Tetesi: Mpina: Hata wakitaka na Ubunge nitawaachia lakini sitonyamaza

Tetesi: Mpina: Hata wakitaka na Ubunge nitawaachia lakini sitonyamaza

Haya sasa chukueni hilo eneo

Ashawambia

Ova
 
"....tatizo jamaa wanadhani mimi nitababaishwa na mbinu yao chafu ya kutumia chombo cha habari kunitweza hahahaha!"

"....brother, kwa akili yako eneo lile lingekuwa na tabu mwamba ( JPM) angeniacha salama?!"

"....yule kijana ( Mwandishi wa TBC )aliitwa Dar es Salaam usiku na alifuatwa na V8 akapangwa cha kwenda kureport including wale Viongozi wa kijiji walitumiwa fungi la kutosha ili pamoja na wao wawatafute wakina mama wenye shombo pale kijiji kile wakatengeneza sinema nzuri ya kuropoka!"

"...acha wapige kelele na hata wakitaka hilo eneo acha wachukue muhimu watambue sitonyamaza abadani!"

Mpina.
Hilo eneo lina mgogoro tangu enzi za Magufuli, sema Magufuli alikuwa mnafiki akakuacha upore kama aivyowaacha akina Makonda, Sabaya na Mnyeti

 
Huyu amenyimwa fursa ya kukaa meza moja na walamba asali sasa amekasirika na kuamua kujitolea kuwa mwana harakati na mpigania haki za wananchi, hii tunafaham fika kuwa ni kazi ya Mh Tundu Antipas Lissu.
 
"....tatizo jamaa wanadhani mimi nitababaishwa na mbinu yao chafu ya kutumia chombo cha habari kunitweza hahahaha!"

"....brother, kwa akili yako eneo lile lingekuwa na tabu mwamba ( JPM) angeniacha salama?!"

"....yule kijana ( Mwandishi wa TBC )aliitwa Dar es Salaam usiku na alifuatwa na V8 akapangwa cha kwenda kureport including wale Viongozi wa kijiji walitumiwa fungi la kutosha ili pamoja na wao wawatafute wakina mama wenye shombo pale kijiji kile wakatengeneza sinema nzuri ya kuropoka!"

"...acha wapige kelele na hata wakitaka hilo eneo acha wachukue muhimu watambue sitonyamaza abadani!"

Mpina.
TBC ndiyo inafanya kazi hii? Tangu lini TBC ikafanya kazi inayoanika udhaifu wa viongozi hasa wa ccm? Hili lina harufu ya zengwe. Changamoto moja iliyopo zama hizi ni ya watu kujipa kazi ya kuuhami, kuupigania na kuutea utawala ulioko madarakani ikiwa ni pamoja na kufanya mambo ambayo hayafanani kabisa na viongozi wa utawala huo. Hili la Mpina linaweza kuwa na sura hiyo. Pamoja na hayo, muhimu zaidi kuna msemo wa kiswahili: adhaniye amesimama atazame asianguke! Mpina ajisaili mwenyewe kuhakikisha kwamba umiliki wake wa ardhi ekari 1000 umetolewa na mamlaka yenye dhamana ambayo kwa hakika siyo kijiji.
 
Naona uzi umevamiwa na walamba asali hatari. Mpina acha awakamate vibaya msiifanye hii nchi kuwa ya kikundi fulani cha watu
 
Ili kumnyamazisha
"....tatizo jamaa wanadhani mimi nitababaishwa na mbinu yao chafu ya kutumia chombo cha habari kunitweza hahahaha!"

"....brother, kwa akili yako eneo lile lingekuwa na tabu mwamba ( JPM) angeniacha salama?!"

"....yule kijana ( Mwandishi wa TBC )aliitwa Dar es Salaam usiku na alifuatwa na V8 akapangwa cha kwenda kureport including wale Viongozi wa kijiji walitumiwa fungi la kutosha ili pamoja na wao wawatafute wakina mama wenye shombo pale kijiji kile wakatengeneza sinema nzuri ya kuropoka!"

"...acha wapige kelele na hata wakitaka hilo eneo acha wachukue muhimu watambue sitonyamaza abadani!"

Mpina.
Mpina inabidi apewe uwaziri ili hizo kelele zake akapige vzri
 
Huu ni upuuzi Kama kweli kasema haya basi Mpina ni mjinga.

State ikitaka kukushughulikia haitahitaji yote hayo. Ni chap Kwa haraka unabaki masikin
Ni bora kufa na siyo kumsujudia binadamu mwenzako ili kupewa kile ambacho tena ni halali yako!

Wewe ni wewe, usilinganishe mtu mwingine na ujinga wako!

Wewe wasujudie hao watu! Kwetu sisi, wa kusujudiwa ni Mungu pekee

Mpaka sasa, Dunia ilishameza watu kibao, hivyo, hatuogopi kufa kwa sababu hata wao watafuata
 
"....tatizo jamaa wanadhani mimi nitababaishwa na mbinu yao chafu ya kutumia chombo cha habari kunitweza hahahaha!"

"....brother, kwa akili yako eneo lile lingekuwa na tabu mwamba ( JPM) angeniacha salama?!"

"....yule kijana ( Mwandishi wa TBC )aliitwa Dar es Salaam usiku na alifuatwa na V8 akapangwa cha kwenda kureport including wale Viongozi wa kijiji walitumiwa fungi la kutosha ili pamoja na wao wawatafute wakina mama wenye shombo pale kijiji kile wakatengeneza sinema nzuri ya kuropoka!"

"...acha wapige kelele na hata wakitaka hilo eneo acha wachukue muhimu watambue sitonyamaza abadani!"

Mpina.
Katavi, Mara, Singida, Tabora, geita, Kagera, mwanza, shinyanga, simiyu, kigoma, dar , arusha, kilimanjaro, manyara , mbeya, iringa, morogoro, dodoma, na kigoma hizo kura zinakutosha 2025 chukua fomu baba Mpina.
 
mpina punguza kinyongo......sidhani kama una uchungu na maumivu kufikia aliyonayo muhitimu wa kozi ya ualimu mwenye shahada aliemaliza chuo toka mwaka 2015 na mpaka leo hajapata ajira na umri unakwenda bila ramani yoyote
Si mlisema Mama kaleta Uhuru wa kuzungumza?mbona Mpina akizungumza kutumia uhuru wake mnahaha!
Mjibuni uongo wake kwa fact na siyo vijembe,na bado January bajeti yake asubiri kupewa vipande vyake na Professor Mpina![emoji1787]
 
Unajua watu waache lawama mtandaoni watuambie ni kesi namba ngapi na mahakama gani ya ardhi wananchi wamefungua na hawasikilizwi kama hamna hizo ni mbinu chafu za ccm dhidi ya ccm msema kweli
 
mpina punguza kinyongo......sidhani kama una uchungu na maumivu kufikia aliyonayo muhitimu wa kozi ya ualimu mwenye shahada aliemaliza chuo toka mwaka 2015 na mpaka leo hajapata ajira na umri unakwenda bila ramani yoyote
Hoja iliyopo mezani,ina uhusiano gn na ulichoandika? Mavi kichwani.ulimbuli,na nchiluchilu
 
Nakumbuka nilikuwa na boti zangu pale mtera maeneo ya champumba na sisemi uongo waliokuwa wanapiga hela kwenye opaeration za uvuvi haramu ni viongozi wa operation na sio mpina kam umewahi kuwa mtera kuna mtu alikuwa anaitwa babu ndo alihusika na shughuri zote
Waulize wavuvi wa mtera babu watakwambia huyo hafai
Pia nilifatilia faini ilikuwa halali sema wanamchafua
 
hayo anayoyasema kimsingi yanaweza kuwa ya kweli sawa......lakini mbona kipindi cha msukuma mwenzie alikuwa kimya?
Ungesema na wewe,kipindi cha msukuma mpina akiwa waziri samaki walijaa Victoria,uvuvi haramu haukuwepo,wala kuvua kwa baruti na sumu havikuwrpo.
 
Huu ni upuuzi Kama kweli kasema haya basi Mpina ni mjinga.

State ikitaka kukushughulikia haitahitaji yote hayo. Ni chap Kwa haraka unabaki masikin
Acha uboya hakuna msukuma muoga wa maisha
 
Wala hatutaki unyamaze, endelea kuropoka tu kwani ni haki yako kikatiba na ndiyo Tanzania yetu tuliyoizoea.

Siyo ile ya 2015-21 iliyokuwa chini ya Kichaa mwenzio Dikteta Magufuli ambapo watu wote waliomkosoa alikuwa anawawinda awake kama alivyomuua Ben Saanane na Azory Gwanda au kama alivyomshambulia Tundu Lissu kwa risasi..
Tundu lissu alistahili kupata alichokipata,tena ningekuwa mtawala ni mimi,ningetoa amri hadharani.huo ndio ujira wa msaliti.
 
Back
Top Bottom