Mpina kuwapeleka Mahakamani Waziri Bashe na Bodi ya Sukari kwa kutoa idhini ya vibali vya kuagiza sukari kinyume cha Sheria

A very stupid and silly boy
 
Ingekuwa Kenya ningeona amefanya jambo sahihi,ila kwa hizi mahakama zetu siziamini kabisa na wengi wanafanya kazi kwa ajili ya kundi fulani tu la watu
 
lengo ni nini sasa mpaka akafabya hivyo?

kwamba spika alimnyima fursa au spika hakua na uwezo, au kwa vile spika ni mwanamke, au spoka hajui kanuni za bunge.

kwanini umuhukumu spika kwa vyombo vya habari? kwanini umuhukumu waziri wa kilimo kwa vyombo vya habari? ndivyo kanuni zinavyotaka?

analalamika nini sasa kwamba hukupewa bafasi, wakati yeye alidharau kiti? hiyo ni useles kabisa

hata hivyo,
tuliza, ball, tuliza mihemko acha kufanya nazoezi ya kuanza kuporomosha matusi na kutukana gentleman
 
Hakuna mtu anayeweza Kujiamini Namna hiyo kukubali kupoteza vikao 15 na hata Kupoteza Heshima kwa ajili ya Kutetea Kitu cha Uongo..

Sitaki kuamini Hivyo..
Japo inaweza Kuwa kweli au uongo
Uzuri ni kwamba Mpina ana hoja zake ambazo anaziweka wazi tangu bungeni na sasa amezitoa kwenda mahakamani.
Pia bunge kupitia kamati wana hoja zilizomtia hatiani Mpina, siyo siri.
Kwa hiyo, kwetu sisi tunatakiwa tujadiliane hizo hoja kwa mapana ili tujue kweli ni ipi.
Tukiwa watu wenye akili, siyo lazima tukubaliane na Mpina, bunge au ikifika mahakamani. Tunachotakiwa ni kutumia akili zetu kujua kweli ni ipi na upuuzi ni upi (kati ya Mpina, bunge na hata ikiwa mahakama itafikiwa).
 
Niwakumbushe kwa sasa ndio Bunge liko kwenye vikao vya kutunga sheria kuruhusu bodi ya Sukari kununua Sukari. In any way lazima mtu aje aende jela kwa ufisadi huu
 
mtasema yote,
na mahakama itawaumbua kirahisi mno πŸ’

hiyo jeuri na kiburi inakwenda kwisha vizuri sana panapostahili kwakujipeleka mwenyewe,

hii ndio inaitwa ujuaji mwingi Mbele kiza sasa 🀣
Chawa usiwe na Faida mfumo haukujui wala hakutambui ukiendelea kuropoka ovyo tutakushughulikia
 
Tafuta kazi ufanye uchawa sio kazi mzee naona unahangaika sana baada ya kuona raia wanataka kuharibu kazi Yako ya uchawa
 
MAHAKAMA YA NCHI GANI KWA MFANO.Hakimu ,Jaji yupi na wa nchi gani huyu anayelipwa mshahara na serikali ya CCM au mwingine.Sioni ikienda
 
Hapo inavutwa simu kutoka mamlaka kutoka juu kwenda kwa jaji anayesimamia kesi anapewa maelekezo suala linaishia hapo
 
Hapo amechukua maamuzi sahihi kabisa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…