Tangawizi
JF-Expert Member
- Jun 25, 2009
- 6,696
- 6,734
π π π π π πNakushauri uwe unaandika Kiswahili, Kingereza siyo Kihehe kaka!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
π π π π π πNakushauri uwe unaandika Kiswahili, Kingereza siyo Kihehe kaka!
Takukuru hadi waambiwe fanyeni...Takukuru wanahangaika na rushwa za walimu na mahakimu wa primary court, kwenye mambo haya za rushwa kubwa huwasikii
Kutokudai pesa na kuiba pesa ni vitu viwili tofauti angesema hasara sio ufisadi... yaani billion 300 haijalipwa ni sawa na billion 300 imeliwa? Mpina is delusional.Hapana he is right, hiyo kwa namna nyingine ile hela ilikuwa ilipwe serikalini kuna watu wamekula percent yao tayari, huwezi kuongexa muda wakati kwenye mkataba kuna kipengele kuhusu muda na penalty zake, ni wizi straight away
zitto juniaπ€£Kutokudai pesa na kuiba pesa ni vitu viwili tofauti angesema hasara sio ufisadi... yaani billion 300 haijalipwa ni sawa na billion 300 imeliwa? Mpina is delusional.
Kula chuma hikoKutokudai pesa na kuiba pesa ni vitu viwili tofauti angesema hasara sio ufisadi... yaani billion 300 haijalipwa ni sawa na billion 300 imeliwa? Mpina is delusional.
Mkuu sio utani, mpina kasema Trillion 60 zimeiwa eti kisa trillion 30 za mapato na trillion 30 za matumiz hivi unaweza tumia ambacho hujakusanya? This man is delusional .zitto juniaπ€£
Sina usahihi wa kiwango stahiki, labda niulize swali ni kweli kuna hela inabidi tulipwe according na makubaliano?Mkuu sio utani, mpina kasema Trillion 60 zimeiwa eti kisa trillion 30 za mapato na trillion 30 za matumiz hivi unaweza tumia ambacho hujakusanya? This man is delusional .
Sana SanaCCM wahuni tu hawa
Hapana kama serikali ilitakiwa kupata pesa according to mkataba , wewe ukapindisha makusudi kwa kutoa msamaha , je alitoa huo msamaha kwa faida ya nani? Kuna mazingira ya rushwa black and white, lazima kapewa hela akaamua makusudi serikali isipate ili iingie mifukoni kwaoKutokudai pesa na kuiba pesa ni vitu viwili tofauti angesema hasara sio ufisadi... yaani billion 300 haijalipwa ni sawa na billion 300 imeliwa? Mpina is delusional.
Ila siyo kwa kuandika ujinga kama huu bwana ahaha!Google translate inafanya maisha yanakuwa mepesi chiefπ€£π€£π€£
Yeah hizo ni fine mfano Mradi wa BRT ya mbagala umechelewa kukabidhiwa so kisheria kama muda waliopewa umevuka wanapaswa kulipa say 10 percent ya gharama za mradi wote ili kufidia hasara za kuchelewesha mradi. Sasa hiyo kama haijalipwa unasemaje imeibwa yaani unahesabu billion 10 zimelbiwa au HAZIJALIPWA??Sina usahihi wa kiwango stahiki, labda niulize swali ni kweli kuna hela inabidi tulipwe according na makubaliano?
Maana haya makampuni yakifika kutudai sisi hua hayalembi
Eeh sasa hiyo ni RUSHWA sio BILLION 300 imeliwa.... mtu kahongwa million 500 asamehe deni sasa hiyo billion 300 imeliwa na nani wakati haijalipwa coz of rushwa?Hapana kama serikali ilitakiwa kupata pesa according to mkataba , wewe ukapindisha makusudi kwa kutoa msamaha , je alitoa huo msamaha kwa faida ya nani? Kuna mazingira ya rushwa black and white, lazima kapewa hela akaamua makusudi serikali isipate ili iingie mifukoni kwao
Hapo ninekupata hatua za kuwadai zianze mara moja sasaYeah hizo ni fine mfano Mradi wa BRT ya mbagala umechelewa kukabidhiwa so kisheria kama muda waliopewa umevuka wanapaswa kulipa say 10 percent ya gharama za mradi wote ili kufidia hasara za kuchelewesha mradi. Sasa hiyo kama haijalipwa unasemaje imeibwa yaani unahesabu billion 10 zimelbiwa au HAZIJALIPWA??
Ingekuwa mkandarasi tumemkosea kwenye mkataba angetuachia hiyo pesa? Si angetupeleka hadi mahakama za kimataifa za biashara, mambo ya hovyo kama haya inafanya nchi inazidi kuwa masikini, watu wachache wanaiba pesa nyingi ila kwenye madeni tunalipishwa woteYeah hizo ni fine mfano Mradi wa BRT ya mbagala umechelewa kukabidhiwa so kisheria kama muda waliopewa umevuka wanapaswa kulipa say 10 percent ya gharama za mradi wote ili kufidia hasara za kuchelewesha mradi. Sasa hiyo kama haijalipwa unasemaje imeibwa yaani unahesabu billion 10 zimelbiwa au HAZIJALIPWA??
Hapo ninekupata hatua za kuwadai zianze mara moja sasa
View: https://x.com/eastafricatv/status/1721512615493480729?s=20
Ili nasisi tupunguze hii mikopo maana tuna hela zipo hewani
Bwashee tuheshimianeNakushauri uwe unaandika Kiswahili, Kingereza siyo Kihehe kaka!
Unfortunately you're in the same category π πͺMost of what he is claiming do not make sense hence his logics are utterly flawed... its difficult to trust his integrity