Muuza Viat
JF-Expert Member
- Dec 23, 2022
- 2,826
- 7,388
Kwa kuzingatia mienendo yake nadhan wanaofanya jogin ya kutembea wapo sahihmazoezi gani yesu aliyazungumzia mkuu.
Acha kuleta ushabik ktk mambo ya msingiDj niletee makolo ukiwasindikiza na kibao cha jenifer mgeni nalia
Sheiikh umetumia km kiwakilish ktk lugha ya kiarab au umetumia km statas ya mtu kwa mujibu wa dini ya kiislam???mbona sasa ma sheikh wanamiliki timu huko ulaya
wale waislam........hio najua ni mzee ila nimeiweka kibongo zaidi wakina mansourSheiikh umetumia km kiwakilish ktk lugha ya kiarab au umetumia km statas ya mtu kwa mujibu wa dini ya kiislam???
Hayo yote yanatokana na jazba tulizokuwa nazo waumin wa nyakat hiziwanaokimbia jeje.
nakama nikumuenzi yesu alikuwa anaongea kwamafumbo lakini waumini sasa hivi hatufanyi hivyo.ee yakobo?
Wale ni wafanya biashara na ukisoma historia ya watu maarufu ktk uislam wengi wao wanahusishwa na biasharawale waislam........hio najua ni mzee ila nimeiweka kibongo zaidi wakina mansour
Kwahiyo kucheza mpira ni dhambi?Kwa mujibu wa maelezo ya mtume B mpira ni haram kwa sabab yesu hajaufatilia wala kuuzungumzia kwa namna yoyote Ile
Na hata ktk vitabu vya biblia hakuna popote ulipozungumziwa
Najua mtapinga ila haitoshangaza kwa sabab hayo yalishatabiliwa kitambo tu.
Kwahio ni wakiristoWale ni wafanya biashara na ukisoma historia ya watu maarufu ktk uislam wengi wao wanahusishwa na biashara
Hata sex kwa njia tofauti ni haram, iwe doggy style na mikunjo mingineKwa mujibu wa maelezo ya mtume B mpira ni haram kwa sabab yesu hajaufatilia wala kuuzungumzia kwa namna yoyote Ile
Na hata ktk vitabu vya biblia hakuna popote ulipozungumziwa
Najua mtapinga ila haitoshangaza kwa sabab hayo yalishatabiliwa kitambo tu.
SahihKwahiyo kucheza mpira ni dhambi?
SahihHata sex kwa njia tofauti ni haram, iwe doggy style na mikunjo mingine
Kifo cha mende tu ndio sahihi kulingana na maandiko