DITTONaunga mkono
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
DITTONaunga mkono
soma taarifa ya kamati ya bunge ya kilimo, mifugo na maji imesema hayo maneno bungeni juziLeta takwimu hapa kuonesha uchumi umeanguka. Takwimu zinaonesha kipindi kile ndo uchumi ulikuwa hoi hata consumption rate ya watu ilizidi kudidimia Leo hii nenda bar uone jinsi watu wanavyotumia mpaka laki mbili kwa siku na mabaa yote yanajaa siku hizi. Enzi za jpm ukinywa bia mbili tu we mwanaume. Maana yake ni kwamba mzunguko wa pesa umekuwa mzuri na WA kuridbisha sana ndo mana watu Wana hela na huo ndo uchumi
Shule ina bell ya mwaka 47 kigazini kabisa…smhLet me laugh....Uchumi wa kununua V8 ya 400M wakati shule haina tundu la choo, sasa hao wachumi kama wewe wanapatikana sayari ya wapi kwa mfano?
Unanilazimisha nikudharau ujue!
Umeshawahi kusikia Kuna mchumi hapa tanzania anakosoa sera za mwigulu. Nyile mbulula msiolewa chochote ndo mnamkosoa tu. Umeshawi kusikia akina Lipumba, prof semboja nk wanamkosoa mwigulu kwa sera za uchumi ambazo anazitekeleza.kuwa mchumi mbobezi sio kujua mambo...mwigulu inaonekana alikuwa bingwa wa kukariri ndio maana akafaulu vizuri ila sio msomi mzuri
soma taarifa ya kamati ya bunge ya kilimo, mifugo na maji imesema hayo maneno bungeni juzi
Mnafiki tu huyo sababu kanyimwa uwaziriMh.Mpina alikua mbunge wakati wa awamu ya tano?kuna mwenye clips zake kuhusu mchango wake bungeni kipindi cha mwendazake, maana ya kuuliza hii ni kutaka kujua impartiality ya Mhe huyu
Nenda kamuulize Prof. Lipumba na Prof. Semboja factors zinazosababisha mfumko wa bei alafu urudi hapaLipumba, prof semboja nk wanamkosoa mwigulu kwa sera za uchumi ambazo anazitekeleza.
Ilianzia hapa!
[emoji116]
Kisha ikafuatia hapa!
[emoji116]
Kisha sikiliza hoja ya Mpina!
[emoji116]
Kwa sababu,nchi hii watu wakweli ndio wanawindwa kuliko majambazi na Mafisadi!
Ameamua kwa dhati,kujitwisha msalaba wa kuwatetea wanyonge dhidi ya kundi kubwa la Madhalimu nchini!
Anaziona kero za ufisadi mkubwa,na kuusema bila hofu!
Amekubali kuuweka ubunge wake ndani ya CCM rehani!
Ilimradi ameusema unyang'anyi mkubwa wa genge hili ndani ya CCM.
Mpina anastahili kupewa Ulinzi na Serikali.
Kwa sababu!
Nchi hii watu wakweli kama Mpina wanawindwa kama swala!
Na wewe ficha ujinga wako,Mwigulu ajajibu hoja za Mpina bali amefoka tu na kwa kifupi hawezi kujibu hoja za Mpina,Mpina anajenga hoja kwa fact!Anaongeaga ujinga ndo mana mwigulu amempa shule ya maana na kumwonyesha kwamba hajui chochote kuhusu uchumi ispokuwa uchawi tu. Kinachowacost Watanzania wengi ni elimu duni hawaelewi chochote ndo mana wamebaki wanashabikia tu anayefoka bila content ili mradi aonekane aneiponda serikali. Hapa ndo utajua kwa nini watu mbumbumbu walimpenda sana Jpm ukiwauliza kwa Nini wankwambia alikuwa anaongea kwa kufika Hadi Raha.
Ilianzia hapa!
[emoji116]
Kisha ikafuatia hapa!
[emoji116]
Kisha sikiliza hoja ya Mpina!
[emoji116]
Kwa sababu,nchi hii watu wakweli ndio wanawindwa kuliko majambazi na Mafisadi!
Ameamua kwa dhati,kujitwisha msalaba wa kuwatetea wanyonge dhidi ya kundi kubwa la Madhalimu nchini!
Anaziona kero za ufisadi mkubwa,na kuusema bila hofu!
Amekubali kuuweka ubunge wake ndani ya CCM rehani!
Ilimradi ameusema unyang'anyi mkubwa wa genge hili ndani ya CCM.
Mpina anastahili kupewa Ulinzi na Serikali.
Kwa sababu!
Nchi hii watu wakweli kama Mpina wanawindwa kama swala!
Ilianzia hapa!
[emoji116]
Kisha ikafuatia hapa!
[emoji116]
Kisha sikiliza hoja ya Mpina!
[emoji116]
Kwa sababu,nchi hii watu wakweli ndio wanawindwa kuliko majambazi na Mafisadi!
Ameamua kwa dhati,kujitwisha msalaba wa kuwatetea wanyonge dhidi ya kundi kubwa la Madhalimu nchini!
Anaziona kero za ufisadi mkubwa,na kuusema bila hofu!
Amekubali kuuweka ubunge wake ndani ya CCM rehani!
Ilimradi ameusema unyang'anyi mkubwa wa genge hili ndani ya CCM.
Mpina anastahili kupewa Ulinzi na Serikali.
Kwa sababu!
Nchi hii watu wakweli kama Mpina wanawindwa kama swala!
Tutajie majina ya wawekezaji waliokimbia nchi, mwekezaji makini kama Bakhresa, Mengi Kampuni kama TBL, Serengeti, Coca Cola, Pepsi mbona hawakufunga na kukimbia wakati wa magufuli. huyo aliyekimbia labda alikuwa ni mhalifuwawekezaji walikuwa wanakimbia nchi hii kila kukicha lakini yeye anakwambia yupo na wanyonge
Kwa kweli tarehe 17/03/2021 itabaki kuwa siku ya ukombozi kwa kuondokewa na mtu mwovu kuwahi kutokea dunianiAcha uongo awamu hii hakuna anayewindwa,
Muwindaji wa wakosoaji tulimzika 17/03/2021
Tundu Lissu, Lema, Mdude na viongozi wengine wa Chadema ni ushahidi tosha
Awamu hii nani kapigwa risasi kwa kukosoa serikali?
Ilianzia hapa!
[emoji116]
Kisha ikafuatia hapa!
[emoji116]
Kisha sikiliza hoja ya Mpina!
[emoji116]
Kwa sababu,nchi hii watu wakweli ndio wanawindwa kuliko majambazi na Mafisadi!
Ameamua kwa dhati,kujitwisha msalaba wa kuwatetea wanyonge dhidi ya kundi kubwa la Madhalimu nchini!
Anaziona kero za ufisadi mkubwa,na kuusema bila hofu!
Amekubali kuuweka ubunge wake ndani ya CCM rehani!
Ilimradi ameusema unyang'anyi mkubwa wa genge hili ndani ya CCM.
Mpina anastahili kupewa Ulinzi na Serikali.
Kwa sababu!
Nchi hii watu wakweli kama Mpina wanawindwa kama swala!
Me nadhani mh Mwigulu amekili kwamba ni kweli wametumia fedha nje ya bajeti kwamba kuna fedha ambazo zilitumika kuwapa watoto ambao hawakupata mikopo ya elimu ya juu( wanafunzi walikopeshwa) na hizo fedha serikali ilikopa billion 70+, na tsh billion 160, zilitumika kwaajili ya ujenzi wa vyumba vya madarasa , vyumba 8,000, na mh Nchemba analikumbusha bunge na umma kwa ujumla je hayo majengo ya vyumba vya madarasa havionekani? Je kwa sasa bado kuna watoto wanalandalanda mitaani bila mikopo ya elimu ya juu??mwigulu anaongea bila takwimu mpina anatumia taarifa ya cag na taarifa ya kamati ya bunge nani sasa hajui mambo anayeongea kwa takwimu au anayepiga tu kelele bila takwimu
Aliamua mpaka kupima urefu wa samaki waliokuwa wakiuzwa kwenye canteen ya Bunge maana yake ni kwamba hata wakati huo alikuwa ana msimamo na akalaumiwa na waheshimiwa wenzie kwa kitendo kile !!Mh.Mpina alikua mbunge wakati wa awamu ya tano?kuna mwenye clips zake kuhusu mchango wake bungeni kipindi cha mwendazake, maana ya kuuliza hii ni kutaka kujua impartiality ya Mhe huyu
Kwakweli wapo wachumi na wachumia tumbo! Sasa sijui nani ni nani !!Let me laugh....Uchumi wa kununua V8 ya 400M wakati shule haina tundu la choo, sasa hao wachumi kama wewe wanapatikana sayari ya wapi kwa mfano?
Unanilazimisha nikudharau ujue!
Angekuwa Yuko serekalin Wala asingezema hayaHuyo kwangu ndie mbunge anayejitambua kule bungeni kwa sasa, ndie pekee anayetoa hoja nzito zinazowaumiza vichwa wahusika na kukosa majibu ya kuridhisha.
Hata kama itasemwa aliingia bungeni kwa njia zisizo halali, lakini kwa kutetea kwake maslahi ya taifa na kuweka pembeni maslahi yake na chama chake, anastahili pongezi kwa kuwaamsha watendaji serikalini watimize wajibu wao.
Huna ujualo wewe! Gpa kubwa ya nchemba imekusaidia nini wewe mpuuzi?Nani kilaza kati ya mpina mwenye gpa ya 2.1 na mwigulu mwenye gpa ya 4.6 udsm tena ya uchumi.