Mpinzani halisi wa Alikiba ni MarLaw, sio Diamond...

Mpinzani halisi wa Alikiba ni MarLaw, sio Diamond...

Well, am not sure why was it crucial to have diamond name on your thread title if your intention were to only say marlaw is of the same class as kiba.

I mean.. Must you write his name if he ain't good at music as you're preaching?? You could have just ignored him.. Clearly, there is no point in whatever you said. I don't see nothing but crap on the whole post.
For any afro music match up debate to be relevant hapa kwetu lazima Diamond atajwe..kid has set the bar too high kiasi hata wakiahindanishwa wengine lazima “mfano” utajwe.so waelewe tu boss
 
So ktk hao watatu Mondi,Marlaw na Kiba nafasi ya Mondi ni ipi? Nikusema yupo chini sana kiasi yakua hawezi kushindanishwa na Kiba maana levo za kiba ni Marlaw,ambao wapo juu?au yupo juu sana kiasi yakwamba badala watu kumueka Kiba levo moja na Mondi haingii badala yake levo ya kiba ni Marlow ambao wote wapo chini?
Hebu tufafanulie hapa na ukafanya hivyo nadhani utakua umesha summarize bandiko lako nzima!

inabidi uwe na akili kubwa kuelewa hapo
 
Nilipousoma huu uzi ndo nikajua kuwa Marlaw ametoa nyimbo huku kitaa sijawahi kuusikia niwe mkweli katika hili,baada ya kumaliza kusoma alichoandika haraka sana nikaenda kuupakua ni nyimbo ya kawaida wala haina maajabu.
Mi mpaka sasa sijausikia.
 
Sasa mbona unajichanganya?

Mwanzo ulisema lugha ndiyo inawaangusha wasanii wengine, nikakuambia lugha sio ishu kabisa kwenye muziki. Muziki wenyewe ni lugha. Umeshasahau hata hoja yako.

Kimsingi, ni kweli mdundo na muziki wa amsha amsha una mashabiki wake. Lakini zipo nyimbo za slow nazo zinapendwa na watu hata wasioelewa kinachoimbwa.

Huo ndio muziki!
Jiulize kwanini Diamond alivyobadisha styles za muziki wake ndiyo anazidi ku'mushroom internationally, kwasababu amelenga zaidi kwenye entertainment za amsha amsha. Amelijua soko kwani kuliteka soko ni kulenga utashi wa majorities.
 
Jiulize kwanini Diamond alivyobadisha styles za muziki wake ndiyo anazidi ku'mushroom internationally, kwasababu amelenga zaidi kwenye entertainment za amsha amsha. Amelijua soko kwani kuliteka soko ni kulenga utashi wa majorities.
Basi sawa. Uko sahihi!
 
  • Thanks
Reactions: Qwy
Jiulize kwanini Diamond alivyobadisha styles za muziki wake ndiyo anazidi ku'mushroom internationally, kwasababu amelenga zaidi kwenye entertainment za amsha amsha. Amelijua soko kwani kuliteka soko ni kulenga utashi wa majorities.
Neno💯💯💯💯
 
  • Thanks
Reactions: Qwy
Afu kwa sasa wasanii wengi kama si wote wanaiga mziki anaoufanya huyo jamaa...akihamia aina fulani ya mziki haichukui muda na wengine wanaiga
Jiulize kwanini Diamond alivyobadisha styles za muziki wake ndiyo anazidi ku'mushroom internationally, kwasababu amelenga zaidi kwenye entertainment za amsha amsha. Amelijua soko kwani kuliteka soko ni kulenga utashi wa majorities.
 
Afu kwa sasa wasanii wengi kama si wote wanaiga mziki anaoufanya huyo jamaa...akihamia aina fulani ya mziki haichukui muda na wengine wanaiga
Standards. Diamond amejimilikisha Bongo Fleva mpaka kila mtu anaamini ni yake.

Ni kama Soka. Kuna vilabu vimejimilikisha nchi mpaka unaweza kudhani zipo zenyewe tu humo. Kama ambavyo Simba SC inavyotaka kujimilikisha Soka la Bongo.

Hiyo ni akili kubwa.
 
Aha nimeelewa ungee sema moja kwa moja tu Kwamba Kiba kesha potea yupo level za Lawrence
 
Kweli aisee...
Marlaw ametoa wimbo wa Taa, Ali Kiba ameachia wimbo wa Mshumaa...
Taa vs Mshumaa...
Hakika hawa ndio washindani halisi..!
😂 😂😂😂
 
Una mawazo mazuri lakini umeteleza kudhani muziki mzuri unatokana na lugha.

Wahindi wana nyimbo nzuri na zinatamba almost dunia nzima na watu hawaelewi hata wanachoimba. Wakongo na wale kina Despacito vile vile.

Hayo mengine ya kusema Diamond ni mkali kuliko wasanii wengine sio lengo la uzi huu.
You've missed my point, sijasema lugha ndiyo kiwakilishi bali danceable music(muziki wa amsha amsha) ndiyo njia ya kuliteka soko la wale wasioelewa lugha iliyoimbwa, ndiyo maana Wacongo na Wahindi wanalenga sana kwenye muziki wa kuchezeka.
 
For any afro music match up debate to be relevant hapa kwetu lazima Diamond atajwe..kid has set the bar too high kiasi hata wakiahindanishwa wengine lazima “mfano” utajwe.so waelewe tu boss
Word.
 
Afu kwa sasa wasanii wengi kama si wote wanaiga mziki anaoufanya huyo jamaa...akihamia aina fulani ya mziki haichukui muda na wengine wanaiga
Marioo,Barnabas,mbosso,lavalava hawafanyi muziki anaofanya diamond unawezaje kusema wasanii wanaiga mziki wake? Hebu nitajie hao wanaoiga muziki wao?
 
Sasa mbona mnataka kumchosha kiba? Amesha buruzwa na mond,hajapumzka mnataka muweke ligi mpya na Malaw tena?
Mtamuua mtoto wa watu [emoji2]
Musically Mondi kaachwa mbali na Kiba...juzi nimemuona Mondi akiimba na playback mbaya vile..je akiimba na live band itakuwaje
 
Back
Top Bottom