Mpira ni haram

Mpira ni haram

Sheiikh umetumia km kiwakilish ktk lugha ya kiarab au umetumia km statas ya mtu kwa mujibu wa dini ya kiislam???
wale waislam........hio najua ni mzee ila nimeiweka kibongo zaidi wakina mansour
 
wanaokimbia jeje.

nakama nikumuenzi yesu alikuwa anaongea kwamafumbo lakini waumini sasa hivi hatufanyi hivyo.ee yakobo?
Hayo yote yanatokana na jazba tulizokuwa nazo waumin wa nyakat hizi
 
wale waislam........hio najua ni mzee ila nimeiweka kibongo zaidi wakina mansour
Wale ni wafanya biashara na ukisoma historia ya watu maarufu ktk uislam wengi wao wanahusishwa na biashara
 
Kwa mujibu wa maelezo ya mtume B mpira ni haram kwa sabab yesu hajaufatilia wala kuuzungumzia kwa namna yoyote Ile


Na hata ktk vitabu vya biblia hakuna popote ulipozungumziwa


Najua mtapinga ila haitoshangaza kwa sabab hayo yalishatabiliwa kitambo tu.
Kwahiyo kucheza mpira ni dhambi?
 
Kwa mujibu wa maelezo ya mtume B mpira ni haram kwa sabab yesu hajaufatilia wala kuuzungumzia kwa namna yoyote Ile


Na hata ktk vitabu vya biblia hakuna popote ulipozungumziwa


Najua mtapinga ila haitoshangaza kwa sabab hayo yalishatabiliwa kitambo tu.
Hata sex kwa njia tofauti ni haram, iwe doggy style na mikunjo mingine

Kifo cha mende tu ndio sahihi kulingana na maandiko
 
Ni ufirimasoni kwanza,afu kuzimu kuna demon la football,..lenyewe huwa lina feed on noise ambazo mashabiki huwa wanatoa wakisherekea goli.[emoji1787][emoji1787][emoji1787](sitanii ni ukweli)
View attachment 2807385
 
Back
Top Bottom