Mpina Anastahili Ulinzi, ni Mwanasiasa mkweli mwenye uthubutu na njia mbadala

Mpina Anastahili Ulinzi, ni Mwanasiasa mkweli mwenye uthubutu na njia mbadala

Kwa taarifa yako wawekezaji walikuwa wanapewa msamaha wa kodi kwa kipindi fulani…muda ukifika wa kuanza kulipa kodi wanasepa…

Huu uzwazwa JPM alisema hautafanywa kwake….tunataka uwekezaji wenye tija…unakuja hapa eti ajira…payroll yenyewe haifiki hata theluthi ya anachovuna…
Hapo ndo alianza kuharibu ndo mana graduates mpaka Leo ni kazi kuwamaliza mtaani mana JPm aeshaharibubkila kitu kwa kuwarundika bila ajira yaani wanamaliza vyuo hawajui waendi wapi kwa sababu jpm ameshawafukuza kwa ujinga wake tu
 
Huyo kwangu ndie mbunge anayejitambua kule bungeni kwa sasa, ndie pekee anayetoa hoja nzito zinazowaumiza vichwa wahusika na kukosa majibu ya kuridhisha.

Hata kama itasemwa aliingia bungeni kwa njia zisizo halali, lakini kwa kutetea kwake maslahi ya taifa na kuweka pembeni maslahi yake na chama chake, anastahili pongezi kwa kuwaamsha watendaji serikalini watimize wajibu wao.
Nashangaa na wwe umeingia huu mtego!!! Kwa staili hii CCM itaongoza milele..

Huyo jamaa anaongea sababu kanyimwa uwaziri ila akipewa atageuka kama Polepole, Bashiru, na Kabudi. Walipigania sheria na Katiba ila walipopata madaraka wakasahau.

Mpina alikua machachari tokea akiwa mwenyekiti wa kamati ya biashara na uwekezaji kama sikosei. Alikua wa moto sana enzi zile ila alipopata unaibu wote tuliona alivyo under perform.

So tuache kuingia huu mkenge, Hawa wabunge wa CCM sio wa kuwaamini kabisa.
 
Hapo ndo alianza kuharibu ndo mana graduates mpaka Leo ni kazi kuwamaliza mtaani mana JPm aeshaharibubkila kitu kwa kuwarundika bila ajira yaani wanamaliza vyuo hawajui waendi wapi kwa sababu jpm ameshawafukuza kwa ujinga wake tu

Tunataka uwekezaji wenye tija…..tujenge nchi yetu…

JPM was right
 
Tunataka uwekezaji wenye tija…..tujenge nchi yetu…

JPM was right
Maisha Huwa hayasimami hata siku moja. Alitaka watu wafe ili wafaufuke siku moja wakute ajira au
 
Nashangaa na wwe umeingia huu mtego!!! Kwa staili hii CCM itaongoza milele..

Huyo jamaa anaongea sababu kanyimwa uwaziri ila akipewa atageuka kama Polepole, Bashiru, na Kabudi. Walipigania sheria na Katiba ila walipopata madaraka wakasahau.

Mpina alikua machachari tokea akiwa mwenyekiti wa kamati ya biashara na uwekezaji kama sikosei. Alikua wa moto sana enzi zile ila alipopata unaibu wote tuliona alivyo under perform.

So tuache kuingia huu mkenge, Hawa wabunge wa CCM sio wa kuwaamini kabisa.

Sawa

Ajibiwe hoja zake…

Kila jambo na wakati wake…Tunataka wabunge wanaohoji…sio bora liende tu…pesa za walipa kodi zinachezewa tu bila mpangilio…
 
Ajira Sasa hivi private sector zimejaa na Bado zinaendelea kumwagika mana wawekezaji wanakijua daily hata shule tu kwa Sasa hata zile zilizofunga zimefungua biashara hivyo watu wanaajiruwa japo kuwamaliza watu wote Bado kutokana na jpm kurundika graduates kibao mtaani
Kuna ajira sasa hv?!…watu hawafi?!
 
Ajira Sasa hivi private sector zimejaa na Bado zinaendelea kumwagika mana wawekezaji wanakijua daily hata shule tu kwa Sasa hata zile zilizofunga zimefungua biashara hivyo watu wanaajiruwa japo kuwamaliza watu wote Bado kutokana na jpm kurundika graduates kibao mtaani

In your dreams
 
Sawa

Ajibiwe hoja zake…

Kila jambo na wakati wake…Tunataka wabunge wanaohoji…sio bora liende tu…pesa za walipa kodi zinachezewa tu bila mpangilio…
Hoja ipi? Anapigia kelele malipo nje ya bajeti ila anasahau JPM kununua ndege nje ya bajeti ila hakupiga kelele!! Wengine wakifanya hivyo hivyo ndio eti ufisadi? Undumilakuwili hauwezi kutusaidia kma taifa.

Point yangu ni kwamba hawamchukulii serious sababu wanajua anachokitaka. Ni sawa na Bahsiru akipigia kelele katiba mpya kwa Sasa nani atamuelewa?

Hoja zinaenda na credibility otherwise haziwezi fanyiwa kazi. Bashe aliwahi sema TISS ivunjwe tuanze A ila alipopewa uwaziri akaikana Ile kauli. So hata Mpina soon atapewa uwaziri tutarudi hapa kufukua nyuzi akikana maneno yake!!

Endeleeni kuhadaika tu na CCM
 
Nani kilaza kati ya mpina mwenye gpa ya 2.1 na mwigulu mwenye gpa ya 4.6 udsm tena ya uchumi.
Hakuna uhusiano wa moja kwa moja katiya GPA na uwajibikaji katika kazi.

Wapo wenye elimu za kawaida lakini wanatema madini kama MH. KISHIMBA.
Tena apewe udaktari wa heshima
 
Hoja ipi? Anapigia kelele malipo nje ya bajeti ila anasahau JPM kununua ndege nje ya bajeti ila hakupiga kelele!! Wengine wakifanya hivyo hivyo ndio eti ufisadi? Undumilakuwili hauwezi kutusaidia kma taifa.

Point yangu ni kwamba hawamchukulii serious sababu wanajua anachokitaka. Ni sawa na Bahsiru akipigia kelele katiba mpya kwa Sasa nani atamuelewa?

Hoja zinaenda na credibility otherwise haziwezi fanyiwa kazi. Bashe aliwahi sema TISS ivunjwe tuanze A ila alipopewa uwaziri akaikana Ile kauli. So hata Mpina soon atapewa uwaziri tutarudi hapa kufukua nyuzi akikana maneno yake!!

Endeleeni kuhadaika tu na CCM

Hachukuliwi serious na nani?! Spika ama Waziri

Wananchi tunataka majibu….hizo political games zao hazituhusu….
 
Hachukuliwi serious na nani?! Spika ama Waziri

Wananchi tunataka majibu….hizo political games zao hazituhusu….
Unfortunately majibu hutoyapata coz hayupo serious ila angeongea mtu ambaye hajawahi kuwa compromised hii habari Inge trend sana.

Na ndio maana Kuna faida ya kuwa na upinzani bungeni. Enzi zile JK alikua anampa mafile Zitto na uliona jinsi alivyopata attention Hadi mawaziri kufukuzwa.

Wampe hata Gwajima hizo data ingawa ni Yale Yale ila walau atasikilizwa. Huyo Mpina Hana lolote no wonder kaambulia kura sifuri uchaguzi wa NEC taifa.
 
Katiba mpya ndio mpango mzima
 
Ilianzia hapa!
[emoji116]

Kisha ikafuatia hapa!
[emoji116]


Kisha sikiliza hoja ya Mpina!
[emoji116]


Kwa sababu,nchi hii watu wakweli ndio wanawindwa kuliko majambazi na Mafisadi!
Ameamua kwa dhati,kujitwisha msalaba wa kuwatetea wanyonge dhidi ya kundi kubwa la Madhalimu nchini!

Anaziona kero za ufisadi mkubwa,na kuusema bila hofu!

Amekubali kuuweka ubunge wake ndani ya CCM rehani!
Ilimradi ameusema unyang'anyi mkubwa wa genge hili ndani ya CCM.

Mpina anastahili kupewa Ulinzi na Serikali.

Kwa sababu!
Nchi hii watu wakweli kama Mpina wanawindwa kama swala!

Safi mods kwa kumpiga ban mleta uzi. Sasa atumie ID yake nyingine ya jingalao
 
Jimboni kwake kukoje?
nimemfutilia mpina tangu enzi za kashfa za richmond, escrow na madudu yote machafu hajawahi kuwa mbulula labda wewe umemfahamu leo mpina waulize kina, Anna Makinda, jenista mhagama, job ndugai, simbachawene, lukuvi hao ndio wanamjua vizuri mpina tangu enzi hizo
 
Unfortunately majibu hutoyapata coz hayupo serious ila angeongea mtu ambaye hajawahi kuwa compromised hii habari Inge trend sana.

Na ndio maana Kuna faida ya kuwa na upinzani bungeni. Enzi zile JK alikua anampa mafile Zitto na uliona jinsi alivyopata attention Hadi mawaziri kufukuzwa.

Wampe hata Gwajima hizo data ingawa ni Yale Yale ila walau atasikilizwa. Huyo Mpina Hana lolote no wonder kaambulia kura sifuri uchaguzi wa NEC taifa.

Ngoja tuone
 
Anaongeaga ujinga ndo mana mwigulu amempa shule ya maana na kumwonyesha kwamba hajui chochote kuhusu uchumi ispokuwa uchawi tu. Kinachowacost Watanzania wengi ni elimu duni hawaelewi chochote ndo mana wamebaki wanashabikia tu anayefoka bila content ili mradi aonekane aneiponda serikali. Hapa ndo utajua kwa nini watu mbumbumbu walimpenda sana Jpm ukiwauliza kwa Nini wankwambia alikuwa anaongea kwa kufika Hadi Raha.
Mwigulu hana facts mkononi!
Mpina anazo facts mkononi!
Mpina anaitumia ripotivya mkaguzi na mdhibiti mkuu wa hesabu za serikali!

Mbona mwenyekiti wa Bunge amempa kinga Mwigulu...pale alipokataa #Mpina kuja na majibu mbele ya waziri?
 
Mwigulu hana facts mkononi!
Mpina anazo facts mkononi!
Mpina anaitumia ripotivya mkaguzi na mdhibiti mkuu wa hesabu za serikali!

Mbona mwenyekiti wa Bunge amempa kinga Mwigulu...pale alipokataa #Mpina kuja na majibu mbele ya waziri?
Mpina na malaya
 
Nani kilaza kati ya mpina mwenye gpa ya 2.1 na mwigulu mwenye gpa ya 4.6 udsm tena ya uchumi.
GPA tunaziona kwenye michango yao....., Gulu kaachwa mbali sana na Pina.hapo ndo utajua kuwa kuna GPA za mchongo kama ilivyokuwa PhD ya Bwana yulee....
 
Back
Top Bottom