Hapana he is right, hiyo kwa namna nyingine ile hela ilikuwa ilipwe serikalini kuna watu wamekula percent yao tayari, huwezi kuongexa muda wakati kwenye mkataba kuna kipengele kuhusu muda na penalty zake, ni wizi straight awayMost of what he is claiming do not make sense hence his logics are utterly flawed... its difficult to trust his integrity