Mpina alisimamisha Bunge kwa Dakika 25 "Atoa tuhuma NZITO maelekezo ya Waziri Mkuu, Mawaziri wakwama

Mpina alisimamisha Bunge kwa Dakika 25 "Atoa tuhuma NZITO maelekezo ya Waziri Mkuu, Mawaziri wakwama

juma30

Senior Member
Joined
Jun 25, 2022
Posts
159
Reaction score
459
Mbunge wa Kisesa (CCM) Luhaga Mpina akichangia maoni yake kwenye makadirio ya mapato na matumizi ya Wizara ya Mifugo na Uvuvi kwa mwaka 2023/2024, Bungeni jijini Dodoma May 3, 2023, mchango huu ndio ulizua sintofahamu iliyomlazimu Spika kuagiza Mpina alete ushahidi.



 
Huyu jamaa nimemuona muda mrefu akileta hoja za kupinga serikali,watu wakawa wanamsifia kweli,niliweka akiba ya maneno,,lkni nadhani leo lengo lake nimelijua...!
 
Back
Top Bottom