Mpina ndiye Mzindakaya aliyefufuka?

Mpina ndiye Mzindakaya aliyefufuka?

Mpina ni muhuni fulani tu,ametuharibia maisha sisi tunaotegemea uvuvi,pili mpina ni mla rushwa mkubwa alikuwa akipokea sh 10M kwa kila mvuvi pindi akiwa waziri wa uvuvi ,bado muda kidogo tu nishushe ushahidi hapa.

Mpina hana uzilankende wala uzilapumbu,ni mpuuzi fulani tu
Ulishindwaje kumshitaki kipindi anafanya hayo? Ongelea anachokifanya sasa ni kibaya au kizuri?? Syo mtu anakutuhumu mahakamani kuwa umeiba kuku we unajibu mbona na wewe uliwahi kuiba daftari. Akili za kitoto hizi
 
Back
Top Bottom