Mpira ni haram

Sheiikh umetumia km kiwakilish ktk lugha ya kiarab au umetumia km statas ya mtu kwa mujibu wa dini ya kiislam???
wale waislam........hio najua ni mzee ila nimeiweka kibongo zaidi wakina mansour
 
wanaokimbia jeje.

nakama nikumuenzi yesu alikuwa anaongea kwamafumbo lakini waumini sasa hivi hatufanyi hivyo.ee yakobo?
Hayo yote yanatokana na jazba tulizokuwa nazo waumin wa nyakat hizi
 
wale waislam........hio najua ni mzee ila nimeiweka kibongo zaidi wakina mansour
Wale ni wafanya biashara na ukisoma historia ya watu maarufu ktk uislam wengi wao wanahusishwa na biashara
 
Kwahiyo kucheza mpira ni dhambi?
 
Hata sex kwa njia tofauti ni haram, iwe doggy style na mikunjo mingine

Kifo cha mende tu ndio sahihi kulingana na maandiko
 
Ni ufirimasoni kwanza,afu kuzimu kuna demon la football,..lenyewe huwa lina feed on noise ambazo mashabiki huwa wanatoa wakisherekea goli.[emoji1787][emoji1787][emoji1787](sitanii ni ukweli)
View attachment 2807385
 
Zile tano zitawafanya mabwana hawa kuchukua muda mrefu sana kurudi kwenye utimamu wao
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…