Mpiga picha wa Diamond atoa machozi baada ya kuzawadiwa gari

Inaitwa kwa kihehe surprise
 
Mbona kama mwandiko wa kisando
 
ngumu kuamini kama jamaa anatoa kwa moyo au ndio mambo yake ya 'kiki'
 
Ila lukamba mashallah, namtamani Yule kaka , sema tu ndo pesa Hana , apo tu Ndo pananifanya nimchukie, mambo ya kulala na wapiga picha warumi Mimi naanzaje
Siku zote najuaga wewe ni dume
 
Bora angemzawadia nyumba, gari kamuongezea matumizi
 
mwarabu alishaondoka WCB kabla ya ajali amefungua kampuni ya mabodigadi,huyo kifesi alitimuliwa kwa kukiuka miiko ya kazi
 
Hivi hapo wcb kuna anaelipwa more than 300k?
 
Ila lukamba mashallah, namtamani Yule kaka , sema tu ndo pesa Hana , apo tu Ndo pananifanya nimchukie, mambo ya kulala na wapiga picha warumi Mimi naanzaje
Lukamba ashaanza kushobokewa na Mademu Kibao na Altezza yake Nyeusi.
 
Lukamba ashaanza kushobokewa na Mademu Kibao na Altezza yake Nyeusi.[/

Lukamba mzuri anaita, yani pale Hana pesa Ila mashalah, akiwa na pesa kama domo cjui itakuaje, mi mwenyew namtamani, lukamba handsome sio domo kakomaa uso mpka miguu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…