Mpina ndiye Mzindakaya aliyefufuka?

Mpina ndiye Mzindakaya aliyefufuka?

johnmashilatu

JF-Expert Member
Joined
Sep 16, 2010
Posts
841
Reaction score
909
Najaribu kukumbuka tu. Katika historia ya bunge letu, hakujawahi kutokea mbunge kama Chrisant Majiyatanga Mzindakaya mbunge wa Kwela mkoani Rukwa.

Sio tu kwamba ni mbunge aliyekaa bungeni kwa miaka 45, bali alipelekea mawaziri kadhaa kujiuzulu kubwa ikiwa ni kashfa ya Sukari.

Mpina sio mbunge wa kwanza kukabiliana na kashfa ya sukari, Mzindakaya maarufu mzee wa mabomu, alimlipua waziri wa Viwanda na biashara Idd Simba kwa kutoa vibali vya kuagiza sukari kwa makampuni kinyume cha sheria.

Kama alivyo mpina, mzee huyo wa mabomu pia alimg'oa waziri wa fedha Prof. Simon Mbilinyi kwa kashfa ya minofu ya samaki.

Anachofanyaa leo mpina, ni matokeo ya ufisadi uliodumu tangu zama hizo ndani ya serikali, kampuni ya simu kupewa zabuni ya kuingiza sukari!

Najua, Mpina atapitia tanuri la moto kwa hata watu wake wa karibu kumzodoa na kumpiga, lakini inajulikana sifa za ukweli kuwa atapingwa lakini mwisho wa siku, ukweli utasimama.

Go go go Mpina, yawezekana Mzandakaya amefufuka.
 
Najaribu kukumbuka tu. Katika historia ya bunge letu, hakujawahi kutokea mbunge kama Chrisant Majiyatanga Mzindakaya mbunge wa Kwela mkoani Rukwa.

Sio tu kwamba ni mbunge aliyekaa bungeni kwa miaka 45, bali alipelekea mawaziri kadhaa kujiuzulu kubwa ikiwa ni kashfa ya Sukari.

Mpina sio mbunge wa kwanza kukabiliana na kashfa ya sukari, Mzindakaya maarufu mzee wa mabomu, alimlipua waziri wa Viwanda na biashara Idd Simba kwa kutoa vibali vya kuagiza sukari kwa makampuni kinyume cha sheria.

Kama alivyo mpina, mzee huyo wa mabomu pia alimg'oa waziri wa fedha Prof. Simon Mbilinyi kwa kashfa ya minofu ya samaki.

Anachofanyaa leo mpina, ni matokeo ya ufisadi uliodumu tangu zama hizo ndani ya serikali, kampuni ya simu kupewa zabuni ya kuingiza sukari!

Najua, Mpina atapitia tanuri la moto kwa hata watu wake wa karibu kumzodoa na kumpiga, lakini inajulikana sifa za ukweli kuwa atapingwa lakini mwisho wa siku, ukweli utasimama.

Go go go Mpina, yawezekana Mzandakaya amefufuka.
Mpina atahamia CHADEMA Next Year
 
Mpina ni muhuni fulani tu,ametuharibia maisha sisi tunaotegemea uvuvi,pili mpina ni mla rushwa mkubwa alikuwa akipokea sh 10M kwa kila mvuvi pindi akiwa waziri wa uvuvi ,bado muda kidogo tu nishushe ushahidi hapa.

Mpina hana uzilankende wala uzilapumbu,ni mpuuzi fulani tu
 
Mpina anapiga kelele kila siku kumwambia Samia anaongoza serikali ya wezi, bahati mbaya Samia amenyamaza kimya kwasababu ana urafiki wa karibu na wezi walioko kwenye serikali yake.

Anachojua ni kusubiri kusikia taarifa ya kulawitiwa mwanamke mwenzake ndio ashtuke na kuchukua hatua, lakini rasilimali zetu kama taifa kila siku zinalawitiwa chini ya usimamizi wake amenyamaza, kodi zetu kila siku zinabakwa na wasaidizi wake amenyamaza, haongei chochote.

Samia ondoka kwenye ikulu yetu umeshindwa kusimamia na kuzilinda rasiliamli zetu kama ulivyoapa ukiwa Rais, umeshindwa pia kusimamia kodi zetu watanganyika, wewe ni dhaifu tupishe ondoka kwenye ikulu yetu unaangamiza mpaka vizazi vyetu vijavyo.

Ondoka utupishe, hufai kuwa kiongozi wa hili taifa.
 
Mpina ni muhuni fulani tu,ametuharibia maisha sisi tunaotegemea uvuvi,pili mpina ni mla rushwa mkubwa alikuwa akipokea sh 10M kwa kila mvuvi pindi akiwa waziri wa uvuvi ,bado muda kidogo tu nishushe ushahidi hapa.

Mpina hana uzilankende wala uzilapumbu,ni mpuuzi fulani tu
Wewe ni mpuuzi usiyejitambua wala usiye na huruma na vizazi vya Tanganyika huru.
 
Mpina ni muhuni fulani tu,ametuharibia maisha sisi tunaotegemea uvuvi,pili mpina ni mla rushwa mkubwa alikuwa akipokea sh 10M kwa kila mvuvi pindi akiwa waziri wa uvuvi ,bado muda kidogo tu nishushe ushahidi hapa.

Mpina hana uzilankende wala uzilapumbu,ni mpuuzi fulani tu
Itakuwa jambo jema kushusha hizo nondo kwani naamini hakuna aliye sahihi kwa asilimia 100.
Hata hivyo, unaonaje leo tujadili kilichopo mezani na hayo mengine yaje na nyuzi zake.
 
Mpina anapiga kelele kila siku kumwambia Samia anaongoza serikali ya wezi, bahati mbaya Samia amenyamaza kinya kwasababu ana urafiki wa karibu na wezi walioko kwenye serikali yake.

Anachojua ni kusubiri kusikia taarifa ya kulawitiwa mwanamke mwenzake ndio ashtuke na kuchukua hatua, lakini rasilimali zetu kama taifa kila siku zinalawitiwa chini ya usimamizi wake amenyamaza, kodi zetu kila siku zinabakwa na wasaidizi wake amenyamaza, haongei chochote.

Samia ondoka kwenye ikulu yetu umeshindwa kusimamia na kuzilinda rasiliamli zetu kama ulivyoapa ukiwa Rais, umeshindwa pia kusimamia kodi zetu watanganyika, wewe ni dhaifu tupishe ondoka kwenye ikulu yetu unaangamiza mpaka vizazi vyetu vijavyo.

Ondoka utupishe, hufai kuwa kiongozi wa hili taifa.
Nakubaliana nawe, lakini najiuliza kwanini hizi tengua tengua hazifiki nafasi ya waziri? Au wanatumwa?
 
Najaribu kukumbuka tu. Katika historia ya bunge letu, hakujawahi kutokea mbunge kama Chrisant Majiyatanga Mzindakaya mbunge wa Kwela mkoani Rukwa.

Sio tu kwamba ni mbunge aliyekaa bungeni kwa miaka 45, bali alipelekea mawaziri kadhaa kujiuzulu kubwa ikiwa ni kashfa ya Sukari.

Mpina sio mbunge wa kwanza kukabiliana na kashfa ya sukari, Mzindakaya maarufu mzee wa mabomu, alimlipua waziri wa Viwanda na biashara Idd Simba kwa kutoa vibali vya kuagiza sukari kwa makampuni kinyume cha sheria.

Kama alivyo mpina, mzee huyo wa mabomu pia alimg'oa waziri wa fedha Prof. Simon Mbilinyi kwa kashfa ya minofu ya samaki.

Anachofanyaa leo mpina, ni matokeo ya ufisadi uliodumu tangu zama hizo ndani ya serikali, kampuni ya simu kupewa zabuni ya kuingiza sukari!

Najua, Mpina atapitia tanuri la moto kwa hata watu wake wa karibu kumzodoa na kumpiga, lakini inajulikana sifa za ukweli kuwa atapingwa lakini mwisho wa siku, ukweli utasimama.

Go go go Mpina, yawezekana Mzandakaya amefufuka.
Washughulikiwe kama wanajinufaisha na Bunge liweke Azimio.Bashe atoke
 
Najaribu kukumbuka tu. Katika historia ya bunge letu, hakujawahi kutokea mbunge kama Chrisant Majiyatanga Mzindakaya mbunge wa Kwela mkoani Rukwa.

Sio tu kwamba ni mbunge aliyekaa bungeni kwa miaka 45, bali alipelekea mawaziri kadhaa kujiuzulu kubwa ikiwa ni kashfa ya Sukari.

Mpina sio mbunge wa kwanza kukabiliana na kashfa ya sukari, Mzindakaya maarufu mzee wa mabomu, alimlipua waziri wa Viwanda na biashara Idd Simba kwa kutoa vibali vya kuagiza sukari kwa makampuni kinyume cha sheria.

Kama alivyo mpina, mzee huyo wa mabomu pia alimg'oa waziri wa fedha Prof. Simon Mbilinyi kwa kashfa ya minofu ya samaki.

Anachofanyaa leo mpina, ni matokeo ya ufisadi uliodumu tangu zama hizo ndani ya serikali, kampuni ya simu kupewa zabuni ya kuingiza sukari!

Najua, Mpina atapitia tanuri la moto kwa hata watu wake wa karibu kumzodoa na kumpiga, lakini inajulikana sifa za ukweli kuwa atapingwa lakini mwisho wa siku, ukweli utasimama.

Go go go Mpina, yawezekana Mzandakaya amefufuka.
Kama ulizoea kwenda ofisini kwake akiwa waziri Sasa kauokosa mfuate ofisini kwake jimboni kwenye ofisi ya mbunge.
 
Najaribu kukumbuka tu. Katika historia ya bunge letu, hakujawahi kutokea mbunge kama Chrisant Majiyatanga Mzindakaya mbunge wa Kwela mkoani Rukwa.

Sio tu kwamba ni mbunge aliyekaa bungeni kwa miaka 45, bali alipelekea mawaziri kadhaa kujiuzulu kubwa ikiwa ni kashfa ya Sukari.

Mpina sio mbunge wa kwanza kukabiliana na kashfa ya sukari, Mzindakaya maarufu mzee wa mabomu, alimlipua waziri wa Viwanda na biashara Idd Simba kwa kutoa vibali vya kuagiza sukari kwa makampuni kinyume cha sheria.

Kama alivyo mpina, mzee huyo wa mabomu pia alimg'oa waziri wa fedha Prof. Simon Mbilinyi kwa kashfa ya minofu ya samaki.

Anachofanyaa leo mpina, ni matokeo ya ufisadi uliodumu tangu zama hizo ndani ya serikali, kampuni ya simu kupewa zabuni ya kuingiza sukari!

Najua, Mpina atapitia tanuri la moto kwa hata watu wake wa karibu kumzodoa na kumpiga, lakini inajulikana sifa za ukweli kuwa atapingwa lakini mwisho wa siku, ukweli utasimama.

Go go go Mpina, yawezekana Mzandakaya amefufuka.
Sisiemu ni ileile.
 
Mpina ni muhuni fulani tu,ametuharibia maisha sisi tunaotegemea uvuvi,pili mpina ni mla rushwa mkubwa alikuwa akipokea sh 10M kwa kila mvuvi pindi akiwa waziri wa uvuvi ,bado muda kidogo tu nishushe ushahidi hapa.

Mpina hana uzilankende wala uzilapumbu,ni mpuuzi fulani tu
M10 kwa kila mvuvi 🤔 wavuvi wa kutokea nchi gani hao 🤔
 
M10 kwa kila mvuvi 🤔 wavuvi wa kutokea nchi gani hao 🤔
Nimejiuliza hili swali pia. Wavuvi hawa ninao wafahamu mimi! Nchi ingekuwa na mabilionea wengi.

Haya saa hizi Samaki hawapatikani, waziri wake anapewa kiasi gani kwa mwezi?
 
Najaribu kukumbuka tu. Katika historia ya bunge letu, hakujawahi kutokea mbunge kama Chrisant Majiyatanga Mzindakaya mbunge wa Kwela mkoani Rukwa.

Go go go Mpina, yawezekana Mzandakaya amefufuka.
Kwa sisi waumini wa life after life and incarnation, kuna kitu kinaitwa mtu kuwa "possessed" .
Mwili wa binadamu una sehemu kuu tatu, mwili, nafsi na roho, "body, soul, and spirit", Mtu akifa, anakufa mwili tuu, roho na nafsi hazifi. Life after Death: What happens after death?

Mtu akifa, ile nafsi yake inaweza kuhamia kwa mtu mwingine, na mifano ni hii
  1. Spirit ya Nyerere ilihamia kwa Magufuli Magufuli kama Nyerere: Ni mtu wa watu, hapapasi, hamung'unyi, ni kazi tuu, ila pia sio kama Nyerere!
  2. Baada ya JPM kufa, spirit ya Nyerere ikahamia kwa Polepole Kuna uwezekano Watanzania tuna tatizo la uelewa? Nikimsikiliza Polepole, namuona Mwl. Nyerere. Nyie msiomuelewa Polepole, je Nyerere mngemuelewa?
  3. Spirit ya Regia Mtema ilihamia kwa Upendo Peneza Life After Life: Regia Mtema (RIP) Amerejea Bungeni Kiaina?
  4. Spirit ya JPM, imehamia kwa Makonda Nikimwangalia Makonda, mambo anayoyafanya namuona kama Magufuli
  5. Hivyo its possible the spirit Mzindakaya imampanda Mpina!.
P
 
Back
Top Bottom