NIMESOMA Maagizo ya Spika kwa Kamati inayokwenda kumhoji Mpina kwenye suala la tuhuma alizotoa dhidi ya Bashe kwenye skendo ya vibali vya sukari...watalaamu wa sheria tunaomba mtuletee mchanganuo wa Sheria alizotaja Spika kuwa Mpina amezivunja ili nasi tusiojua sheria tujue anakwenda kuhukumiwa kwa sheria gani?
View: https://youtu.be/yRM0eDzJnMI?si=GusPTRP-xRiSI0Hb
View: https://youtu.be/yRM0eDzJnMI?si=GusPTRP-xRiSI0Hb