimi lakini amenizidi miezi kadhaa
Tumekua na mahusiano ambayo tumekua tunaishi kwa kusaidiana kwa jambo lolote lile
Mwenzangu alibahatika kupata kazi mapema baada ya kumaliza chuo lakini kwangu haikua hvo bado nipo napambana na shughuli zangu binafsi za biashara.
Mwanzo wakati shughuli zangu zinaenda vizuri hakukua na shida lakini baada ya yeye kupata nafasi sehemu nyingne ambayo wamekua wanamlipa vizuri tofauti na laipokua mwanzo ndipo nayeye mambo yakaanza kubadilika kwake
Amekua ni mtu ambae hapendi nijue ratiba zake wala kile anachoingiza kwa mwezi hali ambayo mwanzo haikuwepo
Naombeni ushauri wakuu juu ya hili
Asanteni 🙏
Kataa ndoaMimi ni kijana wa miaka 25 nina mpenzi wangu ambae tumekua na mahusiano kwa kipindi cha miaka sita sasa yeye pia ana umri sawa na mimi lakini amenizidi miezi kadhaa
Tumekua na mahusiano ambayo tumekua tunaishi kwa kusaidiana kwa jambo lolote lile
Mwenzangu alibahatika kupata kazi mapema baada ya kumaliza chuo lakini kwangu haikua hvo bado nipo napambana na shughuli zangu binafsi za biashara.
Mwanzo wakati shughuli zangu zinaenda vizuri hakukua na shida lakini baada ya yeye kupata nafasi sehemu nyingne ambayo wamekua wanamlipa vizuri tofauti na laipokua mwanzo ndipo nayeye mambo yakaanza kubadilika kwake
Amekua ni mtu ambae hapendi nijue ratiba zake wala kile anachoingiza kwa mwezi hali ambayo mwanzo haikuwepo
Naombeni ushauri wakuu juu ya hili
Asanteni 🙏
Ni fedha zake na wewe sio mmewe,huna haki nae,we fata yako achana naeMimi ni kijana wa miaka 25 nina mpenzi wangu ambae tumekua na mahusiano kwa kipindi cha miaka sita sasa yeye pia ana umri sawa na mimi lakini amenizidi miezi kadhaa
Tumekua na mahusiano ambayo tumekua tunaishi kwa kusaidiana kwa jambo lolote lile
Mwenzangu alibahatika kupata kazi mapema baada ya kumaliza chuo lakini kwangu haikua hvo bado nipo napambana na shughuli zangu binafsi za biashara.
Mwanzo wakati shughuli zangu zinaenda vizuri hakukua na shida lakini baada ya yeye kupata nafasi sehemu nyingne ambayo wamekua wanamlipa vizuri tofauti na laipokua mwanzo ndipo nayeye mambo yakaanza kubadilika kwake
Amekua ni mtu ambae hapendi nijue ratiba zake wala kile anachoingiza kwa mwezi hali ambayo mwanzo haikuwepo
Naombeni ushauri wakuu juu ya hili
Asanteni 🙏
Wanawake wengi wanaolewa kwasababu maisha magumu. Akishajipata hana time tena na mwanaume..fatilia vizuri.Wanawake hawaangalii chini wanaangalia juu. Haijalishi aliemzidi kimo amesimama kwenye nini.