Mpina na watu wengine wenye kariba kama yake wasisumbuke, ni bora wakae kimya

Mpina na watu wengine wenye kariba kama yake wasisumbuke, ni bora wakae kimya

Nimesikitika sana na michango ya wabunge juu ya mpina ! Ndio nimeona umuhimu wa kuwa na wapinzani bungeni ! Kwanza hawajielekezi kwenye hoja ! Ni kama wametumwa au wameagizwa kwenda kumshambulia mpina ! Badala ya kujibu hoja wanapambana na mtu ! Nimeamini hatuna bunge kwa sasa ! Bunge la watu wazima ni kama la watoto ! Kichefu chefu na upuuzi huu tungekuwa na ujasiri au na hata robo ya mioyo ya wakenya kuanzia leo asubuhi kungekuwa na maandamano makubwa nje ya bunge kutetea hoja za mpina !! Upungufu wa sukari isiwe uchochoro wa kuvunja Sheria na kufanya upigaji !! Mpina nchi Iko nyuma yako ,! Na watanzania sio vichaa !! Wana kisesa mteteeni mbunge wenu !
Mkuu anzisha tukuunge mkono, andiko lako hapa jukwaani bila vitendo ni utumbo kama utombo mwingine tu, unataka nani aanze? anza wewe tukuunge mkono
 
Kosa kubwa analolifanya Dr.Samia ni kuuza ardhi kwa wageni . Ni wazi kuwa Miaka 20 ijayo Tanganyika itakua na ghasia na virugu kubwa sana iliyoasisiwa na Dr.Samia kwa kigezo cha Misaada na uhuru wa Demokrasia na maendeleo feki yasiyojali future ya wazawa.

Miaka 25 ijayo tutakua tumefikia watu mil. 85 mpaka 100. Wakati huo 20% ya ardhi ikiwa inashikiliwa na watu wasiozidi 20 . Dhambi kubwa na unyama mkubwa na ushetani mkubwa
Ardhi ipi unayozungumzia?
 
Hata upinzani unaojinasibi unawatetea watanzania wamekaa kimya...Huu ni msiba mzito sana Kwa nchi yetu
Siyo kweli. Lisu ameliongelea suala la ufisadi kwenye sukari wakati wa mikutano yake.
 
Kwa hili mimi sipo na Mpina,yani anaona bora waTz tungepata tabu ya sukari kwa ajili ya watu wachache wanaocheza na sheria mfu za manunuzi ili watuumize,badfkn zake.
 
Chadema wanapoteza muda tu,
Hao wanao hangaika kukiamsha hiki kizazi usingizini, kizazi ambacho hakitaki kuamka wanajichosha,
2015 to 2023 na kuendelea wali receive worst treatment ever, kuna mtanzania alijitokeza kupaza kelele kwa ajili yao? Nope
 
Luhaga Mpina ametemwa na maccm yenzake ndo maana anaruka ruka mbona kipindi cha magufuli hatukuona akionyesha movement yoyote.. Mi sasa hv sitaki kujua chochote na fight na maisha yangu ila mtu asiingie anga zangu.
 
Kwa hili mimi sipo na Mpina,yani anaona bora waTz tungepata tabu ya sukari kwa ajili ya watu wachache wanaocheza na sheria mfu za manunuzi ili watuumize,badfkn zake.
Mpina na bashe ninani aliye vunja Sheria za manunuzi?
 
Luhaga Mpina ametemwa na maccm yenzake ndo maana anaruka ruka mbona kipindi cha magufuli hatukuona akionyesha movement yoyote.. Mi sasa hv sitaki kujua chochote na fight na maisha yangu ila mtu asiingie anga zangu.
Anga zako washaingia tayari unataka waingiaeje
 
Luhaga Mpina ametemwa na maccm yenzake ndo maana anaruka ruka mbona kipindi cha magufuli hatukuona akionyesha movement yoyote.. Mi sasa hv sitaki kujua chochote na fight na maisha yangu ila mtu asiingie anga zangu.
na hiki ulichokisema hapa baadhi ya watanzania tunaki'overlook aidha kwa makusudi au bahati mbaya.
 
Back
Top Bottom