LOTH HEMA
JF-Expert Member
- Dec 6, 2015
- 18,611
- 27,615
kwa nini alimuuliza bosi wake wa zamani wizarani anataka kuchangia nini?Ujinga huu sasa Uledi hakutaka Moina achagie hoja kisa tu wamekuwa wizara moja?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
kwa nini alimuuliza bosi wake wa zamani wizarani anataka kuchangia nini?Ujinga huu sasa Uledi hakutaka Moina achagie hoja kisa tu wamekuwa wizara moja?
Nasikia LISU anakinukisha huko.Hataki nusu mkate!
Mnataka Mpina aanze swaga kama za Waitara kwa kumsakama hivikama ni me basi tunamshauri ajikaze 😂
Anakukuna vizuri bwana MpinaBaada ya spika kumwagiza mpina awasilishe ushahudi kwa yale aliyosema kuhusu kudharauriwa Kwa maagizi ya Waziri Mkuu, burudani ni kuwa wafugaji wenyewe watimba mjengoni na ushahidi na umewasilishwa Leo.
Hadi raha.
Unamkumbuka Lucas Selelii....? Sasa hivi analima nyanyaBaada ya spika kumwagiza mpina awasilishe ushahudi kwa yale aliyosema kuhusu kudharauriwa Kwa maagizi ya Waziri Mkuu, burudani ni kuwa wafugaji wenyewe watimba mjengoni na ushahidi na umewasilishwa Leo.
Hadi raha.
Hii ni akili ya wapumbavu, wewe ni mpumbavu?Mpina anakupa raha?
Jinsia yako tafadhali
Unajuaje kama huo ushahidi uliowasilishwa unakidhi haja. Subiri, tuliza boli kwanza.Baada ya spika kumwagiza mpina awasilishe ushahudi kwa yale aliyosema kuhusu kudharauriwa Kwa maagizi ya Waziri Mkuu, burudani ni kuwa wafugaji wenyewe watimba mjengoni na ushahidi na umewasilishwa Leo.
Hadi raha.
Kulima siyo jehanam boss! Ninachojua, mtu ukipata nafasi ya kuwasemea watu, basi fanya kwa wakati uliopo bila kujali badaye itakuwaje!Unamkumbuka Lucas Selelii....? Sasa hivi analima nyanya
Mpima samaki kwa rula kwenye sahaniPipo yu yuuu...mpinaa mpinaa mpinaa mpinaaa
Vijana wengi wa kibongo dizaini yako, muda mwingi mnawaza ngono tu hakuna la maana, mmelaaniwa kizazi cha sodomaAnakukuna vizuri bwana Mpina
'nimeona jina lako kwenye orodha ya wachangiaji, kuna kheri sheikh? Alisikika waziri fulani ambaye mpina alikuwa bosi wake, alipanda juu na kuwa waziri kamili akihofia ni nini mpina anatataka kuchangia hoja wakati alikuwa waziri wa mifugo na alijua mengi, nini asichokijua mpaka atake kuchangia hoja? Mpina anawachachafya mawaziri kila akichangia hoja
Saafi sana huyo jamaa, usimart wa jambo huanzia kwa viongozi ndipo ushuke chini! Baba yako akiwa mpumbavu, wewe utakuwa mpumbavu mara dufuMpima samaki kwa rula kwenye sahani
SImkubali huyo jamaa yenu Mpuna, ila namkubali vile anajua kutumia uwezo wake wa kufanya unafiki.Mpima samaki kwa rula kwenye sahani
Hata nongekuwa Mimi nisingekubali kupewa nusu kijiko wakati mwenzangu kajaziwa kamili,, Asali ni tamu Sana.Nasikia LISU anakinukisha huko.Hataki nusu mkate!
ClipNimeona bashe amemjibu Kwa jazba sana
Jina lako lenyewe linasadifu kukunwa na Ndugu MpinaVijana wengi wa kibongo dizaini yako, muda mwingi mnawaza ngono tu hakuna la maana, mmelaaniwa kizazi cha sodoma
Ni mwanamme wa DarMpina anakupa raha?
Jinsia yako tafadhali
Wewe unajuwa jinsi alivyoharibu maisha yetu sisi wavuvi hafai hafai hafai kwanza nikichaaa wewe nae nikichaaa magu alisema amemchagua waziri kichaaa kamayeyeHuo ni utoto! Si kuwa mtu leo akikosea basi ni mbaya siku zote