Mpinga Hayati Magufuli aangua kilio ndani ya treni ya SGR

Bo

Bora yeye alitumia fedha hizo kujenga na kununua mandege.

Vipi umeshajiuliza chura kiziwi hela zake anapeleka wapi?
Samia kashanunua ndege tano tangu JPM afe mwaka 2021 March, tafuta taarifa sahihi punguza maneno ya kwenye kanga.
 
Ulipinga kwa sababu huelewi kwa kina faida za ndege kwenye kuutafuta uchumi wa juu wa kati. Sio kosa lako.

..hapana.

..midege ni hasara na kila asiye na ushabiki anaelewa hilo.

..fedha tulizowekeza ni nyingi mno kulinganisha na faida tunayoitegemea.

..Magufuli aliahidi viwanda akaishia kununua midege.
 
..hapana.

..midege ni hasara na kila asiye na ushabiki anaelewa hilo.

..fedha tulizowekeza ni nyingi mno kulinganisha na faida tunayoitegemea.

..Magufuli aliahidi viwanda akaishia kununua midege.
Gharama inayoitangaza nchi ina faida pana na ya muda mrefu pengine kuliko baadhi ya viwanda ambavyo vina changamoto ya masoko ya bidhaa zinazozalishwa.

Ndege ni utalii, ndege ni urahisishaji wa mawasiliano ya kidunia huwezi kukwepa kuwa nazo. JPM alikuwa na akili sana kulifufua shirika la ndege.
 
Tuambiwe wewe basi uliyeachwa mjane na shetani lenu. Vp mumeo alikwambia anakufa kwa ugonjwa gani kama sio gonjwa la fedheha kabisa!

Shetani mkubwa wewe
 

Uko sasa
 
Shetani mkubwa wewe
Shetani liko Chato 12" deep!
Lilijiona lenyewe ndo lenyewe ktk nchi ya watu, wakalitenda vya kulitenda sasa limewaachia majonzi yasiyo mwisho kwa jinsi mlivyokuwa mkikiamini
 
Shetani liko Chato 12" deep!
Lilijiona lenyewe ndo lenyewe ktk nchi ya watu, wakalitenda vya kulitenda sasa limewaachia majonzi yasiyo mwisho kwa jinsi mlivyokuwa mkikiamini

Nenda kapande SGR shetani mkubwa wewe usiye na faida yoyote hata kwenye ukoo wako
 
Kwa hiyo Dodoma sio Tanzania?
 
Kwa hiyo Dodoma sio Tanzania?

..Dodoma ni Tanzania lakini hatukuhitaji mji Mkuu mpya Dodoma.

..Serikali ingeweza kujenga kongani ya viwanda Dodoma, au mradi mkubwa wa kilimo au ufugaji, nisingelalamika.
 
..Dodoma ni Tanzania lakini hatukuhitaji mji Mkuu mpya Dodoma.

..Serikali ingeweza kujenga kongani ya viwanda Dodoma, au mradi mkubwa wa kilimo au ufugaji, nisingelalamika.

Kwani umezuiwa kujenga sasa hivi? Nenda kajenge
 
Kwani umezuiwa kujenga sasa hivi? Nenda kajenge

..hoja yangu ni kwamba Magufuli ameitia nchi hasara kwa kununua midege toka kwa mabeberu, na kujenga mji Mkuu mpya ambao hakukuwa tukiuhitaji.
 
Hawa wapo wengi tu hata lisu mwenyewe anajuta kumpinga magufuli
 
Nenda kapande SGR shetani mkubwa wewe usiye na faida yoyote hata kwenye ukoo wako
Napanda huku nalilaani lile shetani lenu la Chato kwa kuwatesa watz wenye utajiri wao eti alitaka waishi kama mashetani.
 
..hoja yangu ni kwamba Magufuli ameitia nchi hasara kwa kununua midege toka kwa mabeberu, na kujenga mji Mkuu mpya ambao hakukuwa tukiuhitaji.

Kwa kuwa wewe ni fukara usiyeweza kupanda ndege unataka kuwalazimisha na wenye hela zao wasisafiri kwa ndege? Jinga kabisa wewe
 
Napanda huku nalilaani lile shetani lenu la Chato kwa kuwatesa watz wenye utajiri wao eti alitaka waishi kama mashetani.

Upande treni ya watanzania kutafuta nini shetani mkubwa wewe
 
Kwa kuwa wewe ni fukara usiyeweza kupanda ndege unataka kuwalazimisha na wenye hela zao wasisafiri kwa ndege? Jinga kabisa wewe

..Naweza kupanda ndege.

..Na hata midege aliyonunua Magufuli napanda.

..hoja yangu ni kwamba Tz hatuhitaji shirika la ndege la umma kwasababu biashara hiyo ni ya HASARA.
 
Pesa ya SGR ilikuwa na uwezo wa kuweka lami km 6000 hadi 7000 ambazo zingebadili tasirwa ya Tz kabisaaaa
 
..Naweza kupanda ndege.

..Na hata midege aliyonunua Magufuli napanda.

..hoja yangu ni kwamba Tz hatuhitaji shirika la ndege la umma kwasababu biashara hiyo ni ya HASARA.

Hamia kwenye nchi ambayo haina shirika lake la ndege. Jinga kabisa wewe
 
Upande treni ya watanzania kutafuta nini shetani mkubwa wewe
Tehtehtehteeeee
Pole Mjane wa Marehemu.
Lile shetani lenu la Chato ulilitegemea sana mpk ukaliona kama MunguMtu wako vile. Sasa unatapatapa.
Ushauri wa bure, Ni rahisi sana kulifata huko kuzimu kuliko kudhani labda ipo siku litarudi tena kwenye nchi yetu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…