Tetesi: Mpina atapata adhabu kali kwa sababu hili ni Bunge la Chama kimoja

Tetesi: Mpina atapata adhabu kali kwa sababu hili ni Bunge la Chama kimoja

Huwezi kupambana na Shetani ukaweza ukiwa kwenye ngome yake!
Unapambanaje na serikali ya CCM ukiwa ndani ya CCM?
Hapo utakuwa unajitoa sadaka mwenyewe!
 
“Don’t shoot the messenger”

Ukimsikiliza Mpina kwa makini hawezi kufanya research na kutoa ushahidi wote ule wa kina peke yake.

Ana tarehe ya barua ambayo wizara imeandika kutoa vibali kwa wenye viwanda in short notice (lazima kuna mtu wa wizarani).

Anaelewa ‘lead time’ ya kuagiza sukari toka unapata kibali ni siku ‘60-90’ kwa hivyo kama ni kufidia shortages unatakiwa kuwapa vibali watu miezi mitatu kabla (kuna mtu body sukari kampa hizo info).

Ana information za Brela za kampuni za Magumashi kama hizo za stationary (kupewa vibali) kuna mtu wa Brela.

Na mambo mengine luluki aliyoongea kama unaelewa changamoto za kupata info zote hizo kwenye research. Jumlisha na maelezo ya Mpina anaweza kutoa mpaka references number za documented details.

Elewa hizo info kakusanyiwa na TISS

Watanzania wagumu kuelewa ‘intelligence services’ maana yake ni mchezo wa akili.

Shida ni elimu yetu ingekuwa inafundisha critical thinking kwa wasomi waliopo bungeni (kwa mujibu ya qualification vyao, uhalisia wengi magumashi), ilitakiwa waelewe nani yupo nyuma ya Mpina (yeye mwenyewe awezi pata diverse of information kama zile za taasisi mbali mbali) only TISS inaweza kusanya zile info na kumpa Mpina report.

Maana yake nini TISS wanajua ufisadi wa Bashe washamchoka wanataka atoke hapo, na ukizingatia budget kubwa anayopewa pengine ni hiyo wizara ni chaka la ufisadi hadi Ikulu.

Binafsi nadhani hilo ni onyo la kistaarabu, Bashe kama ana akili timamu inatakiwa kuelewa the game is over.

Huyo Betina poyoyo tu, Lissu anaweza jibu upuuzi wake wa kujiamulia kutafsiri kanuni za bunge anavyotaka ili kuwanyamizisha. Betina mwenyewe hajui kama anatumika kwenye kichwa chake anailinda CCM.

Usalama wa taifa (intelligence services) ni mchezo wa watu wenye akili kama jina lake lilivyo. Namna pekee pekee anaweza toa ushahidi ule ni kuna watu kadhaa wanamkusanyia na watu pekee wenye manpower hiyo ni TISS.
Hapa kwa namna nyingine ni kama unasema usalama wa taifa wameamua kutuachia wananchi wenyewe tuamue juu ya huu ufisadi unaofanywa na Samia akishirikiana na mtoto wake.
 
Hapa kwa namna nyingine ni kama unasema usalama wa taifa wameamua kutuachia wananchi wenyewe tuamue juu ya huu ufisadi unaofanywa na Samia akishirikiana na mtoto wake.
Probably, Mpina awezi kuwa info zote zile bila ya msaada,

Inaweza hata kuwa onyo kwa spika, sema hana weledi wa kuelewa baada ya kulewa madaraka.

Kwa Tanzania mtu kama Tulia awezi rushwa juu vile kiharaka sema baadae wanajisahau.
 
“Don’t shoot the messenger”

Ukimsikiliza Mpina kwa makini hawezi kufanya research na kutoa ushahidi wote ule wa kina peke yake.

Ana tarehe ya barua ambayo wizara imeandika kutoa vibali kwa wenye viwanda in short notice (lazima kuna mtu wa wizarani).

Anaelewa ‘lead time’ ya kuagiza sukari toka unapata kibali ni siku ‘60-90’ kwa hivyo kama ni kufidia shortages unatakiwa kuwapa vibali watu miezi mitatu kabla (kuna mtu body sukari kampa hizo info).

Ana information za Brela za kampuni za Magumashi kama hizo za stationary (kupewa vibali) kuna mtu wa Brela.

Na mambo mengine luluki aliyoongea kama unaelewa changamoto za kupata info zote hizo kwenye research. Jumlisha na maelezo ya Mpina anaweza kutoa mpaka references number za documented details.

Elewa hizo info kakusanyiwa na TISS

Watanzania wagumu kuelewa ‘intelligence services’ maana yake ni mchezo wa akili.

Shida ni elimu yetu ingekuwa inafundisha critical thinking kwa wasomi waliopo bungeni (kwa mujibu ya qualification vyao, uhalisia wengi magumashi), ilitakiwa waelewe nani yupo nyuma ya Mpina (yeye mwenyewe awezi pata diverse of information kama zile za taasisi mbali mbali) only TISS inaweza kusanya zile info na kumpa Mpina report.

Maana yake nini TISS wanajua ufisadi wa Bashe washamchoka wanataka atoke hapo, na ukizingatia budget kubwa anayopewa pengine ni hiyo wizara ni chaka la ufisadi hadi Ikulu.

Binafsi nadhani hilo ni onyo la kistaarabu, Bashe kama ana akili timamu inatakiwa kuelewa the game is over.

Huyo Betina poyoyo tu, Lissu anaweza jibu upuuzi wake wa kujiamulia kutafsiri kanuni za bunge anavyotaka ili kuwanyamizisha. Betina mwenyewe hajui kama anatumika kwenye kichwa chake anailinda CCM.

Usalama wa taifa (intelligence services) ni mchezo wa watu wenye akili kama jina lake lilivyo. Namna pekee pekee anaweza toa ushahidi ule ni kuna watu kadhaa wanamkusanyia na watu pekee wenye manpower hiyo ni TISS.
Everything is so clear, madudu haya, deeply inner infos! /
AACHIE NGAZI, KUEPUSHA MENGI YA HOVYO!
 
Kwenye hili, Luhaga Mpina amewabananisha wenzake kwenye Kona mbaya na ya hatari sana.

Na huyu bwana Luhaga Mpina ile kupeleka ushahidi wake kwa Spika na hapohapo kufanya Press Conference kuelezea hatua kwa hatua kila alichokiwasilisha kwa Spika na kuumwaga ushahidi huo hadharani, si kwamba alikuwa hajui kinachokuja. Na sio kwamba alikuwa hajui consequences zake. Si kwamba alikuwa hajui kanuni za Bunge zinasemaje.

Generally speaking, ni kuwa huyu bwana si mjinga. He knows exactly what he's doing. Hopefully kuwa amejiandaa kwa lolote.

Kikubwa ni kuwa ameiweka CCM na serikali ya CCM kwa ujumla ktk njiapanda. Wamakonde husema, UKIKIMBIA NCHALE, UKISIMAMA NCHALE na UKIKAA NCHALE. Kwa maana kwamba uamuzi wowote watakaochukua dhidi yake kwenye hili, hautawapa nafuu yoyote. Kilichopo mbele yao ni kupima tu uamuzi gani una madhara nafuu kuliko mwingine.

Wakumbuke tu kuwa hizo nyaraka za ufisadi huo wa CCM (Rais Samia kupitia kwa waziri wake Bashe na Mwigulu), tayari ziko mikononi mwa wapinzani wao wa jadi Tundu Lissu na CHADEMA kwa ujumla. Wakijichanganya tu watapigwa spana mpaka wataanza kutafuta SMG zilipo!!

Mimi naona hili, kuwa, Kuna baadhi ya vigogo wa serikali wakitolewa sadaka. Bashe atapona. Mtandao wa mafisadi utamlinda maana Rais Samia Suluhu Hassan mwenyewe kupitia kwa mwanae ndiye mhandisi wa ufisadi huu.

Huu ni ushahidi wa waziwazi kuwa ndani ya serikali na CCM Kuna mgawanyiko mkubwa kuhusu u - Rais wa huyu mama.

Nimejaribu kufikiria hata namna Luhaga Mpina alovyopata nyaraka za kuthibitisha tuhuma zake.

Ni kwamba amezipata kwa haraka sana, kwa urahisi sana tena zingine zikiwa nyeti sana toka ktk taasisi nyeti za serikali ili kuishikisha adabu serikali hiyohiyo. Hii ni kuonesha kuwa Kuna watu ndani ya serikali na taasisi zake hawaridhishwi na namna huyu mama anavyoenda pamoja na baadhi ya wateule wake maalumu.

Hili kundi jingine ndani ya serikali hiyo hiyo lililoachwa solemba, lisiliopata mgawo wa rushwa za uuzaji rasrimali za Tanganyika kwa waarabu wa mashariki lenyewe liko tayari kumwaga mboga. Kina Luhaga Mpina ni wapambe tu!!
Kwa Serikali yoyote ile ILIYOFITINIKA SANA, mambo Kama haya ni kawaida kutokea.
 
Wahenga Siasani wanasema kwa Kawaida Bunge la Chama kimoja ni Bunge la Serikali

Hivyo Mpina Kuhojiwa na Kamati ya Maadili ya Bunge ni Sawa Kabisa na Kuhojiwa na Kamati ya Maadili ya CCM tofauti yake ni Wajumbe tu

Wahenga wanasema kuna uwezekano Mpina akapewa adhabu kali ikizingatiwa Bunge hili limebakiza mwaka mmoja tu

Ngoja tuone

Mlale Unono 😃🐼

PIA SOMA
- Spika Tulia amburuza Luhanga Mpina Kamati ya maadili

- - Luhanga Mpina apewa siku 10 na Spika kuleta ushahidi wa Bashe kulidanganya Bunge
Hata wakimfukuza uanachama ni adhabu nzuri zaidi kwake. Wazalendo muwasogeze karibu zaidi na wananchi.
Fukuzeni watu wote makini. Kiwe chama rasmi cha mafisadi, wala rushwa, wazembe, na majambazi. Nani mwingine ana mvuto, uthubutu, seriousness.

Namuona Jerry Slaa, Makonda, Mtaka, wanajitahidi kidogo.
 
Hivi eeh,maskin wee.tena huyu wa kwetu nyie mnakosea jina sio luhaga ni luhangaa maaana yake wa mwanzo mwanzoo na pinaaa mtoto anayejitegemea. Mnyantuzu kabisa huyu.mang'weshi wijagalula mayoo,
 
Wahenga Siasani wanasema kwa Kawaida Bunge la Chama kimoja ni Bunge la Serikali

Hivyo Mpina Kuhojiwa na Kamati ya Maadili ya Bunge ni Sawa Kabisa na Kuhojiwa na Kamati ya Maadili ya CCM tofauti yake ni Wajumbe tu

Wahenga wanasema kuna uwezekano Mpina akapewa adhabu kali ikizingatiwa Bunge hili limebakiza mwaka mmoja tu

Ngoja tuone

Mlale Unono 😃🐼

PIA SOMA
- Spika Tulia amburuza Luhanga Mpina Kamati ya maadili

- - Luhanga Mpina apewa siku 10 na Spika kuleta ushahidi wa Bashe kulidanganya Bunge
Kwa ujinga na Upumbavu tulio nao... Nafuu tuikubali akili bandia AI labda itasadia kidogo aisee...
 
😂😂😂😂
Hivi wanamjua Mama yake Luhaga Hao Kamati ya maadili?
 
Hivi eeh,maskin wee.tena huyu wa kwetu nyie mnakosea jina sio luhaga ni luhangaa maaana yake wa mwanzo mwanzoo na pinaaa mtoto anayejitegemea. Mnyantuzu kabisa huyu.mang'weshi wijagalula mayoo,
Kuna kipindi cha kampeni mwaka 2015 jamaa alipiga kampeni mwezi mzima Bila kuoga wala kubadilisha nguo
 
Hizo ni taarifa za ndani, na ndiyo mfumo wa CCM kuondoa wakosoaji ndani ya chama.
 
Ndio kwa wachache wasiojua wajue, adui mkubwa wa maendeleo hili ni hawa TULIOWAKABIDHI NCHI, ikitokea mtu akazungumza kwa maslahi ya watanzania basi kwao anageuka kuwa adui.
Ripoti ya CAG ina madudu chungu nzima lakini hakuna hatua inachukuliwa ya maana, maana yake wao lengo lao ni kuitafuna nchi tu.

Tunapaswa kuamka kuondoa huu upuuzi.
 
Sisiem wanaenda kumtengeneza mpinzani wao wenyewe, na atakua mwenye nguvu na ataaminiwa na wananchi.
Hapa namuona
Job
Mpina
Bashiru
Polepole
Makonda
List is loading......
 
Back
Top Bottom