Mpenzi wangu tangu amepata kazi amebadilika sana. Amekua hapendi nijue ratiba zake

Mpenzi wangu tangu amepata kazi amebadilika sana. Amekua hapendi nijue ratiba zake

Ukiona unaanza kulalamikia hadi kupigiwa simu, kutumiwa msg, ujue yanafika ukingoni. Mapenzi yakiwepo vitu huwa vinafanyika automatically.
Ukiona mpaka uombe kupigiwa simu, unaanza lalamika hupewi taarifa, yani huenda sasa hivi hata sms zako ni kero kwake. Jiandae kisaikolojia kijana yani hakuna namna na wala usitumie nguvu kujaribu kufikiri utabadilisha chochote.
Utapoteza muda, rasilimali na utaumia sana kwa kujaribu kupingana na mabadiliko yanayokuja.
 
Mimi ni kijana wa miaka 25 nina mpenzi wangu ambae tumekua na mahusiano kwa kipindi cha miaka sita sasa yeye pia ana umri sawa na mimi lakini amenizidi miezi kadhaa

Tumekua na mahusiano ambayo tumekua tunaishi kwa kusaidiana kwa jambo lolote lile

Mwenzangu alibahatika kupata kazi mapema baada ya kumaliza chuo lakini kwangu haikua hvo bado nipo napambana na shughuli zangu binafsi za biashara.

Mwanzo wakati shughuli zangu zinaenda vizuri hakukua na shida lakini baada ya yeye kupata nafasi sehemu nyingne ambayo wamekua wanamlipa vizuri tofauti na laipokua mwanzo ndipo nayeye mambo yakaanza kubadilika kwake

Amekua ni mtu ambae hapendi nijue ratiba zake wala kile anachoingiza kwa mwezi hali ambayo mwanzo haikuwepo

Naombeni ushauri wakuu juu ya hili

Asanteni 🙏
Huyo ndio yeye halisi Sasa


Mwanamke akipata ni kawaida Hua wanabadilika tena ghafla sana na kua wajeuri na viburi,Ni wachache sana wakipata wanakua wanyenyekevu,wachache sana,wa kuhesabu.

usiwekeze kwa mwanamke sana,utakuja umbuka pindi malengo yake yakitimia
Wewe ulikua ni Plan B yake mambo yakifeli kabisa.


Huyo sio wako tena
 
Ukiona unaanza kulalamikia hadi kupigiwa simu, kutumiwa msg, ujue yanafika ukingoni. Mapenzi yakiwepo vitu huwa vinafanyika automatically.
Ukiona mpaka uombe kupigiwa simu, unaanza lalamika hupewi taarifa, yani huenda sasa hivi hata sms zako ni kero kwako. Jiandae kisaikolojia kijana yani hakuna namna na wala usitumie nguvu kujaribu kufikiri utabadilisha chochote.
Utapoteza muda, rasilimali na utaumia sana kwa kujaribu kupingana na mabadiliko yanayokuja.
You,people sting like bees.No mbambamba,huh?
 
You,people sting like bees.No mbambamba,huh?
Mkuu kuna magonjwa tiba yake haina option ya kutibiwa bila kuumia. Kama ni jipu lazima litumbuliwe tu hakuna namna.
Yani ndio ukweli. Jamaa hata afanyeje hawezi kuzuia mabadiliko yanayokuja na akiendelea taka kuyazuia atatumia nguvu kubwa na atapoteza focus yake ya maisha mwisho ataumia sana.
Kitaani jua ni kali bidada anaona kivuli na anaona mwana anataka washare pamoja kivuli wakati mti una matawi machache.
 
Mkuu kuna magonjwa tiba yake haina option ya kutibiwa bila kuumia. Kama ni jibu lazima litumbuliwe tu hakuna namna.
Yani ndio ukweli. Jamaa hata afanyeje hawezi kuzuia mabadiliko yanayokuja na akiendelea taka kuyazuia atatumia nguvu kubwa na atapoteza focus yake ya maisha mwisho ataumia sana.
Kitaani jua ni kali bidada anaona kivuli na anaona mwana anataka washare pamoja kivuli wakati mti una matawi machache.
Ungekuwepo hapa kijijini kwetu ningekuambia "egezaktere"!Basi kwa kuwa u-mbali itabidi niandike absolutely!
 
Mimi ni kijana wa miaka 25 nina mpenzi wangu ambae tumekua na mahusiano kwa kipindi cha miaka sita sasa yeye pia ana umri sawa na mimi lakini amenizidi miezi kadhaa

Tumekua na mahusiano ambayo tumekua tunaishi kwa kusaidiana kwa jambo lolote lile

Mwenzangu alibahatika kupata kazi mapema baada ya kumaliza chuo lakini kwangu haikua hvo bado nipo napambana na shughuli zangu binafsi za biashara.

Mwanzo wakati shughuli zangu zinaenda vizuri hakukua na shida lakini baada ya yeye kupata nafasi sehemu nyingne ambayo wamekua wanamlipa vizuri tofauti na laipokua mwanzo ndipo nayeye mambo yakaanza kubadilika kwake

Amekua ni mtu ambae hapendi nijue ratiba zake wala kile anachoingiza kwa mwezi hali ambayo mwanzo haikuwepo

Naombeni ushauri wakuu juu ya hili

Asanteni 🙏
Wacha kuanika upumbavu wako hapa! Janaume zina unataka kulelewa na binti?
 
Kama Una vipesa kidogo endelea kuvizalisha huku ukiangalia uchumi wako usitumie pesa yako eti abaki na wewe , ameshabadilika usiwekeze tena kwake , songa mbele , safari lazima iendelee ulikutana nae Kwenye utu uzima haujazaliwa nae
 
Na si kitambo kirefu maji na mafuta vitajitenga. Jiandae kimwili na kiakili,utaona karibia mapicha yooote ya kuumiza. Anza kutafuta kampani mapema (asiwe mpenzi mwingine) itakayokusaidia kupunguza msongo wa mawazo maana huko ndiko unakoelekea.
Moyo ukipenda hata redflag uwa tunazidharau ila hapo kaa tiyari!
Upo sahihi Sana,ilinikuta hii.

Jamaa mwisho wake sio mzuri.
 
Mimi ni kijana wa miaka 25 nina mpenzi wangu ambae tumekua na mahusiano kwa kipindi cha miaka sita sasa yeye pia ana umri sawa na mimi lakini amenizidi miezi kadhaa

Tumekua na mahusiano ambayo tumekua tunaishi kwa kusaidiana kwa jambo lolote lile

Mwenzangu alibahatika kupata kazi mapema baada ya kumaliza chuo lakini kwangu haikua hvo bado nipo napambana na shughuli zangu binafsi za biashara.

Mwanzo wakati shughuli zangu zinaenda vizuri hakukua na shida lakini baada ya yeye kupata nafasi sehemu nyingne ambayo wamekua wanamlipa vizuri tofauti na laipokua mwanzo ndipo nayeye mambo yakaanza kubadilika kwake

Amekua ni mtu ambae hapendi nijue ratiba zake wala kile anachoingiza kwa mwezi hali ambayo mwanzo haikuwepo

Naombeni ushauri wakuu juu ya hili

Asanteni 🙏
Ukweli mchungu: Ipo hivi hiyo miaka sita ulokua nae alikuona bwege hivyo alikua anakutumia wewe kama daraja la yeye kufanikiwa / kufikia kile anacho kitaka kwa kukuigizia kuwa anakupenda na yupo na wewe. sasa ameshakipata kile alichokua anakitaka sahivi wewe siyo type yake tena hivyo anatafuta njia ya kukuacha kistaarabu ili usiumie au anatengeneza mazingira wewe ujiongeze, ila njia rahisi fanya hivi kabla hajakupiga chini, wewe muwahi kwa kumpiga chini haraka sana tumia mbinu ya kumute.

Ila kama amekula hela zako mingi unataka kufuta machozi , na kama unaweza (ila sahivi haiwezekani tena jaribu wewe ni mwanaume) tafuta namna umpe mimba alafu uachane nae na usiwe na huruma nae hata kidogo.
 
Huyo ndio yeye halisi, mwanzoni kabla ya kupata alichopata alikuwa anakuigizia. Sio kwa ubaya ila kaa kijanja jiandae lolote linaweza tokea kwa dalili hizo.

Kingine mkuu usiipigie hesabu na matumizi fedha ambayo sio yako, hela ya mwanamke ni chungu sana pambana ujiimarishe kiuchumi huyo muda wowote anakuwa sio wako.
Huyo teyari sio wake ashaachwa ni vile haelewi ( wanasemaga anakuacha kimnya kimnya ili asikuumize) shida jamaa hataki kujiongeza au kufanya timing amjaze mimba alafu amtelekeze demu akajifunze mbele ya safari.
 
Mimi ni kijana wa miaka 25 nina mpenzi wangu ambae tumekua na mahusiano kwa kipindi cha miaka sita sasa yeye pia ana umri sawa na mimi lakini amenizidi miezi kadhaa

Tumekua na mahusiano ambayo tumekua tunaishi kwa kusaidiana kwa jambo lolote lile

Mwenzangu alibahatika kupata kazi mapema baada ya kumaliza chuo lakini kwangu haikua hvo bado nipo napambana na shughuli zangu binafsi za biashara.

Mwanzo wakati shughuli zangu zinaenda vizuri hakukua na shida lakini baada ya yeye kupata nafasi sehemu nyingne ambayo wamekua wanamlipa vizuri tofauti na laipokua mwanzo ndipo nayeye mambo yakaanza kubadilika kwake

Amekua ni mtu ambae hapendi nijue ratiba zake wala kile anachoingiza kwa mwezi hali ambayo mwanzo haikuwepo

Naombeni ushauri wakuu juu ya hili

Asanteni 🙏
Unataka kifuatilia ratiba ya mtu na mpenz wake ya nini🤣🤣🤣🤣🤣😭😭
 
Achana naye. Mostly mapenzi ya chuo huwa yanaisha mkirudi kitaa halafu we mwanaume mambo yakawa magumu mwanamke apate asipate mwisho huwa anatafuta penye unafuu. Sasa hivi yeye ana kazi, anakutana na vijana wenye kazi, wewe ushakuwa mzigo. Achana naye anza kujitafuta.
unarahisisha sana mkuu unaijua miaka 6?
 
Kwa upande wangu si lazma saana kujua anachokipata au anachoingiza mtu mwingne kwa kigezo "tupo kweny mahusiano", kama ulivyosema mpo kwenye mahusiano na si wanandoa. Tafuta na ww kipato chako na uwe na ratba zako.........mimi binafsi linapokuja swala la pesa sipend saana kuingiliwa mimi nina mipango yangu na pesa zangu nina maono na ndoto zangu juu ya pesa zangu sasa mtu anapokuja na kutaka kujua ninachoingiza kwa kweli anakuwa ananikosea, yangu ni hayo kwa sasa.
 
Ukiona unaanza kulalamikia hadi kupigiwa simu, kutumiwa msg, ujue yanafika ukingoni. Mapenzi yakiwepo vitu huwa vinafanyika automatically.
Ukiona mpaka uombe kupigiwa simu, unaanza lalamika hupewi taarifa, yani huenda sasa hivi hata sms zako ni kero kwake. Jiandae kisaikolojia kijana yani hakuna namna na wala usitumie nguvu kujaribu kufikiri utabadilisha chochote.
Utapoteza muda, rasilimali na utaumia sana kwa kujaribu kupingana na mabadiliko yanayokuja.
Asipo elewa na hii basi.
 
Kwa upande wangu si lazma saana kujua anachokipata au anachoingiza mtu mwingne kwa kigezo "tupo kweny mahusiano", kama ulivyosema mpo kwenye mahusiano na si wanandoa. Tafuta na ww kipato chako na uwe na ratba zako.........mimi binafsi linapokuja swala la pesa sipend saana kuingiliwa mimi nina mipango yangu na pesa zangu nina maono na ndoto zangu juu ya pesa zangu sasa mtu anapokuja na kutaka kujua ninachoingiza kwa kweli anakuwa ananikosea, yangu ni hayo kwa sasa.
Mkuu wewe ni mwanaume.. ?kama ni mwanaume jamaa etu ashaachwa hapo kikubwa tumuambie ukweli ili asije akajinyonga mapema
 
Huyo ndio yeye halisi, mwanzoni kabla ya kupata alichopata alikuwa anakuigizia. Sio kwa ubaya ila kaa kijanja jiandae lolote linaweza tokea kwa dalili hizo.

Kingine mkuu usiipigie hesabu na matumizi fedha ambayo sio yako, hela ya mwanamke ni chungu sana pambana ujiimarishe kiuchumi huyo muda wowote anakuwa sio wako.
Umemaliza kaka
 
Back
Top Bottom