Mpinga Hayati Magufuli aangua kilio ndani ya treni ya SGR

Mpinga Hayati Magufuli aangua kilio ndani ya treni ya SGR

..Marekani haina shirika la ndege la serikali.

..pia hatuwezi kuwaiga Ethiopia kwasababu wao walianzisha shirika lao miaka ambayo biashara ya usafiri wa anga ilikuwa haina ushindani mkali kama zama hizi.
Mkuu ubunifu ni sawa na vidole vya mikono vinatofautiana, wapo wasomi imara kwenye sekta ya anga muda huu wakati unakuja na hoja zako za kupinga, wao wanatengeneza faida ya mabilioni ya shilingi.

JPM alikuwa na udhaifu wake lakini alijaaliwa maono ya hali ya juu sana. Sekta nzima ya usafiri wa anga kwa sasa inapanda juu kuliko kipindi chochote.
 
Tarehe 4, july, 2024 nikiwa kwenye treni ya umeme (SGR)ya Dar - Morogoro ambapo abiria wanatumia saa moja na dakika 49 tu kufika, hivyo kuokoa muda mwingi wa uzalishaji uliokuwa unapotea barabarani kwenye foleni, kwenye siti pembeni yangu alikaa kijana ambaye kwa muonekano yupo umri wa above 25 ambaye muda wote alionekana mwenye huzuni sana na majuto mengi.

Baada ya kufika kituo cha Soga mkoani Pwani nikamuona kijana ameanza kuangua kilio na ndipo ilibidi nimuhoji na abiria wenzangu wakataka kujua ni nini kinamsibu kijana huyu, kijana alieleza kuwa nafsi inamsuta kupanda hii SGR kwani alipinga ujenzi wake akiongozwa na Tundu Lisu na Chadema kwa ujumla alishiriki kumtukana hayati Rais Magufuli na kumkejeli pale alipoanzisha ujenzi wa reli ya umeme wakati huo ikiwa awamu ya tano!

Kijana anasema sasa analia na kusaga meno kwani Magufuli hayupo tena duniani na hajui atamuombea wapi msamaha ili nafsi yake iwe huru kwani mradi wa sgr Dar - Moro umekamilika na kuwa wenye manufaa makubwa kwa watanzania masikini na matajiri bila kujali vipato vyao.
Mwambie dogo huyo wa Gen Z asilie kwa kuwa:-

1. SGR kujengwa ilikuwa kwenye vision 2025 iliyoandikwa na BW Mkapa, hivyo kujenga lilikuwa suala la muda

2. J Kikwette alikwisha fanya taratibu za awali hadi kuingia mkataba na Wachina.

3. Magufuli kwa sababu anazozijua yeye mwenyewe aliwafuta Wachina na kuwaleta Waturuki. Hadi anakufa mwaka 2021 ilikuwa imefika 35%

4. Rais Samia amemalizia 65% hadi kufika Dodoma

Waache wajinga waendelee kumsifia huyo Dikteta kwa kila kitu kwa kuwa ALIWA BRAINWASH
 
Bo
..mimi nilimpinga Magufuli kununua midege.

..midege inatuletea hasara ambayo hatukupaswa kuibeba.

..pamoja na hayo nitapanda Atcl ilimradi inanifikisha ninapotaka kwenda.

..pia nilipinga ujenzi wa mji Mkuu Dodoma. Fedha na rasilimali zilizotumia Dodoma zingeweza kufanya mambo mengi yenye tija.

..mtizamo wangu haunizuii kutembelea Dodoma.
Bora yeye alitumia fedha hizo kujenga na kununua mandege.

Vipi umeshajiuliza chura kiziwi hela zake anapeleka wapi?
 
Kwamba sasa hivi aliyeko hujaona anachofanya?
1. Huoni uchumi unakuwa.
2. Madeni kulipwa kwa wakati.
3. Mishahara kulipwa kwa wakati.
4. Maelewano ya kisiasa na wapinzani.
5. Ajira mamilioni hata jana zimetangazwa ajira za afya 8000

Haya hata wewe ukiwa rais utafanya tu
 
..fedha zilizotumika kujenga Dodoma zingeelekezwa kwenye mradi wa umeme Stieglers, ujenzi wa Sgr, au miundombinu bandarini, tungepata faida zaidi.

Kumbe sasa hivi hamna hela iliyoelekezwa kwenye hiyo miradi?
 
Shetani ni yule mnayemwabudia aliyewafilisi kina Manji kwa roho mbaya yake na ndo mana alikufa kifo cha kifala kabisa!!

Shetani ni wewe, roho mbaya ni wewe hutaki watanzania wapate umeme wa uhakika
 
Mkuu ubunifu ni sawa na vidole vya mikono vinatofautiana, wapo wasomi imara kwenye sekta ya anga muda huu wakati unakuja na hoja zako za kupinga, wao wanatengeneza faida ya mabilioni ya shilingi.

JPM alikuwa na udhaifu wake lakini alijaaliwa maono ya hali ya juu sana. Sekta nzima ya usafiri wa anga kwa sasa inapanda juu kuliko kipindi chochote.

Hakuwa hata na udhaifu wowote nyumbu yu uelewa wao uko duni sana
 
Mwambie dogo huyo wa Gen Z asilie lwa kuwa:-

1. SGR kujengwa ilikuwa kwenye vision 2025 iliyoandikwa na BW Mkapa, hivyo kujenga lilikuwa suala la muda

2. J Kikwette alikwisha fanya taratibu za awali hadi kuingia mkataba na Wachina.

3. Magufuli kwa sababu anazozijua yeye mwenyewe aliwafuta Wachina na kuwaleta Waturuki. Hadi anakufa mwaka 2021 ilikuwa imefika 35%

4. Rais Samia amemalizia 65% hadi kufika Dodoma

Waache wajinga waendelee kumsifia huyo Dikteta kwa kila kitu kwa kuwa ALIWA BRAINWASH

Ulikuwa unataka Samia asimalizie wakati alikuwa makamu wa rais?

We ni mjinga na mpumbavu mwenye roho mbaya sana
 
Bo

Bora yeye alitumia fedha hizo kujenga na kununua mandege.

Vipi umeshajiuliza chura kiziwi hela zake anapeleka wapi?

..hata chura kaila ujinga wa kununua midege.

..niliunga mkono sgr na Stieglers nilikuwa 50/50.

..dodoma na midege nilipinga.
 
Mkuu ubunifu ni sawa na vidole vya mikono vinatofautiana, wapo wasomi imara kwenye sekta ya anga muda huu wakati unakuja na hoja zako za kupinga, wao wanatengeneza faida ya mabilioni ya shilingi.

JPM alikuwa na udhaifu wake lakini alijaaliwa maono ya hali ya juu sana. Sekta nzima ya usafiri wa anga kwa sasa inapanda juu kuliko kipindi chochote.

..mnachezea tu fedha za umma kwasababu mna madaraka.
 
Back
Top Bottom