kirengased
JF-Expert Member
- Jan 10, 2016
- 6,348
- 7,058
Sema kwa akili yangu finyu nimeona Pina kamuacha guluGPA tunaziona kwenye michango yao....., Gulu kaachwa mbali sana na Pina.hapo ndo utajua kuwa kuna GPA za mchongo kama ilivyokuwa PhD ya Bwana yulee....
Tungekuwa na wabunge hawa ata watano tu tungefika mbali sanaIlianzia hapa!
[emoji116]
Kisha ikafuatia hapa!
[emoji116]
Kisha sikiliza hoja ya Mpina!
[emoji116]
Kwa sababu,nchi hii watu wakweli ndio wanawindwa kuliko majambazi na Mafisadi!
Ameamua kwa dhati,kujitwisha msalaba wa kuwatetea wanyonge dhidi ya kundi kubwa la Madhalimu nchini!
Anaziona kero za ufisadi mkubwa,na kuusema bila hofu!
Amekubali kuuweka ubunge wake ndani ya CCM rehani!
Ilimradi ameusema unyang'anyi mkubwa wa genge hili ndani ya CCM.
Mpina anastahili kupewa Ulinzi na Serikali.
Kwa sababu!
Nchi hii watu wakweli kama Mpina wanawindwa kama swala!
Malaya ni huyu aliekuzaa nje ya Ndoa!Mpina na malaya
Ukweli kabisaa!Tungekuwa na wabunge hawa ata watano tu tungefika mbali sana
Mpina ni malayaMalaya ni huyu aliekuzaa nje ya Ndoa!
gpa ni makaratasi tu tafsiri sahihi ya gpa ni utendaji/vitendoNani kilaza kati ya mpina mwenye gpa ya 2.1 na mwigulu mwenye gpa ya 4.6 udsm tena ya uchumi.
Huwezi kuwa na zero ukawa na utendaji sahihigpa ni makaratasi tu tafsiri sahihi ya gpa ni utendaji/vitendo
Wengi wanapiga kelele wakiwa si sehemu ya wanufaika. Nia yao si njema.Ilianzia hapa!
[emoji116]
Kisha ikafuatia hapa!
[emoji116]
Kisha sikiliza hoja ya Mpina!
[emoji116]
Kwa sababu,nchi hii watu wakweli ndio wanawindwa kuliko majambazi na Mafisadi!
Ameamua kwa dhati,kujitwisha msalaba wa kuwatetea wanyonge dhidi ya kundi kubwa la Madhalimu nchini!
Anaziona kero za ufisadi mkubwa,na kuusema bila hofu!
Amekubali kuuweka ubunge wake ndani ya CCM rehani!
Ilimradi ameusema unyang'anyi mkubwa wa genge hili ndani ya CCM.
Mpina anastahili kupewa Ulinzi na Serikali.
Kwa sababu!
Nchi hii watu wakweli kama Mpina wanawindwa kama swala!
Sema kwa akili yangu finyu nimeona Pina kamuacha gulu
Sikulaumu Kwa kuwa Upeo wako ndo umeishia hapo. Wasalimie LUMUMBA.Sema kwa akili yangu finyu nimeona Pina kamuacha gulu
Gulu ndo Rika lako ki Upeo. Mnafanana sana nawe ni daktari wa uchumi ama?Una level Gani ya elimu
tuna maproffesor na madaktari wengi nchi tegemeziHuwezi kuwa na zero ukawa na utendaji sahihi
Dar supermarket, mbowe, mo alitaka kukimbia wakamdaka wakamweka pasiponulikana, Nimrod mkono kafilisiwa Mali zote mpaka kapalalise hatoki ndani kwake masaki labda mama huyu ambaye ana utu amrudishie hela zake, watu wamekufa wengi kwa presha kwa kikosi kazi alivhokianzisha kuvamia accounts za watu mchana kweupeee, nani angekuja kuanzisha biashara tena zaidi ya kukimbia na wengine kuahirisha kabisa. Mi mwenyewe account yangu aliiba hela zangu zote. Laana ndo imuua yule jamaa kila Kona walikuwa wanamuona mshenzi tu ispokuwa the so called " wanyonge" ambao walikuwa wanafurahia kudhuliwa kwa mtu ili iwe relief kwao ili kujustify uzembe na umaskini wao.