Mpira muda mwingine haupo fair, pole Wilfred Ndidi

Mpira muda mwingine haupo fair, pole Wilfred Ndidi

Sasa kwanini Madrid hawataki mnunua huyo Ndidi badala yake wwnamkata Kante?
 
hio ni pass accuracy tu ambayo basically kante anapiga acuracy kubwa ila anapiga back pases tu hazina impact yoyot 2018/2019 back pas 260+ pia ukija 2017/2018 kazpiga km 390+ hicho ni kigezo cha pass lakini bado vingi tu ndidi anamzidi kama tackling dribling na muhim san ni uwezo wa kcheza mipira ya juu hyo inampa nafas nzuri kumudu eneo la holding
huko ndio usiende kabisa

key pass ambazo zinaweza kuzalisha assist average per match

kante
2015/16 ni 0.8
2016/17 ni 0.6
2017/18 ni 1.2
2018/19 ni 1.3
2019/20 ni 0.8

ukija Ndidi yeye ni kama hivi
2016/17 ni 0.4
2017/18 ni 0.4
2018/19 ni 0.6
2019/20 ni 0.5

hivyo by far kante ni bora zaidi kwenye kupiga pasi muhimu kushinda ndidi.
 
Katika maisha yako hautawahi kusikia Holding middifield tofauti na Kante akichukua uchezaji bora wa Epl ,pia utakuwa unaota Ndidi kuingia kwenye kikosi bora cha dunia.jambo la msingi akili yako ya kawaida sana kuwauliza swali watu wa mpira kwanini Ng'olo ni world class?Nimalizie kwa kusema MTU ana question integrity ability ya KANTE ni wa kupuuzwa kabisaaaaaa.
 
huko ndio usiende kabisa

key pass ambazo zinaweza kuzalisha assist average per match

kante
2015/16 ni 0.8
2016/17 ni 0.6
2017/18 ni 1.2
2018/19 ni 1.3
2019/20 ni 0.8

ukija Ndidi yeye ni kama hivi
2016/17 ni 0.4
2017/18 ni 0.4
2018/19 ni 0.6
2019/20 ni 0.5

hivyo by far kante ni bora zaidi kwenye kupiga pasi muhimu kushinda ndidi.
Huyu mwandika bandiko hakuna kitu anajua alichojitahidi kukusanya ni namba tu,dribbling ability ya Kante ni kiwango cha ajabu ,anateleza kama kambale anamfananisha Kante na Ndidi?Dunia ina maajabu
 
Sasa sneidjer mchezaji wa msimu mmoja anakaaje daraja moja na kina Cr7 na L10?
 
Maisha yanaenda kasi sana, juzi tu hapa tumetoka kumskia Wesley Sneidjer akisema anaamini kwamba angeweza kutajwa katika daraja moja na Cristiano Ronaldo pamoja na Lionel Messi kama angekuwa amejituma zaidi. Huyu apa “ Niwe mkweli na nikiri kwamba ningeweza kutajwa katika daraja moja na Ronaldo pamoja na Messi kama ningejituma kwa asilimia 100, najua hilo . Lakini sikutaka kufanya hivyo na sina majuto.Sio kwamba sikuwa na uwezo bali sikutaka tu “

Pengine inachekesha kidogo kama humjui Sneidjer, lakini tunaomjua sneidjer wa inter milan na timu ya taifa ya Uholanzi tunaona kuna kaukweli kidogo.

Achana na hayo 2016 may kulikuwa na shangwe sana katika mji wa leicester.Naam ni watoto wa King Richard III (1452-1485), nazungumzia mashabiki wa leicester city walipobeba ndoo ya EPL. kikosi chenye watu kama Ng'olo Kante, Riyad Mahrez pia striker Jarmie Vardy.

Mda kama huo club ya KRC Genk ya Ugelgiji walkuwa wanaanza kuona kwa mbaaali faida au matunda ya kijana wao wa academy toka mitaa ya Abuja mda huo akiwa na miaka 20 tu na baada ya miezi wababe wa kingpower wakamchukua kwa dau la paund milioni 17 huku wakiwa wanahaha kutafuta mrithi wa Ngolo Kante ambae wengi waliamini pengo lake haizibiki kamwe.

Miaka imesogea bwana na sasa misimu miwili baadae tuna Ngolo kante huku Chelsea na huku tuna Wilfred Ndidi Leicester, na utofauti ni mmoja tu huyu anaheshimika kweli kweli wachambuzi wakimwita world class midfielder na mwingine anaonekana ni mchezaji wa kawaida kama walivyo wachezaji wa timu ndogo za England.

Kikibwa kinachompa heshima kante ni ule ubingwa wa 2016.Kante ni jina kubwa sana kwenye viunga vya stamford pia utalisikia jina hilo kwenya midomo ya wachambuzi uchwara kina Steve Macmanaman kina Phil Nevile na Kina Jim Caragher.

Lakini ukienda kwenye dimba mambo ni tofauti kidogo utamwona mtoto wa Abuja akilimudu vyema dimba la kati, utamwona akiicheza kwa ufasaha mipira ya juu, utamwona akikokota mipira na kupiga pasi kwa ufasaha, utamwona akiclear mipira na pia utamwona akipiga tackles pale mambo yakienda kombo. Huku akiwa kinara wa tackles kwa viungo pale England.



Tofauti ni moja tu kante alicheza Leicester iliyopata mafanikio na Ndidi anacheza Leicester iliyoyumba kidogo na utofaut hauko kwenye perfomance kwa maana tuna vitu vingi vya kuangalia kila weekend ya EPL toka kwa Ndidi na chama lake la wana na sio tena Kante na viungo wenzie feki kina Jorginho.

View attachment 1273349

Anachokifanya Ndidi ni kile anachofanya kante lakini ndidi anafanya kwa ufasaha zaidi kwa maana kwamba ni extra odinary, kante usitegemee lolote kwa mipira ya juu pia usijidanganye utamwone akipandisha mashambulizi kwa kukokota mipira kuifkisha kwa strikers.

Ndidi anafanya yote hayo akiwa na umri wa miaka 22 tu . 22 ndio usishangae. Mda kama huu kante alikuwa ufaransa ligi za madaraja ya chimi anacheza mpira viwanaja vinafanana na Nangwanda sijaona. Kante anamiaka 28 sasa umri ambao tunasema ni peak na usitegemee chochote kipya toka kwao kwa maana hamna cha ziada ataonyesha kwa maana umri unazidi mtupa mkono.

Ndidi anamiaka sita zaidi ya kucheza kufikia umri wa kante, Je atakuwaje akigikia umri huo kamuulize Wesley Sneidjer atakupa jibu.

Sneidjer tumemuelewa maneno yake kwa sababu ni Sneidjer ambae ofisi ya intermilan hazikosi kumbukizi yake kwa alichowafanyia. Ambae aliwafungashia virago Brazil 2010 chini ya usimamizi wa mchezaji wa zamani Captain Dunga .Sneidjer ambae aliongoza hukumu kali kwa mabingwa watetezi wa kombe la dunia naam ni spain.Lakini kauli hiyo hiyo akisema Kante nafkiri Giroud atatakiwa awe na ballon d o 3
Kwamba unajifanya hujui kabisa kwamba Kante msimu huu hajacheza match nyingi kwa sababu ya majeruhi? .
 
Yaani Kati ya watu walioandika vitu vya hovyo na wewe humo! Huo umri wa Wachezaji wa Kiafrika ndio unauamini! 22 years my left foot!! Umemkosea Sana Ngolo,
 
Kante kacheza mechi chache kutokana na majeraha,
Kante anauwezo wa kushinda na kuamua matokeo hata kama mechi nzito
 
ndindi.png
 
Back
Top Bottom