Mpina unanipa Raha sana

Mpina unanipa Raha sana

Huu ushahidi aliotaka Spika ulikuwa mwepesi sana, alichofanya Mpina kilikuwa ni kuwasilisha kero za wafugaji, na Spika kumwambia Mpina apeleke ushahidi, ndio akajikaanga kwa mafuta yake mwenyewe..
 
Baada ya spika kumwagiza mpina awasilishe ushahudi kwa yale aliyosema kuhusu kudharauriwa Kwa maagizi ya Waziri Mkuu, burudani ni kuwa wafugaji wenyewe watimba mjengoni na ushahidi na umewasilishwa Leo.

Hadi raha.
Anakukuna vizuri bwana Mpina
 
Baada ya spika kumwagiza mpina awasilishe ushahudi kwa yale aliyosema kuhusu kudharauriwa Kwa maagizi ya Waziri Mkuu, burudani ni kuwa wafugaji wenyewe watimba mjengoni na ushahidi na umewasilishwa Leo.

Hadi raha.
Unamkumbuka Lucas Selelii....? Sasa hivi analima nyanya
 
Baada ya spika kumwagiza mpina awasilishe ushahudi kwa yale aliyosema kuhusu kudharauriwa Kwa maagizi ya Waziri Mkuu, burudani ni kuwa wafugaji wenyewe watimba mjengoni na ushahidi na umewasilishwa Leo.

Hadi raha.
Unajuaje kama huo ushahidi uliowasilishwa unakidhi haja. Subiri, tuliza boli kwanza.
 
'nimeona jina lako kwenye orodha ya wachangiaji, kuna kheri sheikh? Alisikika waziri fulani ambaye mpina alikuwa bosi wake, alipanda juu na kuwa waziri kamili akihofia ni nini mpina anatataka kuchangia hoja wakati alikuwa waziri wa mifugo na alijua mengi, nini asichokijua mpaka atake kuchangia hoja? Mpina anawachachafya mawaziri kila akichangia hoja

Ni mtu wa kutapa tapa tu hana la maana.
Anahangaika kwa sababu ameachwa nje ya uwaziri.

Mambo aliyofanya Mpina akiwa Waziri ni aibu tupu yeye hudhani watu wamesahau.

Alikuwa best wa Mwendazake ila ilifika hatua mwendazake akamchoka.

Mpina ni hovyo sana na mtu wa mihemuko plus dharau, wakati ana cheo alinyanyasa watu sana wakiwemo watendaji wake, wananchi, wavuvi n.k

Jamaa hashauriki
 
Mpima samaki kwa rula kwenye sahani
Saafi sana huyo jamaa, usimart wa jambo huanzia kwa viongozi ndipo ushuke chini! Baba yako akiwa mpumbavu, wewe utakuwa mpumbavu mara dufu
 
Huo ni utoto! Si kuwa mtu leo akikosea basi ni mbaya siku zote
Wewe unajuwa jinsi alivyoharibu maisha yetu sisi wavuvi hafai hafai hafai kwanza nikichaaa wewe nae nikichaaa magu alisema amemchagua waziri kichaaa kamayeye
 
Back
Top Bottom