econonist
JF-Expert Member
- Jul 11, 2015
- 20,189
- 29,663
Akijiuzulu bunge kwa Sasa watamwekea zuio la kufungua kesi.Kweli? Siyo kwamba angejiuzulu Ubunge kwanza?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Akijiuzulu bunge kwa Sasa watamwekea zuio la kufungua kesi.Kweli? Siyo kwamba angejiuzulu Ubunge kwanza?
Huyu ndo msukuma halisi sio wale wa kuchovya chovya...Luhuga Mpina ameyasema hayo katika Mkutano wake na Waandishi wa Habari uliofanyika jana tar 29 kuelekea 30, ikiwa ni mara ya kwanza kuzungumza baada ya kupewa adhabu ya kutohudhuria vikao 15 vya bunge.
Kusoma taarifa hiyo zaidi ingia kwenye link hii: Bunge lajadili juu ya adhabu ya Mbunge Luhaga Mpina. Laamua kumfungia vikao 15
Akihitimisha taarifa yake Mpina alieza maadhimio yake kama ifuatavyo;
- Kupeleka malalamiko yake ya kuondolewa bungeni kwa uonevu na kutokutendewa haki na Spika wa Bunge Tulia Ackson kwenye vyombo vya sheria ili vikapime na kutoa haki kwa mujibu wa katiba ya Tanzania na sheria za nchi.
- Kumpeleka Mahakamani Waziri wa Kilimo Ndg. Hussein Bashe na Bodi ya Sukari chini ya ibara ya 26 na 27 ya Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa kitendo cha kutoa idhini ya vibali vya kuagiza sukari kinyume cha sheria na kulisababishia taifa hili hasara kubwa.
- Kuyafikisha Mahakamani makampuni yote yaliyojihusisha na ungizaji wa sukari nchini kinyume cha sheria.
===
Pia soma:
Hata Kimani Ichungwa alikuwa na dharau Kama Zako, ila alikimbia Kama mjinga siku vijana wamevamia bunge.mtasema yote,
na mahakama itawaumbua kirahisi mno 🐒
hiyo jeuri na kiburi inakwenda kwisha vizuri sana panapostahili kwakujipeleka mwenyewe,
hii ndio inaitwa ujuaji mwingi Mbele kiza sasa 🤣
Mpeni muda muone Kama anatapatapa.Mbona hiyo kesi inaishia kwa Registrar tu? Haikidhi viwango vya kufungua kesi. Asitapetape aende tu kwa Superdoll wakayamalize
kwa mihemko na ghadhabu hizo dhaifu hivyo mbona kuwadhibit na kuwakabili bara bara ni rahisi sana aise tena ni mimi mwenyewe tu bila polisi...Hata Kimani Ichungwa alikuwa na dharau Kama Zako, ila alikimbia Kama mjinga siku vijana wamevamia bunge.

Mzanzibari unahara tu hapa 🤣🤣🤣🤣mpotoshaji na mdanyanyaji anaamua kujaribu kwenda kuidanganya mahakama? anyway hii itasaidia kumaliza jeuri, hasira na kiburi yake mwenyewe kabisaa 🐒
Nasimama na Mtani wangu Mpina 🤣🤣mpotoshaji na mdanyanyaji anaamua kujaribu kwenda kuidanganya mahakama? anyway hii itasaidia kumaliza jeuri, hasira na kiburi yake mwenyewe kabisaa 🐒
nimnyamaizie mpotoshaji, mim? thubutu...Jifunze kukaa kimya Kama hauna la kusema.


iko siku Mahakama na Bunge zitakuja kuchomwa moto na GEN Z ya hapanimependa jinsi Mpina anavyopambania kutetea kile anachokiamini.
ila nasikitika pia kuwa mahakama zetu ni kinyume cha muhimili usioingiliwa na mtu/taasisi yoyote ile.
daima upotoshaji hautanyamaziwa wala kuvumiliwa pande hizi,Nasimama na Mtani wangu Mpina 🤣🤣
Kapitie Huu uzi
"Mpina afunguka, asema Kifungu kilichotumiwa na Spika Tulia kumtuhumu na kumhukumu hakipo!"

umepanic gentleman, relax bana...Mzanzibari unahara tu hapa 🤣🤣🤣🤣

Hakuna mtu anayeweza Kujiamini Namna hiyo kukubali kupoteza vikao 15 na hata Kupoteza Heshima kwa ajili ya Kutetea Kitu cha Uongo..daima upotoshaji hautanyamaziwa wala kuvumiliwa pande hizi,
na nina hakika uongo ule unakwenda kuishia mahakamani kwa fedheha sana,
and that will make the beginning of political end of a lie from kisesa, politically speaking![]()
Watajuana wenyewe Kwa wenyeweLuhuga Mpina ameyasema hayo katika Mkutano wake na Waandishi wa Habari uliofanyika jana tar 29 kuelekea 30, ikiwa ni mara ya kwanza kuzungumza baada ya kupewa adhabu ya kutohudhuria vikao 15 vya bunge.
Kusoma taarifa hiyo zaidi ingia kwenye link hii: Bunge lajadili juu ya adhabu ya Mbunge Luhaga Mpina. Laamua kumfungia vikao 15
Akihitimisha taarifa yake Mpina alieza maadhimio yake kama ifuatavyo;
- Kupeleka malalamiko yake ya kuondolewa bungeni kwa uonevu na kutokutendewa haki na Spika wa Bunge Tulia Ackson kwenye vyombo vya sheria ili vikapime na kutoa haki kwa mujibu wa katiba ya Tanzania na sheria za nchi.
- Kumpeleka Mahakamani Waziri wa Kilimo Ndg. Hussein Bashe na Bodi ya Sukari chini ya ibara ya 26 na 27 ya Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa kitendo cha kutoa idhini ya vibali vya kuagiza sukari kinyume cha sheria na kulisababishia taifa hili hasara kubwa.
- Kuyafikisha Mahakamani makampuni yote yaliyojihusisha na ungizaji wa sukari nchini kinyume cha sheria.
===
Pia soma:
Hawa ndiyo wabunge wanaojitambuaLuhuga Mpina ameyasema hayo katika Mkutano wake na Waandishi wa Habari uliofanyika jana tar 29 kuelekea 30, ikiwa ni mara ya kwanza kuzungumza baada ya kupewa adhabu ya kutohudhuria vikao 15 vya bunge.
Kusoma taarifa hiyo zaidi ingia kwenye link hii: Bunge lajadili juu ya adhabu ya Mbunge Luhaga Mpina. Laamua kumfungia vikao 15
Akihitimisha taarifa yake Mpina alieza maadhimio yake kama ifuatavyo;
- Kupeleka malalamiko yake ya kuondolewa bungeni kwa uonevu na kutokutendewa haki na Spika wa Bunge Tulia Ackson kwenye vyombo vya sheria ili vikapime na kutoa haki kwa mujibu wa katiba ya Tanzania na sheria za nchi.
- Kumpeleka Mahakamani Waziri wa Kilimo Ndg. Hussein Bashe na Bodi ya Sukari chini ya ibara ya 26 na 27 ya Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa kitendo cha kutoa idhini ya vibali vya kuagiza sukari kinyume cha sheria na kulisababishia taifa hili hasara kubwa.
- Kuyafikisha Mahakamani makampuni yote yaliyojihusisha na ungizaji wa sukari nchini kinyume cha sheria.
===
Pia soma:
Mbuyu ulianza kama mchicha 🐼Luhuga Mpina ameyasema hayo katika Mkutano wake na Waandishi wa Habari uliofanyika jana tar 29 kuelekea 30, ikiwa ni mara ya kwanza kuzungumza baada ya kupewa adhabu ya kutohudhuria vikao 15 vya bunge.
Kusoma taarifa hiyo zaidi ingia kwenye link hii: Bunge lajadili juu ya adhabu ya Mbunge Luhaga Mpina. Laamua kumfungia vikao 15
Akihitimisha taarifa yake Mpina alieza maadhimio yake kama ifuatavyo;
- Kupeleka malalamiko yake ya kuondolewa bungeni kwa uonevu na kutokutendewa haki na Spika wa Bunge Tulia Ackson kwenye vyombo vya sheria ili vikapime na kutoa haki kwa mujibu wa katiba ya Tanzania na sheria za nchi.
- Kumpeleka Mahakamani Waziri wa Kilimo Ndg. Hussein Bashe na Bodi ya Sukari chini ya ibara ya 26 na 27 ya Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa kitendo cha kutoa idhini ya vibali vya kuagiza sukari kinyume cha sheria na kulisababishia taifa hili hasara kubwa.
- Kuyafikisha Mahakamani makampuni yote yaliyojihusisha na ungizaji wa sukari nchini kinyume cha sheria.
===
Pia soma: