peno hasegawa
JF-Expert Member
- Feb 24, 2016
- 14,255
- 23,949
Katika kuelezea ubadhirifu ambao umebainishwa katika ripoti za CAG, Mbunge Luhaga Mpina ataka hatua zichukuliwe dhidi ya viongozi ambao wanahusika na makosa yao. Hii ni pamoja na kuwawchukulia hatua mawaziri.
View: https://youtu.be/6O75Oiw0xZs?si=eLt2cBTuY1bMzg0f
View: https://youtu.be/6O75Oiw0xZs?si=eLt2cBTuY1bMzg0f