yvegenc prymacov
JF-Expert Member
- Jan 22, 2023
- 1,530
- 1,961
Wewe ni **** kbs,hujui hata tofauti kati ya mbunge na waziri.Alikuwa wapi kukemea toka kipindi kile cha ukiukwaji mkubwa wa haki kipindi cha jiwe.
Lkn acha nikukumbushe,mpina akiwa waziri alizuia uvuvi haramu ziwa Victoria,uvuvi wa kutumia sumu baruti na makokolo,ndio maana ziwa Victoria lilijaa samaki.