Mpenzi wangu tangu amepata kazi amebadilika sana. Amekua hapendi nijue ratiba zake

Mpenzi wangu tangu amepata kazi amebadilika sana. Amekua hapendi nijue ratiba zake

Huyo teyari sio wake ashaachwa ni vile haelewi ( wanasemaga anakuacha kimnya kimnya ili asikuumize) shida jamaa hataki kujiongeza au kufanya timing amjaze mimba alafu amtelekeze demu akajifunze mbele ya safari.
Mimba hizi hizi wanatoa usiku, asubuhi wanaenda kutoa Mix by yas
 
Huyo teyari sio wake ashaachwa ni vile haelewi ( wanasemaga anakuacha kimnya kimnya ili asikuumize) shida jamaa hataki kujiongeza au kufanya timing amjaze mimba alafu amtelekeze demu akajifunze mbele ya safari.
Tayari mtumbwi wake ushapigwa na wimbi bado kuzama tu, mwamba awe makini akiendekeza hisia atajisababishia maumivu makubwa sana.
 
Ukweli mchungu: Ipo hivi hiyo miaka sita ulokua nae alikuona bwege hivyo alikua anakutumia wewe kama daraja la yeye kufanikiwa / kufikia kile anacho kitaka kwa kukuigizia kuwa anakupenda na yupo na wewe. sasa ameshakipata kile alichokua anakitaka sahivi wewe siyo type yake tena hivyo anatafuta njia ya kukuacha kistaarabu ili usiumie au anatengeneza mazingira wewe ujiongeze, ila njia rahisi fanya hivi kabla hajakupiga chini, wewe muwahi kwa kumpiga chini haraka sana tumia mbinu ya kumute.

Ila kama amekula hela zako mingi unataka kufuta machozi , na kama unaweza (ila sahivi haiwezekani tena jaribu wewe ni mwanaume) tafuta namna umpe mimba alafu uachane nae na usiwe na huruma nae hata kidogo.
Nimependa wazo lako maana hivihivi inauma sana ila kama miaka 6 hajampa mimba hatamuweza kwa sasa.
 
Mimi ni kijana wa miaka 25 nina mpenzi wangu ambae tumekua na mahusiano kwa kipindi cha miaka sita sasa yeye pia ana umri sawa na mimi lakini amenizidi miezi kadhaa

Tumekua na mahusiano ambayo tumekua tunaishi kwa kusaidiana kwa jambo lolote lile

Mwenzangu alibahatika kupata kazi mapema baada ya kumaliza chuo lakini kwangu haikua hvo bado nipo napambana na shughuli zangu binafsi za biashara.

Mwanzo wakati shughuli zangu zinaenda vizuri hakukua na shida lakini baada ya yeye kupata nafasi sehemu nyingne ambayo wamekua wanamlipa vizuri tofauti na laipokua mwanzo ndipo nayeye mambo yakaanza kubadilika kwake

Amekua ni mtu ambae hapendi nijue ratiba zake wala kile anachoingiza kwa mwezi hali ambayo mwanzo haikuwepo

Naombeni ushauri wakuu juu ya hili

Asanteni 🙏
Mwanamke anaweza kukupenda ,ila akipata wakumuoa anakuacha....Tuseme TU komaa kujijenga zaidi kwa sasa huna chako
 
Hatuna hela jamani🤣🤣
Na msiwe nazo tu, hatuziwazi hizo hela zenu ambazo hamnaga kila siku.

Nilikuwa very close na shangazi mmoja yupo vizuri kiuchumi, kabla hatujaangukia kwenye madavidavi ya dipresheni alikuwa anajitoa sana ila tulivyozama tu ghafla akawa hana hata mia. Bebi zikaanza kuwa nyingi 😐
 
Na msiwe nazo tu, hatuziwazi hizo hela zenu ambazo hamnaga kila siku.

Nilikuwa very close na shangazi mmoja yupo vizuri kiuchumi, kabla hatujaangukia kwenye madavidavi ya dipresheni alikuwa anajitoa sana ila tulivyozama tu ghafla akawa hana hata mia. Bebi zikaanza kuwa nyingi 😐
Wazee wa mishangazi!!🙆‍♂️🙆‍♂️🙆‍♂️
 
NAOMBA NIHITIMISHE KWA HERUFI KUBWA WAKUU. MWANAMKE HATABIRIKI NA HAJUI ANATAKA NINI. HATA WA DARASA LA 7 AKIAMUA ANASEPA MFANO WANGU LA SABA FAILURE MIAKA.
6 SITA NIKAMZALISHA MTOTO WA MIAKA 4 SASA ILA NILIVYOMFUNGULIA KABIASHARA AKAANZA KUPATA HELA AKAANZA MABADILIKO NA DEGREE YANGU NAONEKANA FALA KIKUBWA NILIKAA KIMYA MIEZI 8 SASA ANALIA SIONI MACHOZI. KO ishi nao kwa akili.
 
Dogo karibu ukubwani, nafikiri Sasa kupitia hili tukio ndio utaanza kuwajua wanawake katika uhalisia wao na jinsi wanavyokuchukulia wewe mwanaume.

Wewe mwanaume kwa mwanamke siku zote ni disposable utility tu, yaani umuhimu wako kwake ni wa temporary tu.....

Atakuwa na wewe na kuheshimu kwa muda ule anaonufaika na wewe, na siku ikitokea ameweza kuafford mwenyewe kile anachonufaika kutoka kwako, basi umuhimu wako kwake utakuwa ndio umefika mwisho na ndio muda sahihi wa yeye kukutupa kwenye dustbin kama ambavyo anatupa tissue aliyojifutia uchi baada ya kumaliza kukojoa.

Dogo wanawake wana kitu kimoja kinaitwa HYPERGEMY unakijua??
 
Mimi ni kijana wa miaka 25 nina mpenzi wangu ambae tumekua na mahusiano kwa kipindi cha miaka sita sasa yeye pia ana umri sawa na mimi lakini amenizidi miezi kadhaa

Tumekua na mahusiano ambayo tumekua tunaishi kwa kusaidiana kwa jambo lolote lile

Mwenzangu alibahatika kupata kazi mapema baada ya kumaliza chuo lakini kwangu haikua hvo bado nipo napambana na shughuli zangu binafsi za biashara.

Mwanzo wakati shughuli zangu zinaenda vizuri hakukua na shida lakini baada ya yeye kupata nafasi sehemu nyingne ambayo wamekua wanamlipa vizuri tofauti na laipokua mwanzo ndipo nayeye mambo yakaanza kubadilika kwake

Amekua ni mtu ambae hapendi nijue ratiba zake wala kile anachoingiza kwa mwezi hali ambayo mwanzo haikuwepo

Naombeni ushauri wakuu juu ya hili

Asanteni 🙏
MPENZI AMA MPIGAJI? HAPO HUNA MPENZI LABDA MALAYA
 
Back
Top Bottom