Mpina ndiye Mzindakaya aliyefufuka?

Itakuwa jambo jema kama hilo litakuwa hivyo. Wasiwasi wangu mimi ni bunge la sasa, sioni watu wenye uwezo wa kukiita kijiko kuwa kijiko.

Mzindakaya, angekwamishwa na aina ya wabunge wa sasa.
 
Ni mpuuzi fulani alienyang'anywa tonge Na mfumo kwa hiyo ana hasira balaa
 
Transmigration of the soul.
 
Maandishi yamekosa hekima na busara ya vidole na ubongo kabla ya kuandika! Ungeweza kutumia maneno yenye heshima labda tungeelewa ujumbe wako. Tambua unayemwandika hivi ni Rais, Mkuu wa Nchi na Amiri Jeshi Mkkuu. Mpe heshima yake kwa kumshauri kwa busara.🙏🙏🙏
 
Mvuvi gani wa kutoa milioni kumi? Tena kipindi Cha Magufuli?. Acha uongo.
 
Editi kidogo basi muweke walai elufu 10.
 
Hawa watu wa ijumaa kumbe ni wezi wa muda mrefu? hapo nimeelewa sasa
 
wewe umepandwa na spirit ya nani?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…