Wamefirisika ...refer Ile trend ya wasanii kukimbia .....Kwani kataja sababu za yeye kuondoka? Mbona hata wa Diamond kuna kipindi aliondoka.
Hahahaaaa.....Wamefirisika ...refer Ile trend ya wasanii kukimbia .....
But yule wa mondi alifukuzwa
Sent from my TECNO KG5j using JamiiForums mobile app
Kipi kilichokufurahisha? Wewe ni adui wa mafanikio hebu jaribu kuangalia jitihada za Harmonize kwa miaka hii 9 toka alipoibuliwa na Diamond.Mpiga picha wa Harmonize na yeye aondoka Konde Gang.
Kuendesha record label sio ma*** Kwamba Kila mtu anayo [emoji23][emoji23][emoji23]
Sent from my TECNO KG5j using JamiiForums mobile app
Wa mond alifukuzwa kisa nn tenaWamefirisika ...refer Ile trend ya wasanii kukimbia .....
But yule wa mondi alifukuzwa
Sent from my TECNO KG5j using JamiiForums mobile app
Wamefirisika ...refer Ile trend ya wasanii kukimbia .....
But yule wa mondi alifukuzwa
Sent from my TECNO KG5j using JamiiForums mobile app
Basi nafurahi....konde mjeshi akipata changamoto..Kipi kilichokufurahisha? Wewe ni adui wa mafanikio hebu jaribu kuangalia jitihada za Harmonize kwa miaka hii 9 toka alipoibuliwa na Diamond.
Haijulikani.... that's y hata kina Kenny, Q boy msafi haijulikani sababuWa mond alifukuzwa kisa nn tena
TECNO ni simu makini sana ...kuliko uchafu wa konde gengeEndelea kutumia Tecno wereva, kijana mwenzio anaendesha Range hadi anahonga.
#Kondegang for everybody
Uliposifia tekno tu imetosha kukupuuza.TECNO ni simu makini sana ...kuliko uchafu wa konde genge
Sent from my TECNO KG5j using JamiiForums mobile app
Halafu ni 🐸🐸🐸🐸 yuleBasi nafurahi....konde mjeshi akipata changamoto..
Sent from my TECNO KG5j using JamiiForums mobile app
kuwa na Tecno ni bora hata anayetumia nokia ya tochiTECNO ni simu makini sana ...kuliko uchafu wa konde genge
Sent from my TECNO KG5j using JamiiForums mobile app
mwenzio amejaribu....wewe anzisha lebo tuone,Mpiga picha wa Harmonize na yeye aondoka Konde Gang.
@jabulant_ ambae alikuwa mpiga picha wa msanii wa Bongo Fleva @harmonize_tz ametangaza rasmi kuacha kufanya kazi na msanii huyo ambae ni mmiliki wa lebo ya muziki ya Konde Gang.
Jabulant alianza kufanya kazi na Harmonize mwaka 2018 kupitia ukurasa wake wa Instagram ameandika kwamba
"Kila kitu kina mwanzo na mwisho Kwaheri Konde Gang New Life"
Kuendesha record label sio ma*** Kwamba Kila mtu anayo [emoji23][emoji23][emoji23]
Sent from my TECNO KG5j using JamiiForums mobile app
Sio anajaribu .... inabidi apige kazimwenzio amejaribu....wewe anzisha lebo tuone,
Yaaahkuwa na Tecno ni bora hata anayetumia nokia ya tochi