Chikenpox
JF-Expert Member
- Oct 15, 2022
- 784
- 1,246
Hapo ndo alianza kuharibu ndo mana graduates mpaka Leo ni kazi kuwamaliza mtaani mana JPm aeshaharibubkila kitu kwa kuwarundika bila ajira yaani wanamaliza vyuo hawajui waendi wapi kwa sababu jpm ameshawafukuza kwa ujinga wake tuKwa taarifa yako wawekezaji walikuwa wanapewa msamaha wa kodi kwa kipindi fulani…muda ukifika wa kuanza kulipa kodi wanasepa…
Huu uzwazwa JPM alisema hautafanywa kwake….tunataka uwekezaji wenye tija…unakuja hapa eti ajira…payroll yenyewe haifiki hata theluthi ya anachovuna…