Nabii kibonge
JF-Expert Member
- Mar 15, 2018
- 277
- 310
Maisha yanaenda kasi sana, juzi tu hapa tumetoka kumskia Wesley Sneidjer akisema anaamini kwamba angeweza kutajwa katika daraja moja na Cristiano Ronaldo pamoja na Lionel Messi kama angekuwa amejituma zaidi. Huyu apa “ Niwe mkweli na nikiri kwamba ningeweza kutajwa katika daraja moja na Ronaldo pamoja na Messi kama ningejituma kwa asilimia 100, najua hilo . Lakini sikutaka kufanya hivyo na sina majuto.Sio kwamba sikuwa na uwezo bali sikutaka tu “
Pengine inachekesha kidogo kama humjui Sneidjer, lakini tunaomjua sneidjer wa inter milan na timu ya taifa ya Uholanzi tunaona kuna kaukweli kidogo.
Achana na hayo 2016 may kulikuwa na shangwe sana katika mji wa leicester.Naam ni watoto wa King Richard III (1452-1485), nazungumzia mashabiki wa leicester city walipobeba ndoo ya EPL. kikosi chenye watu kama Ng'olo Kante, Riyad Mahrez pia striker Jarmie Vardy.
Mda kama huo club ya KRC Genk ya Ugelgiji walkuwa wanaanza kuona kwa mbaaali faida au matunda ya kijana wao wa academy toka mitaa ya Abuja mda huo akiwa na miaka 20 tu na baada ya miezi wababe wa kingpower wakamchukua kwa dau la paund milioni 17 huku wakiwa wanahaha kutafuta mrithi wa Ngolo Kante ambae wengi waliamini pengo lake haizibiki kamwe.
Miaka imesogea bwana na sasa misimu miwili baadae tuna Ngolo kante huku Chelsea na huku tuna Wilfred Ndidi Leicester, na utofauti ni mmoja tu huyu anaheshimika kweli kweli wachambuzi wakimwita world class midfielder na mwingine anaonekana ni mchezaji wa kawaida kama walivyo wachezaji wa timu ndogo za England.
Kikibwa kinachompa heshima kante ni ule ubingwa wa 2016.Kante ni jina kubwa sana kwenye viunga vya stamford pia utalisikia jina hilo kwenya midomo ya wachambuzi uchwara kina Steve Macmanaman kina Phil Nevile na Kina Jim Caragher.
Lakini ukienda kwenye dimba mambo ni tofauti kidogo utamwona mtoto wa Abuja akilimudu vyema dimba la kati, utamwona akiicheza kwa ufasaha mipira ya juu, utamwona akikokota mipira na kupiga pasi kwa ufasaha, utamwona akiclear mipira na pia utamwona akipiga tackles pale mambo yakienda kombo. Huku akiwa kinara wa tackles kwa viungo pale England.
Tofauti ni moja tu kante alicheza Leicester iliyopata mafanikio na Ndidi anacheza Leicester iliyoyumba kidogo na utofaut hauko kwenye perfomance kwa maana tuna vitu vingi vya kuangalia kila weekend ya EPL toka kwa Ndidi na chama lake la wana na sio tena Kante na viungo wenzie feki kina Jorginho.
Anachokifanya Ndidi ni kile anachofanya kante lakini ndidi anafanya kwa ufasaha zaidi kwa maana kwamba ni extra odinary, kante usitegemee lolote kwa mipira ya juu pia usijidanganye utamwone akipandisha mashambulizi kwa kukokota mipira kuifkisha kwa strikers.
Ndidi anafanya yote hayo akiwa na umri wa miaka 22 tu . 22 ndio usishangae. Mda kama huu kante alikuwa ufaransa ligi za madaraja ya chimi anacheza mpira viwanaja vinafanana na Nangwanda sijaona. Kante anamiaka 28 sasa umri ambao tunasema ni peak na usitegemee chochote kipya toka kwao kwa maana hamna cha ziada ataonyesha kwa maana umri unazidi mtupa mkono.
Ndidi anamiaka sita zaidi ya kucheza kufikia umri wa kante, Je atakuwaje akigikia umri huo kamuulize Wesley Sneidjer atakupa jibu.
Sneidjer tumemuelewa maneno yake kwa sababu ni Sneidjer ambae ofisi ya intermilan hazikosi kumbukizi yake kwa alichowafanyia. Ambae aliwafungashia virago Brazil 2010 chini ya usimamizi wa mchezaji wa zamani Captain Dunga .Sneidjer ambae aliongoza hukumu kali kwa mabingwa watetezi wa kombe la dunia naam ni spain.Lakini kauli hiyo hiyo akisema Kante nafkiri Giroud atatakiwa awe na ballon d o 3
Pengine inachekesha kidogo kama humjui Sneidjer, lakini tunaomjua sneidjer wa inter milan na timu ya taifa ya Uholanzi tunaona kuna kaukweli kidogo.
Achana na hayo 2016 may kulikuwa na shangwe sana katika mji wa leicester.Naam ni watoto wa King Richard III (1452-1485), nazungumzia mashabiki wa leicester city walipobeba ndoo ya EPL. kikosi chenye watu kama Ng'olo Kante, Riyad Mahrez pia striker Jarmie Vardy.
Mda kama huo club ya KRC Genk ya Ugelgiji walkuwa wanaanza kuona kwa mbaaali faida au matunda ya kijana wao wa academy toka mitaa ya Abuja mda huo akiwa na miaka 20 tu na baada ya miezi wababe wa kingpower wakamchukua kwa dau la paund milioni 17 huku wakiwa wanahaha kutafuta mrithi wa Ngolo Kante ambae wengi waliamini pengo lake haizibiki kamwe.
Miaka imesogea bwana na sasa misimu miwili baadae tuna Ngolo kante huku Chelsea na huku tuna Wilfred Ndidi Leicester, na utofauti ni mmoja tu huyu anaheshimika kweli kweli wachambuzi wakimwita world class midfielder na mwingine anaonekana ni mchezaji wa kawaida kama walivyo wachezaji wa timu ndogo za England.
Kikibwa kinachompa heshima kante ni ule ubingwa wa 2016.Kante ni jina kubwa sana kwenye viunga vya stamford pia utalisikia jina hilo kwenya midomo ya wachambuzi uchwara kina Steve Macmanaman kina Phil Nevile na Kina Jim Caragher.
Lakini ukienda kwenye dimba mambo ni tofauti kidogo utamwona mtoto wa Abuja akilimudu vyema dimba la kati, utamwona akiicheza kwa ufasaha mipira ya juu, utamwona akikokota mipira na kupiga pasi kwa ufasaha, utamwona akiclear mipira na pia utamwona akipiga tackles pale mambo yakienda kombo. Huku akiwa kinara wa tackles kwa viungo pale England.
Tofauti ni moja tu kante alicheza Leicester iliyopata mafanikio na Ndidi anacheza Leicester iliyoyumba kidogo na utofaut hauko kwenye perfomance kwa maana tuna vitu vingi vya kuangalia kila weekend ya EPL toka kwa Ndidi na chama lake la wana na sio tena Kante na viungo wenzie feki kina Jorginho.
Anachokifanya Ndidi ni kile anachofanya kante lakini ndidi anafanya kwa ufasaha zaidi kwa maana kwamba ni extra odinary, kante usitegemee lolote kwa mipira ya juu pia usijidanganye utamwone akipandisha mashambulizi kwa kukokota mipira kuifkisha kwa strikers.
Ndidi anafanya yote hayo akiwa na umri wa miaka 22 tu . 22 ndio usishangae. Mda kama huu kante alikuwa ufaransa ligi za madaraja ya chimi anacheza mpira viwanaja vinafanana na Nangwanda sijaona. Kante anamiaka 28 sasa umri ambao tunasema ni peak na usitegemee chochote kipya toka kwao kwa maana hamna cha ziada ataonyesha kwa maana umri unazidi mtupa mkono.
Ndidi anamiaka sita zaidi ya kucheza kufikia umri wa kante, Je atakuwaje akigikia umri huo kamuulize Wesley Sneidjer atakupa jibu.
Sneidjer tumemuelewa maneno yake kwa sababu ni Sneidjer ambae ofisi ya intermilan hazikosi kumbukizi yake kwa alichowafanyia. Ambae aliwafungashia virago Brazil 2010 chini ya usimamizi wa mchezaji wa zamani Captain Dunga .Sneidjer ambae aliongoza hukumu kali kwa mabingwa watetezi wa kombe la dunia naam ni spain.Lakini kauli hiyo hiyo akisema Kante nafkiri Giroud atatakiwa awe na ballon d o 3