Pre GE2025 Mpina hajaelewa kabisa azimio la kumpitisha Samia kugombea 2025. Alitarajia nini kitokee? Sukuma gang kuanzisha vita?

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)

Cute Wife

JF-Expert Member
Joined
Nov 17, 2023
Posts
1,906
Reaction score
5,000
Kuna chenga moja wa mwili Mama Samia kawapiga sukuma gang aisee hawaamini kilichotokea Dodoma.

Acha tu Mpina awe na hali mbaya🤣🤣🤣
 
Yuko too slow

Apambane na Hali yake
 
Mpina ndo nadhani mmoja ya wanaume wachache waliobaki ndani ya CCM. Nyie aina yenu mnatikisa tu makalio kama hivyo. Wanaume huwa hatuna ashk majinuni sheikh wangu.
Clip imeshafika kwa mama, hata akihamia chadema, uchaguzi sio wake, ni wa Tume ya Uchaguzi, atanyooshwa hukohuko.

Ale na magino m'ntwe
 
Hata kama ni wewe usingeelewa😂
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…