Muuza Viat
JF-Expert Member
- Dec 23, 2022
- 2,826
- 7,388
Kwa mujibu wa maelezo ya mtume B mpira ni haram kwa sabab yesu hajaufatilia wala kuuzungumzia kwa namna yoyote Ile
Na hata ktk vitabu vya biblia hakuna popote ulipozungumziwa
Najua mtapinga ila haitoshangaza kwa sabab hayo yalishatabiliwa kitambo tu.
Na hata ktk vitabu vya biblia hakuna popote ulipozungumziwa
Najua mtapinga ila haitoshangaza kwa sabab hayo yalishatabiliwa kitambo tu.