Prince Kunta
JF-Expert Member
- Mar 27, 2014
- 22,797
- 28,904
Sio tu ushindi bali tumewazidi point pia position katika table na hapo kumbuka hătujapoteza mchezo hata mmoja na tunamichezo yetu 2. Lazima muweweseke sanaHahaha.. Hongereni kwa kuendelea kupata ushindi wa 'tia maji tia maji'.. Ila aminini ipo siku inakuja nayo haipo mbali.. Huto tugoli, mtakua mnatutafuta kwa tochi.. Na kamwe hamtotupata.