Suzy Elias
JF-Expert Member
- Nov 9, 2021
- 1,067
- 6,200
Akikata kamba tutajua kasaidiwa kwa lazima kukata kamba"....tatizo jamaa wanadhani mimi nitababaishwa na mbinu yao chafu ya kutumia chombo cha habari kunitweza hahahaha!"
"....brother, kwa akili yako eneo lile lingekuwa na tabu mwamba ( JPM) angeniacha salama?!"
"....yule kijana ( Mwandishi wa TBC )aliitwa Dar es Salaam usiku na alifuatwa na V8 akapangwa cha kwenda kureport including wale Viongozi wa kijiji walitumiwa fungi la kutosha ili pamoja na wao wawatafute wakina mama wenye shombo pale kijiji kile wakatengeneza sinema nzuri ya kuropoka!"
"...acha wapige kelele na hata wakitaka hilo eneo acha wachukue muhimu watambue sitonyamaza abadani!"
Mpina.
jamaa ana kinyongo balaa cha kutopewa uwaziriHuu ni upuuzi Kama kweli kasema haya basi Mpina ni mjinga.
State ikitaka kushughulikia haitahitaji yote hayo. Ni chap Kwa haraka unabaki masikin
Hakuna kurudi nyuma kanyaga twende. Shida nyote wachafu ukisema uchafu wa mwenzako wanaibua wa kwako lakini sema usiache tu"....tatizo jamaa wanadhani mimi nitababaishwa na mbinu yao chafu ya kutumia chombo cha habari kunitweza hahahaha!"
"....brother, kwa akili yako eneo lile lingekuwa na tabu mwamba ( JPM) angeniacha salama?!"
"....yule kijana ( Mwandishi wa TBC )aliitwa Dar es Salaam usiku na alifuatwa na V8 akapangwa cha kwenda kureport including wale Viongozi wa kijiji walitumiwa fungi la kutosha ili pamoja na wao wawatafute wakina mama wenye shombo pale kijiji kile wakatengeneza sinema nzuri ya kuropoka!"
"...acha wapige kelele na hata wakitaka hilo eneo acha wachukue muhimu watambue sitonyamaza abadani!"
Mpina.
Awe ana kinyongo au hana ili mradi anayosema akiwa na kinyongo yawe ya kweli ndilo la msingijamaa ana kinyongo balaa cha kutopewa uwaziri
hayo anayoyasema kimsingi yanaweza kuwa ya kweli sawa......lakini mbona kipindi cha msukuma mwenzie alikuwa kimya?Awe ana kinyongo au hana ili mradi anayosema akiwa na kinyongo yawe ya kweli ndilo la msingi
Huu ndio upumbavu wenu usio takiwa,unajua kazi ya Mbunge wee mbwa?mpina punguza kinyongo......sidhani kama una uchungu na maumivu kufikia aliyonayo muhitimu wa kozi ya ualimu mwenye shahada aliemaliza chuo toka mwaka 2015 na mpaka leo hajapata ajira na umri unakwenda bila ramani yoyote
atakuwa anampigia kelele nani asinyamaze?"....tatizo jamaa wanadhani mimi nitababaishwa na mbinu yao chafu ya kutumia chombo cha habari kunitweza hahahaha!"
"....brother, kwa akili yako eneo lile lingekuwa na tabu mwamba ( JPM) angeniacha salama?!"
"....yule kijana ( Mwandishi wa TBC )aliitwa Dar es Salaam usiku na alifuatwa na V8 akapangwa cha kwenda kureport including wale Viongozi wa kijiji walitumiwa fungi la kutosha ili pamoja na wao wawatafute wakina mama wenye shombo pale kijiji kile wakatengeneza sinema nzuri ya kuropoka!"
"...acha wapige kelele na hata wakitaka hilo eneo acha wachukue muhimu watambue sitonyamaza abadani!"
Mpina.
hana impact yoyote yule nyau tuSafi Sana Mpina shikilia hapo hapo!!