onlyalvira
JF-Expert Member
- Dec 9, 2013
- 1,499
- 3,113
Hisia zinaniambia ww n Mzee wa jambia[emoji23][emoji23]Saud Arabia na Vatican haimaanish wao wapo sahih ktk kila jambo linalohusu din
Upo sahih mdauHisia zinaniambia ww n Mzee wa jambia[emoji23][emoji23]
Bado hatujajua kuhusu draftNa draft je
sasa mbona unashabikia kitu haramVitabu vya din
sasa mbona unashabikia kitu haramVitabu vya din
haya shehe jishindie na spotipesaSaud Arabia na Vatican haimaanish wao wapo sahih ktk kila jambo linalohusu din
Kipi hicho???sasa mbona unashabikia kitu haram
Mnywaji km mim kunipa hadhi ya usheikh ni kuwavunjia heshima wenye hadhi hiyohaya shehe jishindie na spotipesa
Katika kipindi cha mwanzoni cha mchezo soka, ikitokea katika mchezo uliokuwa maarufu wa Harpastam, viongozi wa dini ya Kikristo wa Uingereza waliipinga soka.Kwa mujibu wa maelezo ya mtume B mpira ni haram kwa sabab yesu hajaufatilia wala kuuzungumzia kwa namna yoyote Ile
Na hata ktk vitabu vya biblia hakuna popote ulipozungumziwa
Najua mtapinga ila haitoshangaza kwa sabab hayo yalishatabiliwa kitambo tu.
Kuna andiko ndani ya Biblia na Quran limetaja japo neno "mpira"?Kwa mujibu wa maelezo ya mtume B mpira ni haram kwa sabab yesu hajaufatilia wala kuuzungumzia kwa namna yoyote Ile
Na hata ktk vitabu vya biblia hakuna popote ulipozungumziwa
Najua mtapinga ila haitoshangaza kwa sabab hayo yalishatabiliwa kitambo tu.
Bila shaka hakunaKuna andiko ndani ya Biblia na Quran limetaja japo neno "mpira"?
Shwain[emoji41][emoji41][emoji41]Baada ya jitu kula KΓNO LA NYANI, nyuzi kama hizi wala hazishangazi.
Simba ni timu kubwa na kila timu ndogo ina ndoto ya kuifunga Simba. Ukiifunga Simba, hauna tofauti na kuifunga Al Hilal, Wydad, Mamelod au Al AhlyZile tano zitawafanya mabwana hawa kuchukua muda mrefu sana kurudi kwenye utimamu wao
Simba ni timu kubwa na kila timu ndogo ina ndoto ya kuifunga Simba. Ukiifunga Simba, hauna tofauti na kuifunga Al Hilal, Wydad, Mamelod au Al Ahly
Ushindi wa Yanga kwa Azam au Yanga na Singida siyo ushindi wa Yanga kwa timu kubwa kama Simba.
Mashabiki wa Yanga wakiifunga Simba, watasheherekea mwaka mzima wakikumbuka ushindi.
Yanga imeifunga timu ngapi 5? Lkn ushindi unaukumbukwa ni wa timu kubwa wa Simba tu.
Wakishindania hata vimedali huko lazima waitambie na kujilinganisha na Simba na siyo Ihefu, Ndanda, Azam au Singida.
Huu ushindi watakumbuka mwaka mzima
Acha kuvamua dini za watu.Kwa mujibu wa maelezo ya mtume B mpira ni haram kwa sabab yesu hajaufatilia wala kuuzungumzia kwa namna yoyote Ile
Na hata ktk vitabu vya biblia hakuna popote ulipozungumziwa
Najua mtapinga ila haitoshangaza kwa sabab hayo yalishatabiliwa kitambo tu.
SahihSimba ni timu kubwa na kila timu ndogo ina ndoto ya kuifunga Simba. Ukiifunga Simba, hauna tofauti na kuifunga Al Hilal, Wydad, Mamelod au Al Ahly
Ushindi wa Yanga kwa Azam au Yanga na Singida siyo ushindi wa Yanga kwa timu kubwa kama Simba.
Mashabiki wa Yanga wakiifunga Simba, watasheherekea mwaka mzima wakikumbuka ushindi.
Yanga imeifunga timu ngapi 5? Lkn ushindi unaukumbukwa ni wa timu kubwa wa Simba tu.
Wakishindania hata vimedali huko lazima waitambie na kujilinganisha na Simba na siyo Ihefu, Ndanda, Azam au Singida.
Huu ushindi watakumbuka mwaka mzima[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]
Rekebisha maandish yako brazaAcha kuvamua dini za watu.
Ndo tafsiri ya mpira unafunga goli alafu impira unabaki kwenye nyavu.kweli condom ni haramu