Wewe tuthibitishie hapa kwamba Askofu Kakobe "Anajiandaa" kuhamia Boston. Umejuaje? Na ni maandalizi gani anafanya ya kuhamia Boston? Na anapohamia huko Kanisa la Mwenge anamwachia nani? Kumbuka hili ni jukwaa la Great Thinkers na siyo Narrow Minded. Kwa hiyo tuthibitishie hapa. Otherwise, eidha una 'bifu' na Askofu Kakobe au unashabikia usiyoyajua. Kama hujui bora uulize
Kama ni hasira, basi, kwa kuwa najua ni uongo, ndiyo sababu naukasirikia uzushi wake huyo anayesema Askofu Kakobe anajiandaa kuhamia kwenye tawi lake Boston..... anadanganya watu, na wale wasiofanya utafiti ni rahisi kuamini kama walivyodanganywa kwamba Kakobe anatumia uchawi wa Nigeria wakaamini kwa miaka mingi. swala la kuhesabu sadaka hapo linaingiaje? Nawe kwa majibu yako pia unaonekana una tatizo! Una kijicho na sadaka za Kanisani kwa Kakobe! lol!mbona hasira hivi yakhe,,, nawe ndo mmojawapo wa wale wanaohesabu zile sadaka nini?........
kama ni hasira, basi, kwa kuwa najua ni uongo, ndiyo sababu naukasirikia uzushi wake huyo anayesema askofu kakobe anajiandaa kuhamia kwenye tawi lake boston..... Anadanganya watu, na wale wasiofanya utafiti ni rahisi kuamini kama walivyodanganywa kwamba kakobe anatumia uchawi wa nigeria wakaamini kwa miaka mingi. Swala la kuhesabu sadaka hapo linaingiaje? Nawe kwa majibu yako pia unaonekana una tatizo! Una kijicho na sadaka za kanisani kwa kakobe! Lol!
and you, you are my helloo.