Muuza Viat
JF-Expert Member
- Dec 23, 2022
- 2,826
- 7,388
- Thread starter
-
- #21
We jamaa[emoji1][emoji1][emoji1]Ni ufirimasoni kwanza,afu kuzimu kuna demon la football,..lenyewe huwa lina feed on noise ambazo mashabiki huwa wanatoa wakisherekea goli.[emoji1787][emoji1787][emoji1787](sitanii ni ukweli)
View attachment 2807385
Kutangulia wap???Kati ya yesu na mpira kipi kilitangulia??
Acha ujinga weweeeeeee [emoji34][emoji35][emoji35]Zile tano zitawafanya mabwana hawa kuchukua muda mrefu sana kurudi kwenye utimamu wao
Kwa mujibu wa maelezo ya mtume B mpira ni haram kwa sabab yesu hajaufatilia wala kuuzungumzia kwa namna yoyote Ile
Na hata ktk vitabu vya biblia hakuna popote ulipozungumziwa
Najua mtapinga ila haitoshangaza kwa sabab hayo yalishatabiliwa kitambo tu.
Kwani Sheikh ni nani,Si mtu tu kama wewe!mbona sasa ma sheikh wanamiliki timu huko ulaya
ujinga wangu nn mkuu?Acha ujinga weweeeeeee [emoji34][emoji35][emoji35]
Hakuwahi jua utamu wa Papuchi!Lakini wajuba sasa!.[emoji23][emoji23][emoji23]wanaokimbia jeje.
nakama nikumuenzi yesu alikuwa anaongea kwamafumbo lakini waumini sasa hivi hatufanyi hivyo.ee yakobo?
Mkifungwa hmsa mnaanza kujifariji na utopolo huu🤣🤣Kwa mujibu wa maelezo ya mtume B mpira ni haram kwa sabab yesu hajaufatilia wala kuuzungumzia kwa namna yoyote Ile
Na hata ktk vitabu vya biblia hakuna popote ulipozungumziwa
Najua mtapinga ila haitoshangaza kwa sabab hayo yalishatabiliwa kitambo tu.
Kuihusisha utopolo ktk mambo sirias [emoji41][emoji41][emoji41]ujinga wangu nn mkuu?
Hmsa unamaanisha nin[emoji41][emoji41][emoji41]Mkifungwa hmsa mnaanza kujifariji na utopolo huu[emoji1787][emoji1787]
Sasa wale Ndiyo masheikh halisi Siyo nyie wa maulidi.Sheiikh umetumia km kiwakilish ktk lugha ya kiarab au umetumia km statas ya mtu kwa mujibu wa dini ya kiislam???
Waamini wa Music Wana jazba.Hayo yote yanatokana na jazba tulizokuwa nazo waumin wa nyakat hizi
Km wale umewaelewa sana kuliko wa huku hakuna shidaSasa wale Ndiyo masheikh halisi Siyo nyie wa maulidi.
Utajua sheikh kuliko Mwarabu na uislam wake.
Wengine huku mnaigiza tu. Mara kuvaa vpedo.
Waamin wa music???Waamini wa Music Wana jazba.
Utafikiri mungu Ni mama Yao amemzaa.
Ulishafika huko kuzimu au!Ni ufirimasoni kwanza,afu kuzimu kuna demon la football,..lenyewe huwa lina feed on noise ambazo mashabiki huwa wanatoa wakisherekea goli.[emoji1787][emoji1787][emoji1787](sitanii ni ukweli)
View attachment 2807385
Hahaahahaaaaa......Kuna mtu timamu kweli anaweza kusikiliza kauli za mudi
Simu na computer na jamiiforums ni haramu kwa sababu yesu hakuzizungumzia kabisa.Kwa mujibu wa maelezo ya mtume B mpira ni haram kwa sabab yesu hajaufatilia wala kuuzungumzia kwa namna yoyote Ile
Na hata ktk vitabu vya biblia hakuna popote ulipozungumziwa
Najua mtapinga ila haitoshangaza kwa sabab hayo yalishatabiliwa kitambo tu.
Hizo jazba sasa[emoji41][emoji41][emoji41]Simu na computer na jamiiforums ni haramu kwa sababu yesu hakuzizungumzia kabisa.
Najua utapinga kwa sababu ilishatabiliwa.
Sasa si post yako inaonyesha kuwa ambacho hakukitaja ni haramHizo jazba sasa[emoji41][emoji41][emoji41]
1968......…Yanga 5-0 SimbaZile tano zitawafanya mabwana hawa kuchukua muda mrefu sana kurudi kwenye utimamu wao