TANZIA Mpiga Gitaa maarufu, Lokassa ya Mbongo afariki dunia

TANZIA Mpiga Gitaa maarufu, Lokassa ya Mbongo afariki dunia

WanaJf wote wenye Miaka 40+ na walilelewa na Wazee wapenda Soukous lazima wamjue huyu Mzee, aliipa Gittaa mdomo na kuiiimbisha kadri alivyopenda yeye. Apumzike kwa Amani
Dah! Soukouss Stars walitubariki sana vijana wa miaka ya 90! Ile bendi yao, wanamuziki wote walikuwa ni Mastaa kweli! Enzi hizo tunaenda kuangalia video; kabla mkanda wenyewe wa siku hiyo haujaanza, tulikuwa tunaoneshwa kwanza trela!

Hapo ndiyo unakutana na akina Soukouss Stars, Aurlus Maebele na Loketo yake, Pepe Kalle na Empire Bakuba yake, Boziboziana, Wenge BCBG, nk.

Hakika maisha yalikuwa ni matamu sana enzi zile za utawala wa Mzee ruksa.
 
Mara ya mwisho nilikutana nae port matadi akiwa kafika kumuona dada yake mfanyakazi wa bandari miaka ya 90 yule dada aliitwa Danize , nilikua bado yanki kabisa
 
yaani maisha yako yote mpaka mauti yanakukuta mishe zako ni kazi miongoni mwa kazi za Shetani(muziki) dah !

eeh Mwenyezi Mungu tujaalie mwisho mwema 🙏
 
Back
Top Bottom