Mpina na watu wengine wenye kariba kama yake wasisumbuke, ni bora wakae kimya

Mpina na watu wengine wenye kariba kama yake wasisumbuke, ni bora wakae kimya

Uafrika hasa utanzania ni laana.

Kuliko kupoteza muda wako kutetea haki za watu wasio jielewa bora u deal na ishu zako.

Watanzania sio watu wa kuwapigania, Ni kuwaacha wateseke na mashida yao mpaka pale akili zitakapo funguka.
 
Ardhi ipi unayozungumzia?
Umewahi kukaa na wakenya ukajua changamoto zao.
Kenya ni nchi mdogo . Eneo kubwa ni Jangwa . Lakini ardhi yenye rutuba yote inashikiliwa na familia ya Kenyata na baadhi ya wakikuyu wachache na nyingine inashikiliwa na Wazungu. Wakenya wengi ni vibarua wasio na ardhi wala nyumba.
Tanzania mafano Kusini ardhi karibu yote ya Kulima Korisho ni mali ya watu wa kawaida kabisa . Ardhi ya kusini iliporwa na Wajerumani na kulima korosho ,pamba na katani lakini walipata upinzani mkubwa sana na kuibuka kwa vita ya majimaji. Baada ya vita ya maji maji wazungu wakajawa na hofu kubwa sana ya kupora ardhi ya Wangoni na wamatumbi.

Hata gesi ilitoka mtwara baada ya Jeshi kuingilia na kutumia nguvu kubwa sana. Lakini pia kutokana na kuwa CCM ni chama kikubwa chenye wasaliti wengi na madalali wa kugawa mali za umma hivyo wananchi wa kusini wakawa hawana umoja mpaka gesi ikaporwa.

Sasa fikiri zaidi ya miaka 100 iliyopita wamatumbi walipinga ardhi yao kuporwa na wao kuwa manamba ingekuaje kama leo wamachinga wakirudi kijijini wangekuta ni ardhi ya wazungu tu na wao ni vibarua tu kwenye mashamba hayo ya wazungu ambao wengi wanafuga manguruwe na kula kitimoto😂😂Bila shaka wangefanya vurugu na maandamano ya mara kwa mara.

Kwa sasa kuna wakulima wengi sana kwenye nchi hii wanaolima kwa ajili ya chakula cha kujikimu . Hawa wanakimbizana na mvua tu na hawajui chochote kuhusu umuhimu wa kuandamana na kupinga ufisadi. Hawa hata vijana wao wakiajiriwa wanawahamasisha kuwa waibe na kujilimbikizia mali. Ili wasije wakarudi kuwa wakulima . Yaani hawajui kuwa ardhi ni mali na kilimo ni biashara kubwa sana.
CCM inanufaishwa zaidi na hili kundi ambalo ni kubwa sana . Kundi ambalo mtaji wao ni mvua na ardhi tu . Hata kama uchumi wa nchi ukianguka kabisa hawajui chochote zaidi ya kumshukuru Rais kwa kuwalete mvua 😂😂😂.
Hawa wana ardhi za kurithi na kurithisha watoto wao .

lakini Pia ardhi ndiyo iliyowapa uhuru Wafufaji ambao walikua wanafuga kwenye mapori yanayomilikiilwa na serikali kwa miaka mingi . Leo mapori yale yameuzwa kwa wageni na wanatumia majeshi yanayolipwa kwa kodi ya wananchi kuwalinda wezi wa wanyama na kuwafukuza wanyama wanaoitwa ng'ombe na kufuga mbweha na fisi ambao hawafai kuchinja na kuuzwa kwenye bucha kama chakula cha wananchi .
Sasa hawa wafugaji na wakulima siku watakapokosa kabisa sehemu ya kulima na kufuga hapo ndipo Valangati la umma litakapoonekana na Watawala watakapokimbilia Kwanye majumba yao huko Dubai na kuiachia nchi ya Tanganyika.
 
Jaribu uone kilichomtoa kanga manyoya, Mpina ni mpumbavu sana
Hata Yesu kristo alisimama kutetea wanyonge ila wapumbavu kama wewe walitaka auawe tena kwa kutetea muharifu aachiwe huru. Hakuna jipya chini ya jua.
 
Kama Kuna Sheria zilikiukwa kwa ajili ya kuwawezesha wananchi wapate sukari ya bei nafuu. Mimi namuunga mkono bashe na kama Kuna Sheria zingine za kuvunja na zivunjwe tu ili maisha yawe mepesi, habari za kujifanya kuvilinda viwanda ni za kipuuzi.

haya mambo ndiyo yaliwafanya watu enzi za nyerere kupanga foleni Kwa ajili ya vitu vya kawaida tu wakati nje ya nchi vipo bwelele kisa kulinda viwanda badala ya kuruhusu viingizwe watu wale bata.
 
Mpina hana Back up laiti angezaliwa Kenya angekuwa na kundi la watu milion 1 nyuma yake hao ni active, Kwa Bongo Mpina yuko mwenyewe sana sana ana Keybord Worrior nyuma yake wengi sana kama milion 3 hivi.

Ushauri wangu kwa Mpina na watu wengine wenye kariba kama yake wasisumbuke, kutetea Maiti, ni bora wakae kimya au wapiganie ugali wa watoto wao ila sio kutetea wajinga wa hii nchi. Au basi akateta hata Tembo wasiuwawe anaweza pata thawabu kutoka kwa Mungu.

Kuwa mwanaharakati Tanzania ni ujinga bora kuwa mwana harakati wa kutetea mbwa wa mtaani na Paka ila sio kutetea Wabongo. huwa nawashangaaa sana wanao watetea wabongo nawashangaaa sana tena mno.

Bora kama inawezekana vuka mipaka kawatetee hata Wakenya au Waganda ila sio Wabomgo.
Ukweli mchungu.
 
Mpina hana Back up laiti angezaliwa Kenya angekuwa na kundi la watu milion 1 nyuma yake hao ni active, Kwa Bongo Mpina yuko mwenyewe sana sana ana Keybord Worrior nyuma yake wengi sana kama milion 3 hivi.

Ushauri wangu kwa Mpina na watu wengine wenye kariba kama yake wasisumbuke, kutetea Maiti, ni bora wakae kimya au wapiganie ugali wa watoto wao ila sio kutetea wajinga wa hii nchi. Au basi akateta hata Tembo wasiuwawe anaweza pata thawabu kutoka kwa Mungu.

Kuwa mwanaharakati Tanzania ni ujinga bora kuwa mwana harakati wa kutetea mbwa wa mtaani na Paka ila sio kutetea Wabongo. huwa nawashangaaa sana wanao watetea wabongo nawashangaaa sana tena mno.

Bora kama inawezekana vuka mipaka kawatetee hata Wakenya au Waganda ila sio Wabomgo.
Huyo tapeli anapigania tumbo lake tu
 
Mpina hana Back up laiti angezaliwa Kenya angekuwa na kundi la watu milion 1 nyuma yake hao ni active, Kwa Bongo Mpina yuko mwenyewe sana sana ana Keybord Worrior nyuma yake wengi sana kama milion 3 hivi.

Ushauri wangu kwa Mpina na watu wengine wenye kariba kama yake wasisumbuke, kutetea Maiti, ni bora wakae kimya au wapiganie ugali wa watoto wao ila sio kutetea wajinga wa hii nchi. Au basi akateta hata Tembo wasiuwawe anaweza pata thawabu kutoka kwa Mungu.

Kuwa mwanaharakati Tanzania ni ujinga bora kuwa mwana harakati wa kutetea mbwa wa mtaani na Paka ila sio kutetea Wabongo. huwa nawashangaaa sana wanao watetea wabongo nawashangaaa sana tena mno.

Bora kama inawezekana vuka mipaka kawatetee hata Wakenya au Waganda ila sio Wabomgo.
Maiti ni hayo makkkalio yako makubwa
 
Mpina hana Back up laiti angezaliwa Kenya angekuwa na kundi la watu milion 1 nyuma yake hao ni active, Kwa Bongo Mpina yuko mwenyewe sana sana ana Keybord Worrior nyuma yake wengi sana kama milion 3 hivi.

Ushauri wangu kwa Mpina na watu wengine wenye kariba kama yake wasisumbuke, kutetea Maiti, ni bora wakae kimya au wapiganie ugali wa watoto wao ila sio kutetea wajinga wa hii nchi. Au basi akateta hata Tembo wasiuwawe anaweza pata thawabu kutoka kwa Mungu.

Kuwa mwanaharakati Tanzania ni ujinga bora kuwa mwana harakati wa kutetea mbwa wa mtaani na Paka ila sio kutetea Wabongo. huwa nawashangaaa sana wanao watetea wabongo nawashangaaa sana tena mno.

Bora kama inawezekana vuka mipaka kawatetee hata Wakenya au Waganda ila sio Wabomgo.
Kwanza nani kamwambia tunataka kutetewa?
 
Umewahi kukaa na wakenya ukajua changamoto zao.
Kenya ni nchi mdogo . Eneo kubwa ni Jangwa . Lakini ardhi yenye rutuba yote inashikiliwa na familia ya Kenyata na baadhi ya wakikuyu wachache na nyingine inashikiliwa na Wazungu. Wakenya wengi ni vibarua wasio na ardhi wala nyumba.
Tanzania mafano Kusini ardhi karibu yote ya Kulima Korisho ni mali ya watu wa kawaida kabisa . Ardhi ya kusini iliporwa na Wajerumani na kulima korosho ,pamba na katani lakini walipata upinzani mkubwa sana na kuibuka kwa vita ya majimaji. Baada ya vita ya maji maji wazungu wakajawa na hofu kubwa sana ya kupora ardhi ya Wangoni na wamatumbi.

Hata gesi ilitoka mtwara baada ya Jeshi kuingilia na kutumia nguvu kubwa sana. Lakini pia kutokana na kuwa CCM ni chama kikubwa chenye wasaliti wengi na madalali wa kugawa mali za umma hivyo wananchi wa kusini wakawa hawana umoja mpaka gesi ikaporwa.

Sasa fikiri zaidi ya miaka 100 iliyopita wamatumbi walipinga ardhi yao kuporwa na wao kuwa manamba ingekuaje kama leo wamachinga wakirudi kijijini wangekuta ni ardhi ya wazungu tu na wao ni vibarua tu kwenye mashamba hayo ya wazungu ambao wengi wanafuga manguruwe na kula kitimoto😂😂Bila shaka wangefanya vurugu na maandamano ya mara kwa mara.

Kwa sasa kuna wakulima wengi sana kwenye nchi hii wanaolima kwa ajili ya chakula cha kujikimu . Hawa wanakimbizana na mvua tu na hawajui chochote kuhusu umuhimu wa kuandamana na kupinga ufisadi. Hawa hata vijana wao wakiajiriwa wanawahamasisha kuwa waibe na kujilimbikizia mali. Ili wasije wakarudi kuwa wakulima . Yaani hawajui kuwa ardhi ni mali na kilimo ni biashara kubwa sana.
CCM inanufaishwa zaidi na hili kundi ambalo ni kubwa sana . Kundi ambalo mtaji wao ni mvua na ardhi tu . Hata kama uchumi wa nchi ukianguka kabisa hawajui chochote zaidi ya kumshukuru Rais kwa kuwalete mvua 😂😂😂.
Hawa wana ardhi za kurithi na kurithisha watoto wao .

lakini Pia ardhi ndiyo iliyowapa uhuru Wafufaji ambao walikua wanafuga kwenye mapori yanayomilikiilwa na serikali kwa miaka mingi . Leo mapori yale yameuzwa kwa wageni na wanatumia majeshi yanayolipwa kwa kodi ya wananchi kuwalinda wezi wa wanyama na kuwafukuza wanyama wanaoitwa ng'ombe na kufuga mbweha na fisi ambao hawafai kuchinja na kuuzwa kwenye bucha kama chakula cha wananchi .
Sasa hawa wafugaji na wakulima siku watakapokosa kabisa sehemu ya kulima na kufuga hapo ndipo Valangati la umma litakapoonekana na Watawala watakapokimbilia Kwanye majumba yao huko Dubai na kuiachia nchi ya Tanganyika.
Mapori bado yako mengi sana
 
Tuna hitaji mawazo tofauti km ya mpina ila kwakua bongo mawazo km hayo ni chukizo kwa mama abdul na chawa wake lazima mpina aonekane mpumbavu
 
Back
Top Bottom