Mpina ampongeza Rais Samia kwa kumuondoa January Makamba TANESCO, alihusika na ufisadi wa kutisha

Lazima ujue kule Sio kufukuzwa Bali amemaliza kazi aliyokuwa ametumwa pale Tanesco na mkuu wake. CCM Hakuna msafi Aliye Msafi CCM hana maisha. Ukiona Rais hanyioshei kidole uovu Ni vile wote ni hao hao.
 
 
Makamba hawezi kusimama na watu wenye elimu zetu zinazofahamika. Makamba hawezi kusimama na watu tuliopanda bila kubebwa.

Mta mu- admire nyinyi tu musio na akili
Makamba ni kiazi, mtu wa kuiba mitihani
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…