Mpina Anastahili Ulinzi, ni Mwanasiasa mkweli mwenye uthubutu na njia mbadala

Mpina Anastahili Ulinzi, ni Mwanasiasa mkweli mwenye uthubutu na njia mbadala

Leta takwimu hapa kuonesha uchumi umeanguka. Takwimu zinaonesha kipindi kile ndo uchumi ulikuwa hoi hata consumption rate ya watu ilizidi kudidimia Leo hii nenda bar uone jinsi watu wanavyotumia mpaka laki mbili kwa siku na mabaa yote yanajaa siku hizi. Enzi za jpm ukinywa bia mbili tu we mwanaume. Maana yake ni kwamba mzunguko wa pesa umekuwa mzuri na WA kuridbisha sana ndo mana watu Wana hela na huo ndo uchumi
soma taarifa ya kamati ya bunge ya kilimo, mifugo na maji imesema hayo maneno bungeni juzi
 
Let me laugh....Uchumi wa kununua V8 ya 400M wakati shule haina tundu la choo, sasa hao wachumi kama wewe wanapatikana sayari ya wapi kwa mfano?
Unanilazimisha nikudharau ujue!
Shule ina bell ya mwaka 47 kigazini kabisa…smh
 
kuwa mchumi mbobezi sio kujua mambo...mwigulu inaonekana alikuwa bingwa wa kukariri ndio maana akafaulu vizuri ila sio msomi mzuri
Umeshawahi kusikia Kuna mchumi hapa tanzania anakosoa sera za mwigulu. Nyile mbulula msiolewa chochote ndo mnamkosoa tu. Umeshawi kusikia akina Lipumba, prof semboja nk wanamkosoa mwigulu kwa sera za uchumi ambazo anazitekeleza.
 
Leta wewe acha uvivu. Shida mitanzania yote ni mivivu ya kusoma ila inapenda vitu cheap
soma taarifa ya kamati ya bunge ya kilimo, mifugo na maji imesema hayo maneno bungeni juzi
 
Mpina yupo sahihi ndo maana madelu kajibu kwa mipasho........nchi kwa sasa inahitaji watu aina ya Mpina.
 
Mh.Mpina alikua mbunge wakati wa awamu ya tano?kuna mwenye clips zake kuhusu mchango wake bungeni kipindi cha mwendazake, maana ya kuuliza hii ni kutaka kujua impartiality ya Mhe huyu
Mnafiki tu huyo sababu kanyimwa uwaziri
 
Ilianzia hapa!
[emoji116]

Kisha ikafuatia hapa!
[emoji116]


Kisha sikiliza hoja ya Mpina!
[emoji116]


Kwa sababu,nchi hii watu wakweli ndio wanawindwa kuliko majambazi na Mafisadi!
Ameamua kwa dhati,kujitwisha msalaba wa kuwatetea wanyonge dhidi ya kundi kubwa la Madhalimu nchini!

Anaziona kero za ufisadi mkubwa,na kuusema bila hofu!

Amekubali kuuweka ubunge wake ndani ya CCM rehani!
Ilimradi ameusema unyang'anyi mkubwa wa genge hili ndani ya CCM.

Mpina anastahili kupewa Ulinzi na Serikali.

Kwa sababu!
Nchi hii watu wakweli kama Mpina wanawindwa kama swala!

Acha uongo awamu hii hakuna anayewindwa,
Muwindaji wa wakosoaji tulimzika 17/03/2021
Tundu Lissu, Lema, Mdude na viongozi wengine wa Chadema ni ushahidi tosha

Awamu hii nani kapigwa risasi kwa kukosoa serikali?
 
Anaongeaga ujinga ndo mana mwigulu amempa shule ya maana na kumwonyesha kwamba hajui chochote kuhusu uchumi ispokuwa uchawi tu. Kinachowacost Watanzania wengi ni elimu duni hawaelewi chochote ndo mana wamebaki wanashabikia tu anayefoka bila content ili mradi aonekane aneiponda serikali. Hapa ndo utajua kwa nini watu mbumbumbu walimpenda sana Jpm ukiwauliza kwa Nini wankwambia alikuwa anaongea kwa kufika Hadi Raha.
Na wewe ficha ujinga wako,Mwigulu ajajibu hoja za Mpina bali amefoka tu na kwa kifupi hawezi kujibu hoja za Mpina,Mpina anajenga hoja kwa fact!
Ile pesa Bilioni 300 waliyomlipa Symbion imetoka wapi kama haijachomolewa kwenye mafungu ya kibajeti na kuathiri maeneo mengine?
Na Ile pesa zaidi ya trillion 1 waliyomlipa mchina nje ya bajeti wameitoa wapi?

Mwigulu alipaswa ajibu hizo hoja na aliambie taifa kama kuna athari katika utekelezaji wa bajeti au la!

Alafu Mwigulu ni mchumi wa darasani ajawahi practice uchumi nje ya serikali kama akina Dkt.Mpango ambao wamefundisha vyuo vikuu na baadaye kufanya kazi World bank then kuwa Katibu wa tume ya mipango ya nchi.Sasa niambie Mwigulu alisha fanya kazi wapi za kiuchumi?That guy has no exposure at all in as far as economic management is concerned!
Weka uchawa pembeni,jadili hoja!
 
Ilianzia hapa!
[emoji116]

Kisha ikafuatia hapa!
[emoji116]


Kisha sikiliza hoja ya Mpina!
[emoji116]


Kwa sababu,nchi hii watu wakweli ndio wanawindwa kuliko majambazi na Mafisadi!
Ameamua kwa dhati,kujitwisha msalaba wa kuwatetea wanyonge dhidi ya kundi kubwa la Madhalimu nchini!

Anaziona kero za ufisadi mkubwa,na kuusema bila hofu!

Amekubali kuuweka ubunge wake ndani ya CCM rehani!
Ilimradi ameusema unyang'anyi mkubwa wa genge hili ndani ya CCM.

Mpina anastahili kupewa Ulinzi na Serikali.

Kwa sababu!
Nchi hii watu wakweli kama Mpina wanawindwa kama swala!

Huyu Mpina ni TAPELI MCHAWI mwenye gubu baada ya mjomba wake JPM kufariki. Huyu alipewa uwaziri na ndani ya muda mfupi akawa mwizi mzoefu. Ni maumivu tu yanamasumbua, hakuna Rais aliyeharibu uchumi kama zwazwa mjomba wake.
 
Ilianzia hapa!
[emoji116]

Kisha ikafuatia hapa!
[emoji116]


Kisha sikiliza hoja ya Mpina!
[emoji116]


Kwa sababu,nchi hii watu wakweli ndio wanawindwa kuliko majambazi na Mafisadi!
Ameamua kwa dhati,kujitwisha msalaba wa kuwatetea wanyonge dhidi ya kundi kubwa la Madhalimu nchini!

Anaziona kero za ufisadi mkubwa,na kuusema bila hofu!

Amekubali kuuweka ubunge wake ndani ya CCM rehani!
Ilimradi ameusema unyang'anyi mkubwa wa genge hili ndani ya CCM.

Mpina anastahili kupewa Ulinzi na Serikali.

Kwa sababu!
Nchi hii watu wakweli kama Mpina wanawindwa kama swala!

Huu ukweli kaanza kuusema Lin? Mbona alikuwa kimya enzi zile za giza. Huyu ni mnafiki tu kama wengine. Wale wananchi wanaomlalamikia zile heka elfu 1000 alizowanyang'anya enz za giza amerudisha?
 
wawekezaji walikuwa wanakimbia nchi hii kila kukicha lakini yeye anakwambia yupo na wanyonge
Tutajie majina ya wawekezaji waliokimbia nchi, mwekezaji makini kama Bakhresa, Mengi Kampuni kama TBL, Serengeti, Coca Cola, Pepsi mbona hawakufunga na kukimbia wakati wa magufuli. huyo aliyekimbia labda alikuwa ni mhalifu
 
Acha uongo awamu hii hakuna anayewindwa,
Muwindaji wa wakosoaji tulimzika 17/03/2021
Tundu Lissu, Lema, Mdude na viongozi wengine wa Chadema ni ushahidi tosha

Awamu hii nani kapigwa risasi kwa kukosoa serikali?
Kwa kweli tarehe 17/03/2021 itabaki kuwa siku ya ukombozi kwa kuondokewa na mtu mwovu kuwahi kutokea duniani
 
Ilianzia hapa!
[emoji116]

Kisha ikafuatia hapa!
[emoji116]


Kisha sikiliza hoja ya Mpina!
[emoji116]


Kwa sababu,nchi hii watu wakweli ndio wanawindwa kuliko majambazi na Mafisadi!
Ameamua kwa dhati,kujitwisha msalaba wa kuwatetea wanyonge dhidi ya kundi kubwa la Madhalimu nchini!

Anaziona kero za ufisadi mkubwa,na kuusema bila hofu!

Amekubali kuuweka ubunge wake ndani ya CCM rehani!
Ilimradi ameusema unyang'anyi mkubwa wa genge hili ndani ya CCM.

Mpina anastahili kupewa Ulinzi na Serikali.

Kwa sababu!
Nchi hii watu wakweli kama Mpina wanawindwa kama swala!

Huyu na mwenyewe mwizi tu,haya mbona hakuyasema kipindi Cha shetani Jiwe?watu wa ccm ni kama mazimwi!wanashinda wanatutajia matatizo tuliyonayo badala ya kusema suruhisho,sasa Raisi wa nchi anasimama anasema bei kubwa za vyakula zinaumiza wananchi!!au anasema pesa za pre burgain zimeibiwa!!sasa anataka sie wananchi tufanye nini?tumpige dole la kati Ili ashituke au!!!
Ccm ni kama waumiani wanyonya damu,wwnachokifanya ni kupumbaza wananchi tu!!confuse them with erratic information!!wananchi wanabaki wamepigwa na bumbu wazi kwamba sasa wamuonee huruma Raisi au wamtukane,
 
mwigulu anaongea bila takwimu mpina anatumia taarifa ya cag na taarifa ya kamati ya bunge nani sasa hajui mambo anayeongea kwa takwimu au anayepiga tu kelele bila takwimu
Me nadhani mh Mwigulu amekili kwamba ni kweli wametumia fedha nje ya bajeti kwamba kuna fedha ambazo zilitumika kuwapa watoto ambao hawakupata mikopo ya elimu ya juu( wanafunzi walikopeshwa) na hizo fedha serikali ilikopa billion 70+, na tsh billion 160, zilitumika kwaajili ya ujenzi wa vyumba vya madarasa , vyumba 8,000, na mh Nchemba analikumbusha bunge na umma kwa ujumla je hayo majengo ya vyumba vya madarasa havionekani? Je kwa sasa bado kuna watoto wanalandalanda mitaani bila mikopo ya elimu ya juu??
 
Mh.Mpina alikua mbunge wakati wa awamu ya tano?kuna mwenye clips zake kuhusu mchango wake bungeni kipindi cha mwendazake, maana ya kuuliza hii ni kutaka kujua impartiality ya Mhe huyu
Aliamua mpaka kupima urefu wa samaki waliokuwa wakiuzwa kwenye canteen ya Bunge maana yake ni kwamba hata wakati huo alikuwa ana msimamo na akalaumiwa na waheshimiwa wenzie kwa kitendo kile !!
 
Let me laugh....Uchumi wa kununua V8 ya 400M wakati shule haina tundu la choo, sasa hao wachumi kama wewe wanapatikana sayari ya wapi kwa mfano?
Unanilazimisha nikudharau ujue!
Kwakweli wapo wachumi na wachumia tumbo! Sasa sijui nani ni nani !!
 
Huyo kwangu ndie mbunge anayejitambua kule bungeni kwa sasa, ndie pekee anayetoa hoja nzito zinazowaumiza vichwa wahusika na kukosa majibu ya kuridhisha.

Hata kama itasemwa aliingia bungeni kwa njia zisizo halali, lakini kwa kutetea kwake maslahi ya taifa na kuweka pembeni maslahi yake na chama chake, anastahili pongezi kwa kuwaamsha watendaji serikalini watimize wajibu wao.
Angekuwa Yuko serekalin Wala asingezema haya

Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
 
Nani kilaza kati ya mpina mwenye gpa ya 2.1 na mwigulu mwenye gpa ya 4.6 udsm tena ya uchumi.
Huna ujualo wewe! Gpa kubwa ya nchemba imekusaidia nini wewe mpuuzi?

Hana ubunifu wowote wa kiuchumi hata kidogo, anabuni kuwawekea tozo masikini? Ndio elimu kubwa aliyònayo?
Kilicholetwa mezani na CAG ni ulipwaji wa pesa za serikali kwa kampuni iliyositishiwa mkataba na bunge na kampuni ililipwa bila idhini ya bunge? Halafu majibu hata hayana miguu wala mkia na hayatokani na hoja ya Mpina yaliyotokana mkaguzi wa hesabu za serikali wewe unatuleta gpa ya kipuuzi tu isiyo na faida?

We jamaa, kwani umeishia darasa la ngapi? Mbona hata huwezi kuelewa chochote zaidi ya kutaja gpa,

Nani kakwambia sisi tunakula gpa na kuwaogopa wenye nazo hata kama ni ujinga?
 
Back
Top Bottom