Pchyuuuuuuu...... Tangu lini Tundu Lissu atavaa viatu vya Bobi Wine, Lissu na hawezi kumfikia Bobi Wine ata robo., Bobi anapigana akiwa ndani ya Uganda ana kwa ana na M7, ametishwa mara kupigwa na kuteswa mara ngapi akitoka jela anapambana na M7 masaa 24 usiku na mchana.
Tundu Lissu shida yake ni urais tu ata hana mapenzi na mashabiki wake, alipigwa risasi akiwa mbunge akasema harudi Tanzania mpaka ahakikishiwe ulinzi, lakini alijitosa kwa sababu anataka urais akaja bila ya kupewa ulinzi baada ya uchaguzi akasema eti kapigiwa simu na mtu atakayemuua akakimbilia ubalozi wa ujerumani akapanda ndege belgium
Sasa niambie Bobi Wine apigiwe simu ya kuuawa anaweza kukimbia Uganda kwa sabababu kapokea simu ya kuuliwa? Lissu hawezi kuwa kama Bobi Wine He is far from Bobi Wine, Hao kina Mbowe na Mnyika ndio kabisa.
Kiongozi mwenye kushabihiana na Bobi Wine ni Maalim Seif peke yake hakuwahi kwenda ukimbizini ata siku 1 kwa sababu ya kutishwa, na maalim seif anakotokea ameshatishwa sana zaidi ya sana bado yupo Unguja na wananchi siku zote.
Tundu Lissu