Mpinga Hayati Magufuli aangua kilio ndani ya treni ya SGR


Shetani linajichekeshachekesha
 
Shetani linajichekeshachekesha
Tehtehteeeteh
Vp Mjane wa Marehemu, nmekukumbusha cheko la shetani lako mwenyewe!
Umelimisije!?
Ndo halirudi tena, limetuacha tukiendelea kujilia mema ya nchi yetu lenyewe liko kuzimu
 
..hoja yangu ni kwamba Magufuli ameitia nchi hasara kwa kununua midege toka kwa mabeberu, na kujenga mji Mkuu mpya ambao hakukuwa tukiuhitaji.
Tumia akili tena kujua umuhimu wa kujenga mji mkuu Dodoma.kwanza Dodoma ni mji mkuu rasmi,unapunguza foleni Dar.Dar inabaki kuwa mji wa biashara.
 
Chai
 
Ni hadithi ya uongo tu na wala haisaidii chochote. Kitu kikubwa mnachopaswa kufanya ni kumwombea DUA kwa Mwenyezi Mungu amsamehe yale mabaya yote aliyoyatenda wakati akiwa hai.
Binadamu wote tuna mazuri yetu na tuna mabaya yetu lakini tukae tukijua kuna baadhi ya mambo mabaya tukiyatenda hufunika yale mazuri yote na yanakuwa hayana maana yoyote kwako japo yatakuwa yana maana kwa wengine.
Tujitahidi kutenda mema hapa duniani wakati wa uhai wetu bila kujali wewe ni tajiri,msomi au ni mtu mwenye madaraka na mamlaka fulani kwani hivyo vyote havitokusaidia chochote isipokuwa matendo yako mema.
 
Tumia akili tena kujua umuhimu wa kujenga mji mkuu Dodoma.kwanza Dodoma ni mji mkuu rasmi,unapunguza foleni Dar.Dar inabaki kuwa mji wa biashara.

..Dodoma nako kukiwa na foleni tutajenga mji mkuu mpya ktk mkoa mwingine?

..kwa mtizamo wangu fedha zilizotumika Dodoma ni nyingi sana na zingeweza kutupa faida zaidi kama zingewekezwa kwenye sekta zinazozalisha.
 
..Dodoma nako kukiwa na foleni tutajenga mji mkuu mpya ktk mkoa mwingine?

..kwa mtizamo wangu fedha zilizotumika Dodoma ni nyingi sana na zingeweza kutupa faida zaidi kama zingewekezwa kwenye sekta zinazozalisha.

Dodoma ni nchi jirani?

Watu waliolipwa fidia hapo Dodoma kupisha maeneo siyo watanzania??

Jinga kabisa wewe
 
Dodoma ni nchi jirani?

Watu waliolipwa fidia hapo Dodoma kupisha maeneo siyo watanzania??

Jinga kabisa wewe

..Nchi ingefaidika zaidi kama Dodoma kungejengwa miradi ya UZALISHAJI mali, kwa mfano, viwanda, badala ya majumba na maofisi ya viongozi.
 
..Nchi ingefaidika zaidi kama Dodoma kungejengwa miradi ya UZALISHAJI mali, kwa mfano, viwanda, badala ya majumba na maofisi ya viongozi.

Alafu hao wanaokaa sasa hivi kwenye hayo majumba na ofisi ungewapa pa kukaa na ofisi mkunduni mwako?
 
Alafu hao wanaokaa sasa hivi kwenye hayo majumba na ofisi ungewapa pa kukaa na ofisi mkunduni mwako?

..viongozi waliojengewa maofisi na majumba Dodoma tayari walikuwa na maofisi na makazi Dsalaam.

..tungefaidika zaidi kama tungejenga miradi ya UZALISHAJI mali Dodoma badala ya majumba na maofisi ya viongozi.
 
..viongozi waliojengewa maofisi na majumba Dodoma tayari walikuwa na maofisi na makazi Dsalaam.

..tungefaidika zaidi kama tungejenga miradi ya UZALISHAJI mali Dodoma badala ya majumba na maofisi ya viongozi.

Jinga kabisa wewe
 
Sasa Dar - Dom ni masaa 3 tu
 

Uongo wa kitoto😂😂 yaani mna mwezi Magu hivi kweli
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…