Mpina na watu wengine wenye kariba kama yake wasisumbuke, ni bora wakae kimya

Mpina na watu wengine wenye kariba kama yake wasisumbuke, ni bora wakae kimya

Mpina hakutetea wananchi bali alitetea viwanda vya ndani vya sukari, Sheria na taratibu kufuatwa. Bashe ndiyo aliyetutetea Ili wananchi tupate sukari ya bei nafuu.

Binafsi nasema hivi kama kweli bashe alifanikisha kuingiza sukari na sisi wananchi tukaipata Kwa bei nafuu basi naungana na bashe, kamwe siwezi kuungana na mtu anayetaka nitumie pesa zangu nyingi Kwa kitu ninachoweza kukipata Kwa bei nafuu.

Ujinga wa kutetea viwanda vya ndani wala siuafiki hata kidogo. Inakuwaje sukari kutoka nje tena ina gharama ya usafiri inakuwa na bei ndogo kuliko ya ndani? Kama tatizo ni teknolojia kwanini wasitafute teknolojia wanayotumia wenzao huko kuzalisha?

Huu ujinga wa kutetea viwanda ipo siku mtasababisha watanzania wakose nguo za kuvaa na watembee uchi, nchi ikose mafuta ya kula na vinginevyo. Kamwe viongozi hawapaswi kuvibeba viwanda ambavyo havibebeki tutaumia wananchi, haiwezekani soko lipo kubwa halafu unashindwa kufanya biashara wakati wengine wanatafuta wateja
Unajua chochote?
 
Suo vijiji mkuu ni mikoa na mikoa,Wilaya na Wilaya ,vijiji na vijiji zaidi ya mikoa 18 migumu kuishi kwa vijana wa leo. .

mimi sio kuku wa kisasa wa masaki .
anayedhani Maisha ya Masaki ndio maisha ya waTanzania ?
Ardhi ya kilimo bado ipo inategemea wewe unataka sehemu gani hususa labda ndiyo changamoto ianzie hapo
 
Mpina hakutetea wananchi bali alitetea viwanda vya ndani vya sukari, Sheria na taratibu kufuatwa. Bashe ndiyo aliyetutetea Ili wananchi tupate sukari ya bei nafuu.

Binafsi nasema hivi kama kweli bashe alifanikisha kuingiza sukari na sisi wananchi tukaipata Kwa bei nafuu basi naungana na bashe, kamwe siwezi kuungana na mtu anayetaka nitumie pesa zangu nyingi Kwa kitu ninachoweza kukipata Kwa bei nafuu.

Ujinga wa kutetea viwanda vya ndani wala siuafiki hata kidogo. Inakuwaje sukari kutoka nje tena ina gharama ya usafiri inakuwa na bei ndogo kuliko ya ndani? Kama tatizo ni teknolojia kwanini wasitafute teknolojia wanayotumia wenzao huko kuzalisha?

Huu ujinga wa kutetea viwanda ipo siku mtasababisha watanzania wakose nguo za kuvaa na watembee uchi, nchi ikose mafuta ya kula na vinginevyo. Kamwe viongozi hawapaswi kuvibeba viwanda ambavyo havibebeki tutaumia wananchi, haiwezekani soko lipo kubwa halafu unashindwa kufanya biashara wakati wengine wanatafuta wateja
Je, hiyo sukari iliingizwa nchini au iliishia bandarini na meli zikasepa bila sukari kushushwa na kuhifadhiwa kwenye mabohari ?

Je,kampuni ya simu ina maghala ya kuhifadhi sukari?

Je, mnakumbuka sakata la kuokota magari bandarini?
Mnajua ni kitu gani hua kinafanyika ku
Ardhi ya kilimo bado ipo inategemea wewe unataka sehemu gani hususa labda ndiyo changamoto ianzie hapo
Ardhi ya kilimo bado ipo inategemea wewe unataka sehemu gani hususa labda ndiyo changamoto ianzie hapo

Hapo ndipo tutakapokuwa watumwa wa Wazungu amini usiamini . Na watumwa wenyewe watakuwa ni kuwatawadha watoto wa waarabu na wazungu na utumwa wa kingono na vitendo Kama vya yule RC na Mwanafunzi.

Kwa sbabu suala la ajira halitakuwepo mana mana wanahama kwenye Nguvu kazi ya binadamu na kuelekea kwenye Robot.
 
Uko sahihi,

Tanzania ilitengenezwa kwa ajili ya nyumbu na hata tuliozaliwamo tumegeuka nyumbu 100%.

Hakuna nchi inayeweza kufanywa kama wanavyofanya ccm na bado watu wakaendelea kutawalika kiurahisi.

Tanzania hii hata mbwa, punda au mnyama yeyote pamoja na uhayawani wake anaendesha nchi na nyimbo za kusifu na kuabudu zitaimbwa vyakutosha.
 
Kwani wamewahi kufanya nini cha maana?
  • Ngunguri, kutoka nje ya bungeni na kupiga kelele ndo ninayokumbuka.
  • Kulilia uraia pacha
  • Kuweka tuhuma zisizothibitishwa kwenye majukwaa ya kitaifa
N.k
Kwani uraia pacha ni tatizo?, we unafaidika Nini na chama chako Mpaka sasa toka kiundwe?
 
Kwani uraia pacha ni tatizo?, we unafaidika Nini na chama chako Mpaka sasa toka kiundwe?
Umetumia kufura kujibu, sina chama, sijawahi kuwa mwanachama wala kupiga kura hizo, uchaguzi pekee niliowahi kushiriki ni wa kuchagua monitor na kamati za sherehe za kimtaa.

Mpaka hapo, swali lako lina mantiki? Nitakujibu, URAIA PACHA una tatizo.
 
Back
Top Bottom