Labani og
JF-Expert Member
- Sep 15, 2020
- 19,637
- 29,473
Mpiga picha wa Harmonize na yeye aondoka Konde Gang.
@jabulant_ ambae alikuwa mpiga picha wa msanii wa Bongo Fleva @harmonize_tz ametangaza rasmi kuacha kufanya kazi na msanii huyo ambae ni mmiliki wa lebo ya muziki ya Konde Gang.
Jabulant alianza kufanya kazi na Harmonize mwaka 2018 kupitia ukurasa wake wa Instagram ameandika kwamba
"Kila kitu kina mwanzo na mwisho Kwaheri Konde Gang New Life"
Kuendesha record label sio ma*** Kwamba Kila mtu anayo [emoji23][emoji23][emoji23]
Sent from my TECNO KG5j using JamiiForums mobile app
@jabulant_ ambae alikuwa mpiga picha wa msanii wa Bongo Fleva @harmonize_tz ametangaza rasmi kuacha kufanya kazi na msanii huyo ambae ni mmiliki wa lebo ya muziki ya Konde Gang.
Jabulant alianza kufanya kazi na Harmonize mwaka 2018 kupitia ukurasa wake wa Instagram ameandika kwamba
"Kila kitu kina mwanzo na mwisho Kwaheri Konde Gang New Life"
Kuendesha record label sio ma*** Kwamba Kila mtu anayo [emoji23][emoji23][emoji23]
Sent from my TECNO KG5j using JamiiForums mobile app