Mpina aibukia Zanzibar kuchukua fomu kuwania Uspika, azuru kaburi la hayati Sheikh Abeid Amani Karume

Mpina aibukia Zanzibar kuchukua fomu kuwania Uspika, azuru kaburi la hayati Sheikh Abeid Amani Karume

Duh kumbe shule aliyomaliza kuhaha mpina ya sekondari ndio hiyo nimesoma advanced .nimekumbuka mbali sana meatu sekondari na vijijini kule
 
Mpina huyu huyu aliekuwa kila akisema kitu lazima amalizie na koras ya kumsifia Mwendazake ndio awe spika bora,Tz bado tuna safari ndeeeeefu
 
Ameongea vizuri na ndivyo bunge linavyopaswa kuwa. Bunge la Urusi pamoja na kuwa na itikadi ya kikomunisti na ya chama kimoja,lilielewa nafasi yake barabara, bunge Hilo limewahi kukataa mara Sita mfululizo watu waliopendekezwa kushika nafasi ya waziri mkuu kwa sababu ya kukosa sifa,na kipindi hicho Urusi ilikuwa na migogoro mikubwa sana haswa majimbo yaliyotaka kujitenga hususani Jimbo la Chechnya, Nadhani Rais alikuwa ni Boris Yeltisin Sina hakika na spellings za jina lake,lakini mpaka alipopeleka jina la Vladimir Putin naye akiwa na sifa kubwa ya kudhoofisha wàasi Chechnya,ndiye aliyepitishwa na bunge. Ilifikia hatua ya Rais Boris kuamrisha jeshi la vifaru kuzunguka jengo la bunge hata hivyo bunge halikutikisika.
 
Haiwezekani kwa sasa, ni ujanja wake tu wa kujitofautisha na wengine ili apewe hicho kiti na chama chake.
Huyu ana msindikiza mtu. Kwani si wabunge ndio wana kubali kuburuzwa? Kama akiwa mbunge alikubali kuwa mhuri, iweje akiwa spika asikubali kuwa karatasi?? Ccm ni ileile.
 
Yupo CCM?Hamna kitu.Porojo kama gunia nne!
Kwa sasa hakuna Spika atakayepatikana nje ya ccm, kwahiyo tusaidie ili apatikane ambaye akianza kazi zake watu tuseme kweli huyu mhe anachapa kazi na ni muadilifu kweli kweli !! Hata watoto wa baba mmoja na mama mmoja hawawezi wote wakawa na tabia moja !! Refer to Mr Samwel Sitta !! Angalau there was a difference ! Au nasema uongo !!??
 
Inahitaji uwe na moyo mwepesi sana kuwaamini wanasiasa aina ya Luhaga Mpina and CO. LTD. Bora hata mwenzake Tulia Ackson, hakutaka kupindisha maneno.
 
Bunge la chama kimoja haliwezi kuwa imara kamwe! Hizi ni ngonjera tu za mh. Mpina. Bunge letu halina uwezo wa kushawishi wala kuikosoa serikali, mpina analijui hilo
 
Zilongwa mbali zitendwa mbali, kama bado mfuko ni ule ule unaotoa chengi, basi hata kwenye kanga yapo
Angalau huyu mwamba anashawishi , kuyasema Tu hayo maneno ni ujasiri tosha japo kiutendaji ni Jambo jingine ...!!!
I
 
Kwa sasa hakuna Spika atakayepatikana nje ya ccm, kwahiyo tusaidie ili apatikane ambaye akianza kazi zake watu tuseme kweli huyu mhe anachapa kazi na ni muadilifu kweli kweli !! Hata watoto wa baba mmoja na mama mmoja hawawezi wote wakawa na tabia moja !! Refer to Mr Samwel Sitta !! Angalau there was a difference ! Au nasema uongo !!??
Sidhani kama umeelewa!
 
Strange world huyu bwana alipokuwa anapima samaki kwa rula nilidhani ni bonge la marine biologist kabobea kwenye fani hiyo,kumbe huko hayuko,hajawahi kuvua hata kambale wala hajawahi kufanya biashara ya uchuuzi wa samaki.
Mpe usipika muone ataitisha roll call ya wabunge kwa urefu.
 
Kuhusu kutetea wazawa hii sera imetuangusha sana ,tatizi hawa wazawa hawabebeki Mh. Magufuli alijaribu kuwabeba mwisho wake wakawa wanatengeneza shortage in supply ya vitu. Na pia kwa upande mwingine wanatengeneza vitu kwa ubora hafifu vikiwa pia vinauzwa bei kubwa
 
Back
Top Bottom