TANZIA Mpiga Gitaa maarufu, Lokassa ya Mbongo afariki dunia

TANZIA Mpiga Gitaa maarufu, Lokassa ya Mbongo afariki dunia

Mkongwe wa Muziki na mpiga gitaa la rythm Denis Lokassa Kasiya almaarufu Lokasa ya M'bongo amefariki siku ya Jumanne nchini Marekani alipougua kwa muda mrefu ugonjwa wa Kisukari.

Akiwa amefariki na umri wa miaka 80, Lokassa atakumbukwa kwa nyimbo kadhaa alizotunga, kucheza gitaa kama vile Marie-José, Assitou, Bonne Année, Monica.

Lokassa alikuwa kiongozi wa Bendi ya Soukous Stars.

1678944877253.jpg
 
Kumbe alishiriki pia kwenye nyimbo ya "Dada roza hebu sikiliza" na "Ndiyo furaha mama " ndiyo maana huwa nikisikiliza zile melodies naona siyo za nchi hii.....haaaah.

R.I.P mwamba umenipa burudani sana na soukous star na wakina yondo sister

 
Apumzike Kwa Amani lokassa ya mbongo
Hivi Daley kimoko bado Yu hai? Vipi kuhusu Diablo dibala naye Yu hai?
 
Back
Top Bottom