abdulhamis
JF-Expert Member
- Aug 2, 2019
- 1,436
- 2,296
Habari wadau wote wa Yanga polen na majukumu.
Leo nimebahatika kuangalia Samakiba kwanza niwapongeze Samata na Alikiba bila kusahau Wachezaji wote waliojitolea kuwapa Sapoti
Leo kama umeangalia Mpira au Hata kuusikiliza utakuwa Umesikia Sana Jina Molinga au kumuo Mara nyingi Kwa uwezo alio uonyesha Molinga ni Wazi kua Yanga Kuna Tatizo la Kiufundi na sio Tatizo la Wachezaji Tena inaonesha Wachezaji wengi Tunao Waacha ni Wazur
Yanga kabla hatuja Fanya usajili Tujiulize Tunafeli wapi.
Simba Hongeren mchezaji wenu kanyea Mbingu molison [emoji1787][emoji1787]
Leo nimebahatika kuangalia Samakiba kwanza niwapongeze Samata na Alikiba bila kusahau Wachezaji wote waliojitolea kuwapa Sapoti
Leo kama umeangalia Mpira au Hata kuusikiliza utakuwa Umesikia Sana Jina Molinga au kumuo Mara nyingi Kwa uwezo alio uonyesha Molinga ni Wazi kua Yanga Kuna Tatizo la Kiufundi na sio Tatizo la Wachezaji Tena inaonesha Wachezaji wengi Tunao Waacha ni Wazur
Yanga kabla hatuja Fanya usajili Tujiulize Tunafeli wapi.
Simba Hongeren mchezaji wenu kanyea Mbingu molison [emoji1787][emoji1787]