Mhafidhina07
JF-Expert Member
- Aug 1, 2014
- 3,340
- 4,659
wadau lengo nimejishangaa nimejikuta namwaga chozi baada ya kumuona azizi Ki alipokuwa anatoka uwanjani.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
kuna mdada amefariki dakika ya 70Mimi naomba nisiione hiyo video maana maumivu niliyonayo pekee ni makubwa mno!
kwahiyo nijirekodi nalia?Bila hiyo hiyo video thread haijakamilika
Baada ya goli lake kukataliwa, haikuwa busara kumpa yeye penalt ya kwanza apige.Analia nin fala yule kakosa penat
Sio hivyo tu bali kwa jicho langu yanga ili loose matumaini baada ya kukataliwa goli la wazi.Baada ya goli lake kukataliwa, haikuwa busara kumpa yeye penalt ya kwanza apige.
Tuyaone hata machozi tukwahiyo nijirekodi nalia?
Ni kwelBaada ya goli lake kukataliwa, haikuwa busara kumpa yeye penalt ya kwanza apige.
Jombaa penalts shootouts hizo ni bahati tu jombaa, hizo wala si za kulaumu wachezaji, wanastahili kupongezwa.Analia nin fala yule kakosa penat
KwelJombaa penalts shootouts hizo ni bahati tu jombaa, hizo wala si za kulaumu wachezaji, wanastahili kupongezwa
Njoo tufarijiane dada nifahMimi naomba nisiione hiyo video maana maumivu niliyonayo pekee ni makubwa mno!
Tena watu wa mashoto siyo wazuri kuanza wangempa okrah aanzeBaada ya goli lake kukataliwa, haikuwa busara kumpa yeye penalt ya kwanza apige.
me nikajua angeanza kupiga nungununguSio hivyo tu bali kwa jicho langu yanga ili loose matumaini baada ya kukataliwa goli la wazi.
Mpira ulivurugikia pale
Una uhakika unazo akili mkuu?Analia nin fala yule kakosa penat
achana nae fala huyoUna uhakika unazo akili mkuu?
jamaa huzuni ilimjaaa alafu ukweli anaipenda yanga sana,we muangalie akiwa benchi mambo anayoyafanya thus why akili yake haikuwa sawa muda ule.Mtu kabla ya kupiga penalty anachuchumaa kwanza😓