Mpina kuwapeleka Mahakamani Waziri Bashe na Bodi ya Sukari kwa kutoa idhini ya vibali vya kuagiza sukari kinyume cha Sheria

Mpina kuwapeleka Mahakamani Waziri Bashe na Bodi ya Sukari kwa kutoa idhini ya vibali vya kuagiza sukari kinyume cha Sheria

Luhuga Mpina ameyasema hayo katika Mkutano wake na Waandishi wa Habari uliofanyika jana tar 29 kuelekea 30, ikiwa ni mara ya kwanza kuzungumza baada ya kupewa adhabu ya kutohudhuria vikao 15 vya bunge.

Kusoma taarifa hiyo zaidi ingia kwenye link hii: Bunge lajadili juu ya adhabu ya Mbunge Luhaga Mpina. Laamua kumfungia vikao 15

Akihitimisha taarifa yake Mpina alieza maadhimio yake kama ifuatavyo;

- Kupeleka malalamiko yake ya kuondolewa bungeni kwa uonevu na kutokutendewa haki na Spika wa Bunge Tulia Ackson kwenye vyombo vya sheria ili vikapime na kutoa haki kwa mujibu wa katiba ya Tanzania na sheria za nchi.

- Kumpeleka Mahakamani Waziri wa Kilimo Ndg. Hussein Bashe na Bodi ya Sukari chini ya ibara ya 26 na 27 ya Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa kitendo cha kutoa idhini ya vibali vya kuagiza sukari kinyume cha sheria na kulisababishia taifa hili hasara kubwa.

- Kuyafikisha Mahakamani makampuni yote yaliyojihusisha na ungizaji wa sukari nchini kinyume cha sheria.


===

Pia soma:

Huyu ndo msukuma halisi sio wale wa kuchovya chovya...
 
Hata Kimani Ichungwa alikuwa na dharau Kama Zako, ila alikimbia Kama mjinga siku vijana wamevamia bunge.
kwa mihemko na ghadhabu hizo dhaifu hivyo mbona kuwadhibit na kuwakabili bara bara ni rahisi sana aise tena ni mimi mwenyewe tu bila polisi...

kama mpina tu atakavyodhibitiwa kirahisi kwa fedheha na mahakama kwa kupotoshwa na mwabukusi kama alivyojaribu kulipotosha bunge :pedroP:
 
Jifunze kukaa kimya Kama hauna la kusema.
nimnyamaizie mpotoshaji, mim? thubutu... :pedroP:

kwamba mpotoshaji alitaka maoni yake na waliyomtuma yazingatiwe kwenye hali ya dharura walio kwenye mfungo mtukufu watumie chumvi right?:pedroP:

kama kampuni alizopendelea zipewe tenda ya sukari ili apate 10% hazikupata fursa hiyo hana haja ya kua na hasira namna ile:pedroP:
 
Nasimama na Mtani wangu Mpina 🤣🤣
Kapitie Huu uzi

"Mpina afunguka, asema Kifungu kilichotumiwa na Spika Tulia kumtuhumu na kumhukumu hakipo!"
daima upotoshaji hautanyamaziwa wala kuvumiliwa pande hizi,

na nina hakika uongo ule unakwenda kuishia mahakamani kwa fedheha sana,

and that will make the beginning of political end of a lie from kisesa, politically speaking:pedroP:
 
daima upotoshaji hautanyamaziwa wala kuvumiliwa pande hizi,

na nina hakika uongo ule unakwenda kuishia mahakamani kwa fedheha sana,

and that will make the beginning of political end of a lie from kisesa, politically speaking:pedroP:
Hakuna mtu anayeweza Kujiamini Namna hiyo kukubali kupoteza vikao 15 na hata Kupoteza Heshima kwa ajili ya Kutetea Kitu cha Uongo..

Sitaki kuamini Hivyo..
Japo inaweza Kuwa kweli au uongo
 
Luhuga Mpina ameyasema hayo katika Mkutano wake na Waandishi wa Habari uliofanyika jana tar 29 kuelekea 30, ikiwa ni mara ya kwanza kuzungumza baada ya kupewa adhabu ya kutohudhuria vikao 15 vya bunge.

Kusoma taarifa hiyo zaidi ingia kwenye link hii: Bunge lajadili juu ya adhabu ya Mbunge Luhaga Mpina. Laamua kumfungia vikao 15

Akihitimisha taarifa yake Mpina alieza maadhimio yake kama ifuatavyo;

- Kupeleka malalamiko yake ya kuondolewa bungeni kwa uonevu na kutokutendewa haki na Spika wa Bunge Tulia Ackson kwenye vyombo vya sheria ili vikapime na kutoa haki kwa mujibu wa katiba ya Tanzania na sheria za nchi.

- Kumpeleka Mahakamani Waziri wa Kilimo Ndg. Hussein Bashe na Bodi ya Sukari chini ya ibara ya 26 na 27 ya Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa kitendo cha kutoa idhini ya vibali vya kuagiza sukari kinyume cha sheria na kulisababishia taifa hili hasara kubwa.

- Kuyafikisha Mahakamani makampuni yote yaliyojihusisha na ungizaji wa sukari nchini kinyume cha sheria.


===

Pia soma:

Watajuana wenyewe Kwa wenyewe
 
Luhuga Mpina ameyasema hayo katika Mkutano wake na Waandishi wa Habari uliofanyika jana tar 29 kuelekea 30, ikiwa ni mara ya kwanza kuzungumza baada ya kupewa adhabu ya kutohudhuria vikao 15 vya bunge.

Kusoma taarifa hiyo zaidi ingia kwenye link hii: Bunge lajadili juu ya adhabu ya Mbunge Luhaga Mpina. Laamua kumfungia vikao 15

Akihitimisha taarifa yake Mpina alieza maadhimio yake kama ifuatavyo;

- Kupeleka malalamiko yake ya kuondolewa bungeni kwa uonevu na kutokutendewa haki na Spika wa Bunge Tulia Ackson kwenye vyombo vya sheria ili vikapime na kutoa haki kwa mujibu wa katiba ya Tanzania na sheria za nchi.

- Kumpeleka Mahakamani Waziri wa Kilimo Ndg. Hussein Bashe na Bodi ya Sukari chini ya ibara ya 26 na 27 ya Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa kitendo cha kutoa idhini ya vibali vya kuagiza sukari kinyume cha sheria na kulisababishia taifa hili hasara kubwa.

- Kuyafikisha Mahakamani makampuni yote yaliyojihusisha na ungizaji wa sukari nchini kinyume cha sheria.


===

Pia soma:

Hawa ndiyo wabunge wanaojitambua
 
Luhuga Mpina ameyasema hayo katika Mkutano wake na Waandishi wa Habari uliofanyika jana tar 29 kuelekea 30, ikiwa ni mara ya kwanza kuzungumza baada ya kupewa adhabu ya kutohudhuria vikao 15 vya bunge.

Kusoma taarifa hiyo zaidi ingia kwenye link hii: Bunge lajadili juu ya adhabu ya Mbunge Luhaga Mpina. Laamua kumfungia vikao 15

Akihitimisha taarifa yake Mpina alieza maadhimio yake kama ifuatavyo;

- Kupeleka malalamiko yake ya kuondolewa bungeni kwa uonevu na kutokutendewa haki na Spika wa Bunge Tulia Ackson kwenye vyombo vya sheria ili vikapime na kutoa haki kwa mujibu wa katiba ya Tanzania na sheria za nchi.

- Kumpeleka Mahakamani Waziri wa Kilimo Ndg. Hussein Bashe na Bodi ya Sukari chini ya ibara ya 26 na 27 ya Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa kitendo cha kutoa idhini ya vibali vya kuagiza sukari kinyume cha sheria na kulisababishia taifa hili hasara kubwa.

- Kuyafikisha Mahakamani makampuni yote yaliyojihusisha na ungizaji wa sukari nchini kinyume cha sheria.


===

Pia soma:

Mbuyu ulianza kama mchicha 🐼
 
Back
Top Bottom