Tetesi: Mpina: Hata wakitaka na Ubunge nitawaachia lakini sitonyamaza

Tetesi: Mpina: Hata wakitaka na Ubunge nitawaachia lakini sitonyamaza

Hivi huko ndani ya CCM hakuna tena watu wenye akili ya kufikiri?
Kwa nini aende CHADEMA kama huko ndani ya CCM wamo wenye akili za kuweza kutambua yanayosemwa na kuchukua maamuzi huku huko ndani ya chama!
Mnataka hicho chama kifike ngazi gani ya ubovu ndipo mtambue kuwa siyo chama tena cha siasa, bali kimebaki kuwa chama cha majambazi/manyang'anyi ya mali za waTanzania?

Mpina atikise huko huko, kama bado kuna watu wanaojitambua, wajitokeze na kumuunga mkono.
Kwenye maslahi akili hufifishwa!
 
Eti wanawake wenye SHOMBO!! Hakika umevuka mstari usio vukika. Sasa kuna umuhimu w kukunyamazisha abadani!!
 
Ukweli ni ukweli haijalishi umeanza kusemwa lini. Mkuu kwani ukiwa mtenda dhambi ujanani huruhusiwi kuanza kutenda mema uzeeni?
mpina ni msaka tonge mkuu
Mwenye makosa ni huyo mhitimu ambaye umri Unakwenda yeye amebaki amebung'aa tu akisubiri ajira yenye malipo kiduchu
yupo mmoja anauza
Sasa wewe hapa unaelewa kitu gani, lakini upo unalishwa tu bure. Si heri huyo mwalimu angechukua hiyo nafasi unayoshikilia wewe huku kichwani ukiwa huna kitu?

Luhaga Mpina kamnyima nini huyo mwalimu unayemzungumzia?

Hao wanaomwandama Mpina ndio wanaompambania huyo mwalimu wako?

Ndiyo maana unajipachika jina la hovyo namna kaa kimya wewe mwana ccom
 
nakubaliana na Mpina nilihisi scene imetengenezwa KUMCHAFUA lakini HAWATOSHINDA
huyu mpina kama vipi ashughulikiwe kimyakimya .....polepole ananyamazishwa kimyakimya na kufikia 2025 hatosikika tena.
nani kakudanganya yuko Havana Cuba anashine kuliko waziri wa nishati 😁
 
Tundu lissu alistahili kupata alichokipata,tena ningekuwa mtawala ni mimi,ningetoa amri hadharani.huo ndio ujira wa msaliti.
Wewe mpumbavu ungewezaje kuwa Rais? Magufuli mwenyewe akiwa Rais ameshindwa kumuua sasa wewe mavi ya mbwa utawezaje?
 
hayo anayoyasema kimsingi yanaweza kuwa ya kweli sawa......lakini mbona kipindi cha msukuma mwenzie alikuwa kimya?
Kipindi hicho alikua waziri,na kwa taratibu za ccm hupaswi kupingana nao ukiwa waziri; aliyewahi kufanya hayo akiwa waziri ni Augustine Lyatonga Mrema Tu,kidogo ukiwa mbunge unaweza ku challenge
 
"....Tatizo jamaa wanadhani mimi nitababaishwa na mbinu yao chafu ya kutumia chombo cha habari kunitweza hahahaha!"

Brother, kwa akili yako eneo lile lingekuwa na tabu mwamba (JPM) angeniacha salama?!"

"Yule kijana (Mwandishi wa TBC)aliitwa Dar es Salaam usiku na alifuatwa na v8 akapangwa cha kwenda kureport including wale viongozi wa kijiji walitumiwa fungi la kutosha ili pamoja na wao wawatafute wakina mama wenye shombo pale kijiji kile wakatengeneza sinema nzuri ya kuropoka!"

"Acha wapige kelele na hata wakitaka hilo eneo acha wachukue muhimu watambue sitonyamaza abadani!"

Mpina.
Ndio zao wahuni ila watagonga mwamba soon😂
 
Siwafagilii viongozi wote wa CCM isipokuwa Mwinyi tu ila huyu jamaa wanamuundia zengwe
 
Kwenye maslahi akili hufifishwa!
Sikubaliani nawe.

Hao unaosema "akil zinafifishwa" hawapashwi kuwa hapo walipo.
Maslahi ni kwa waTanzania, siyo kwa wao.

Ninatamani sana siku moja, hivi karibuni atokee "kichaa" mmoja wa kushughulikia hawa hawa kipekee kabisa bila ya huruma yoyote.
Hawa hawastahili huruma hata kidogo.
 
Aache kinyongo akubali tu mtu wao ameshaondoka na cheo kimebaki na sasa anacho mtu mwingine na akae akijua hata huyo aliyekuwa akimshabikia pia hakuwa malaika naye alikuwa na mapungufu yake.
 
mpina punguza kinyongo......sidhani kama una uchungu na maumivu kufikia aliyonayo muhitimu wa kozi ya ualimu mwenye shahada aliemaliza chuo toka mwaka 2015 na mpaka leo hajapata ajira na umri unakwenda bila ramani yoyote
Umepigwa na kitu kizito Mwandishi wa TBC
 
Back
Top Bottom